Sizinga
Platinum Member
- Oct 30, 2007
- 9,100
- 6,022
Habari za ndani toka katika vyanzo vyao vya fedha za kifisadi za kampeni zinasema kwamba sababu kubwa iliyopelekea kwa katibu mkuu wa sisiem kukataa midahalo ni kwamba kutokana na ubovu na uelewa mdogo kwenye mikutano mikubwa.
Itawachukua muda mrefu na fedha nyingi kumsafisha mgombea ambae atachemka kipindi cha mdahalo, rejea yule dada HAWA NG'UMBI.... CCM haijui ianzie wapi kumsafisha huyu mama....hii ndio hasa sababu ya kukataa mdahalo, sasa tuwaulize bila mdahalo watatekeleza vp sera zao na upeo wao tutaujuaje
Mi nadhani ifike kipindi nasi tuseme kwamba mgombea asiyehudhuria mdahalo hatumchagui katu!!!!!
Itawachukua muda mrefu na fedha nyingi kumsafisha mgombea ambae atachemka kipindi cha mdahalo, rejea yule dada HAWA NG'UMBI.... CCM haijui ianzie wapi kumsafisha huyu mama....hii ndio hasa sababu ya kukataa mdahalo, sasa tuwaulize bila mdahalo watatekeleza vp sera zao na upeo wao tutaujuaje
Mi nadhani ifike kipindi nasi tuseme kwamba mgombea asiyehudhuria mdahalo hatumchagui katu!!!!!