SABABU YA WAZUNGU KUPENDA WANAUME WENYE MlDREAD

Wazungu wanapenda wanaume wenye dread wakiamini kuwa asili ya mtu mweusi ni nyani.
Kwa hiyo wenye mi dread wako jirani zaidi na nyani kwa kuwa yale marasta huwa wakati wa shughuli hutekenya kama manyoya

Mimi niko na Mzungu hapa, jibu analo nipa ni kwamba wanapenda "funny guys" ikiwa ni pamoja na hao wenye rasta, wamasai, kijana ambaye sio mtanashati saaaaana (wakimanisha sio mvaa "suti", ila jeans na t-shirt etc., mengine hajaniaambia huenda kanificha
 
Hata mi nakuona anakuficha.Wanajua marasta ni aina ya watu wajinga waliolewa na bange muda mwingi, ni rahisi kuwapelekesha kwa kuwa hawana muda wa kujitambua
Mimi niko na Mzungu hapa, jibu analo nipa ni kwamba wanapenda "funny guys" ikiwa ni pamoja na hao wenye rasta, wamasai, kijana ambaye sio mtanashati saaaaana (wakimanisha sio mvaa "suti", ila jeans na t-shirt etc., mengine hajaniaambia huenda kanificha
 
Wazungu wanapenda wanaume wenye dread wakiamini kuwa asili ya mtu mweusi ni nyani.
Kwa hiyo wenye mi dread wako jirani zaidi na nyani kwa kuwa yale marasta huwa wakati wa shughuli hutekenya kama manyoya

Nipo na Mzungu hapa anasema huwa wanapenda watu wa design hiyo yaani "funny guys" kama wenye rasta, wamasai, na vijana ambao sio watanashati sana (yaani wanao vaa jeans na t-shirt sio wavaa suti). Huwa mara nyingi wengi wanataka somebody peculiar. That's it!!
 
wazungu wachafu... na rasta wa sikuhizi ni wachafu! ndio maana wanawapenda ... rasta wa kweli alikuwa BOB TU!
 
wazungu wanapenda wanaume wenye dread wakiamini kuwa asili ya mtu mweusi ni nyani.
Kwa hiyo wenye mi dread wako jirani zaidi na nyani kwa kuwa yale marasta huwa wakati wa shughuli hutekenya kama manyoya

we ulijuwaje? Au na wewe una dread?
 
wazungu wachafu... na rasta wa sikuhizi ni wachafu! ndio maana wanawapenda ... rasta wa kweli alikuwa BOB TU!

Mjomba usikariri kama ulivyokuwa unakariri kule shuleni kwenu maporini.Unaposema watu wachafu ni generalization.Umeshakutana na wazungu wangapi mpaka useme ni wachafu.Kwa taarifa tu ni kwamba wako kama tulivyo sisi kuna wachafu baadhi na kuna wengine ni wasafi mpaka unajiuliza wanaogea dawa gani.Na hata hao rasta unaosema wachafu ni wale unaokutana nao kariakoo ila kwa nchi zilizoendelea unakuta rasta inawaka mpaka unaitamani.Rejea post yangu labda itakusaidia na huyo Bob unayesema alikuwa rasta unajua ni kiasi gani cha bangi alizokuwa anavuta?
 
o [B said:
Bob unayesema alikuwa rasta unajua ni kiasi gani cha bangi alizokuwa anavuta?[/B][/B]

pole sana kijana kama unajifananisha BOB! .. siyo hulka yangu ku replay post za watu kama ninyi mara 2 au 3 P.S mbona unaongea kama unanifahamu Vile nilisoma wapi .. nilikuwa wapi.. na nipo wapi! kijana inaelekea wewe ni under 23 ndiyo kwanza umetoka high school kutoka na mambo mengi unayoongea katika post zako! ningekushauri ungesoma nyakati kwanza humu JF kama mwezi mzima watu wanapost za aina gani na busara wanazotumia katika ku replay post! alafu ungeanza kupost!
usinjibu kwa jazba ushauri tu nakupa DOGO
 
pole sana kijana kama unajifananisha BOB! .. siyo hulka yangu ku replay post za watu kama ninyi mara 2 au 3 P.S mbona unaongea kama unanifahamu Vile nilisoma wapi .. nilikuwa wapi.. na nipo wapi! kijana inaelekea wewe ni under 23 ndiyo kwanza umetoka high school kutoka na mambo mengi unayoongea katika post zako! ningekushauri ungesoma nyakati kwanza humu JF kama mwezi mzima watu wanapost za aina gani na busara wanazotumia katika ku replay post! alafu ungeanza kupost!
usinjibu kwa jazba ushauri tu nakupa DOGO
Sawa baba yote wasema wewe kumbuka ulinichokoza wewe mwenyewe na kwa taarifa yako mimi sio dogo kama unavyofikiri nimekuwa mtumishi wa serikali for more than ten years na sasa hivi I lead another life with my business.Unakumbuka ulivyonijibu kwenye thread ya zanzibar maneno yako yalikuwa kama mtu asiyesukutua ndio maana mpaka leo mimi na wewe tu na nakujibu kwa hoja sio wewe unayekimbilia hasira karibu tuendelee kama unaweza.
 
