ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,699
- 9,460
Hey
ni vyema mjue SABABU ambazo wanaume wa kabila la Kichaga walizonazo na uweze kuchukua tahadhali nao
hata kama unataka kuishi nao angalia vipengele hivi:
1. Wanaume wa kichaga ni wepesi ktka majukumu hasa yahusuyo pesa
2. Wanaume wa kichaga ni wanywaji sana pombe
3. Wanaume wa kichaga wanapenda totoz weupe na wembamba na ndio mana wapatapo pesa zinaishia huko
4. Wanaume wa kichaga wanapenda sana lugha zao hata wakiwa kumbwani wao ni lugha kwa kwenda mbele
5. Wanajenga makazi mazuri kwao kwanza na kisha ughaibuni yaani Dar center
ambazyo ni baadhi tu ya sababu tano za wanaume wa kabila la wachaga. kama unazijua zingine niahabarishe
ni vyema mjue SABABU ambazo wanaume wa kabila la Kichaga walizonazo na uweze kuchukua tahadhali nao
hata kama unataka kuishi nao angalia vipengele hivi:
1. Wanaume wa kichaga ni wepesi ktka majukumu hasa yahusuyo pesa
2. Wanaume wa kichaga ni wanywaji sana pombe
3. Wanaume wa kichaga wanapenda totoz weupe na wembamba na ndio mana wapatapo pesa zinaishia huko
4. Wanaume wa kichaga wanapenda sana lugha zao hata wakiwa kumbwani wao ni lugha kwa kwenda mbele
5. Wanajenga makazi mazuri kwao kwanza na kisha ughaibuni yaani Dar center
ambazyo ni baadhi tu ya sababu tano za wanaume wa kabila la wachaga. kama unazijua zingine niahabarishe