Sababu ni boga mama au kunajengin?

Mtaftaji

JF-Expert Member
Nov 12, 2011
207
43
Ndg zng dunia ipo ukingoni,mkoani lindi kuna mama amchoma moto mtoto wake wa kumzaa kwa kumviringa nyasi kavu mikono yote miwili na kumuwasha, akamfungia ndani bila kumpeleka hospitali kwa muda wa siku nne majirani watoa siri kwa vyombo vya usalama,mtoto wa kiume miaka 5 kwa kosa la kuchkua boga lote lilopikwa na kula bila ruhusa ya mama yake,mama ahojiwa na kusema kua hata yy haamini km ndio alomchoma na pia anawasa wakina mama wenzake asifanye alofanya yy,mbona manyanyaso juu ya watoto kwa mama zao wa zazi yanazidi siku hadi ck wana jf au ckuizi wakizaa hawapati uchungu?na je adhabu alopewa ni stahiki kwa mtoto?na je hali ngumu ya maisha inachangia?
 
sikuhizi wanawake wengi wana pepo la kukusa hruma leo hii nimesikia mama anamimba ya mtoto wake anatembea naye kimwli, siku hizi kusikia mama kachoma, kauna, mwanae nikitu cha kawaida kabisa. ni siku za mwisho upendo utaisha lakini mwenyekuvumilia ataurithi ufaulme wa Mungu
 
sikuhizi wanawake wengi wana pepo la kukusa hruma leo hii nimesikia mama anamimba ya mtoto wake anatembea naye kimwli, siku hizi kusikia mama kachoma, kauna, mwanae nikitu cha kawaida kabisa. ni siku za mwisho upendo utaisha lakini mwenyekuvumilia ataurithi ufaulme wa Mungu

Na hii imekuwa social evil ambayo ina-gain momentum kila kukicha ajabu tunaitreat kama ni individual issue lakini nina uhakika kabisa kwa jinsi inavyo sambaa ni wazi kuwa kuna social malfunction somewhere na isipofanyiwa kazi siku za usoni haitashikika. Sipati kuelewa mama mzazi kumfanyia mwlanae jambo kama hilo kama si masuala ya stresses za maisha na mengineyo.

Tusitibu matokeo tutafute chanzo.......Wanaja ustawi wa jamii hebu tusaidieni. Matheory yenu mnayoyasomea huko chuoni yanazungumziaje hili suala
 
Back
Top Bottom