Hakuna programu ngumu.Ni kwamba wanafunzi tunakuwa wazembe katika kufuatilia ya msingi na hat chuo chenyewe hakitoi support ya kutosha.kwa mfani UDOM pale kuna baadhi ya kozi zinaandikiwa kuwapo na Seminar ila hata siku moja hakuna seminar inayofanywa matokeo yake wanasema mwalimu hayupo.Sasa inakubidi ukomae kibinafsi kama mwanfunzi wa advance...wakati elimu ya chuo inpaswa kuwa shirikishi ili kuweza kupanua uelewa wa mwanafunzi,
"THE DIFFERENCE BETWEEN POSSIBILITY AND IMPOSSIBILITY LIES ON ONES DETERMINATION"