Ndechumia
JF-Expert Member
- Jul 15, 2011
- 1,103
- 418
mbona mnawafuata sana hawa wajamaa! Ila huwa wanapenda biashara za bar, hadiwea, maduka ya bidhaa mchanganyiko kuanzia bia,dagaa, vipodoz, dawa barid, misumar, petrol nk. Hiyo biashara huwez jua na famas, hadwea, bar, mgahawa, gereji, gest,hotek, duka la nguo, saloon, genge nk yy bora aone watu wananunua.