Sawa baba yote wasema wewe kumbuka ulinichokoza wewe mwenyewe na kwa taarifa yako mimi sio dogo kama unavyofikiri nimekuwa mtumishi wa serikali for more than ten years na sasa hivi I lead another life with my business.Unakumbuka ulivyonijibu kwenye thread ya zanzibar maneno yako yalikuwa kama mtu asiyesukutua ndio maana mpaka leo mimi na wewe tu na nakujibu kwa hoja sio wewe unayekimbilia hasira karibu tuendelee kama unaweza.

yale yalikuwa maoni yangu... zanzibar kujitenga ni haki yao! na nikweli OIC itawanufaisha kushinda muungano na bara! kama hiyokauli ilikukwaza pole.. zilikuwa ni fikra zangu! ila haina haki ya kuongea kama unanifahamu inside out! samahani sipo humu kishari.. nipo humu kujifunza zaidi na kabadilishana mawazo, sorry kama nilikukwaza bandugu
 
maraster wanadhani life ni hayo madread na hizo bangi. Sijaona wakiajiriwa . Nawaona tu vijiweni wakichora na kufukuzia wazingu vilabuni .
 
Sawa baba yote wasema wewe kumbuka ulinichokoza wewe mwenyewe na kwa taarifa yako mimi sio dogo kama unavyofikiri nimekuwa mtumishi wa serikali for more than ten years na sasa hivi I lead another life with my business.Unakumbuka ulivyonijibu kwenye thread ya zanzibar maneno yako yalikuwa kama mtu asiyesukutua ndio maana mpaka leo mimi na wewe tu na nakujibu kwa hoja sio wewe unayekimbilia hasira karibu tuendelee kama unaweza.

mimi toka nijiunge humu nimekuwa ni msomaji... Paka Mweusi kama ulianzisha thread basi yamkini utapata mawazo tofauti wengine watakubaliana na wewe wengine watakuwa tofauti na wewe kabisa wengine watakugusa personally , sasa utakuwa mjinga kama utaanza kutengeneza maadui katika thread basi utakuwa nao wengi humu. Njiwa,M... (asiyetaka PM" na M.. "wa habari za picha" na wengine wanastyle zao peke yao za ku replay thread za watu mimi nakuomba kaka yangu na hapo kwenye nyekundu bado inaonesha una utoto ingawa umekuwa

maraster wanadhani life ni hayo madread na hizo bangi. Sijaona wakiajiriwa . Nawaona tu vijiweni wakichora na kufukuzia wazingu vilabuni .

utaanza kuwemkwa kwenye List ya wabaya shauriyako kuna wengine wana dreads humu
 
mimi toka nijiunge humu nimekuwa ni msomaji... Paka Mweusi kama ulianzisha thread basi yamkini utapata mawazo tofauti wengine watakubaliana na wewe wengine watakuwa tofauti na wewe kabisa wengine watakugusa personally , sasa utakuwa mjinga kama utaanza kutengeneza maadui katika thread basi utakuwa nao wengi humu. Njiwa,M... (asiyetaka PM" na M.. "wa habari za picha" na wengine wanastyle zao peke yao za ku replay thread za watu mimi nakuomba kaka yangu na hapo kwenye nyekundu bado inaonesha una utoto ingawa umekuwa



utaanza kuwemkwa kwenye List ya wabaya shauriyako kuna wengine wana dreads humu

Hamna ni Post ya kitambo kidogo nilimwambia hivi " tafuta point ya kuongea usiropkwe" & znz wanahaki ya kujiunga OIC he decided to carry that on mpaka leo hii lolz!! mimi nilikuwa sifahamu kama kanifanya adui eti from that day! till today.. hehehe! "inafurahisha" utoto mwingine bana.. soory kaka kama nilikukwaza ni ile kauli.. i mean it
 
Hamna ni Post ya kitambo kidogo nilimwambia hivi " tafuta point ya kuongea usiropkwe" & znz wanahaki ya kujiunga OIC he decided to carry that on mpaka leo hii lolz!! mimi nilikuwa sifahamu kama kanifanya adui eti from that day! till today.. hehehe! "inafurahisha" utoto mwingine bana.. soory kaka kama nilikukwaza ni ile kauli.. i mean it

Je ni kweli anavyodai umesoma machakani.. hehehe!!! we mpemba nini NJIWA!
 
Hamna ni Post ya kitambo kidogo nilimwambia hivi " tafuta point ya kuongea usiropkwe" & znz wanahaki ya kujiunga OIC he decided to carry that on mpaka leo hii lolz!! mimi nilikuwa sifahamu kama kanifanya adui eti from that day! till today.. hehehe! "inafurahisha" utoto mwingine bana.. soory kaka kama nilikukwaza ni ile kauli.. i mean it


Thanks kama umeliona hilo maana mtu mzima anapoongea kitu ukamjibu ameropoka ni tusi kubwa sana kikwetu ndio maana likaniuma lakini kuanzia sasa nashukuru tutaendelea kuchangia bila kupeana maneno yasiyofaa.
 
Back
Top Bottom