Sababu kumi za kushuka kisiasa kwa CUF

Status
Not open for further replies.

silver25

JF-Expert Member
Jul 29, 2010
743
44
Mimi nimkereketwa sana wa Vyama Pinzani, hasa vile vinavyo onesha njia ya Kidemocrasia.. kutokana na hilo nilikuwa najaribu kufuatilia kwa karibu sana chama ambacho kilikuwa na nguvu Bara na Visiwani yaani CUF... nika gundua kwanini sasa kimepooza sana ukifananisha na chaguzi zilizo pita,,

zifuatazo ni sababu kumi za kushuka kisiasa kwa chama cha CUF

  1. Kumuweka mgombea asiye na mvuto, ambaye si chaguo la Wananchi
  2. Kukosa Wagombea Wa ubunge na udiwani wenye Sera Nzito na zenye kuhamasisha wananchi kuwachagua
  3. Uwezo wa uongozi wa wana CUF walio kwenye madaraka si wa kulidhisha sana, kulinganisa na Competition ya kisiasa iliyoko sasa
  4. Kukosa watu wenye kufanya Uwepo wa chama kwa mantiki inayo Fanana na Amani ya Nchi yetu, ikiwa ni pamoja na Kuziponda Hija za Raisi hata kama ni za msingi katika maendeleo ya nchi
  5. Kufanya maandamano yasiyo na msingi wala Faida kwa watanzania bali kuwapotezea Muda wananchi wa kuwasikiliza viongozi wao wanao waamini,,,
  6. Ubinafsi wa uongozi wa juu
  7. Office nyingi kuwa maeneo ya kidini, kufanya watu waamini ni chama cha kidini,,
  8. Moto wa kila uchaguzi,, ambao wasio na fikra wana tafsiri vibaya ""mfano Jinio kwa Jino""
  9. Kukosa mgombea mwenye nguvu kisiasa na Amasa ya kutafuta maendeleo na Kero za wananchi kwa ujumla
  10. Kuto kuaminiana
 
11: Mwonekano wake wa udini unaofanya wengi tukiogope kama ukoma
 
Silver 25: Ongezea moja -- la uswahiba kati ya CUF na mafisadi akina Rostam. Hapo ndiyo utapata picha kamili hasa kwa nini CUF inatokomea kunakostahili.
 
Maandamano yote ya KAFU huwa ni Ijumaa na yanaanzia misikitini baada ya swara ya Ijumaa - mmmhhh
 
Silver 25: Ongezea moja -- la uswahiba kati ya CUF na mafisadi akina Rostam. Hapo ndiyo utapata picha kamili hasa kwa nini CUF inatokomea kunakostahili.

Na hili jee -- la ndoa kati ya CCM na CUF inayofungwa chumbani? Huku sebuleni nako si uswahiba tu? Hawa CUF hawajioni wanachokifanya? Hadi sasa mimi naamini kuwa ndoa hiyo itapigwa chenga ya mwili tu -- ngojeni baada ya uchaguzi muone. Hamuijui CCM!!!
 
Na huyu Profesa anafikiri kwamba akigombea kwa mara ya nne basi, wananchi hatimaye watamuonea huruma na kumpa kura zao?
 
ndio maana sasa hivi na sisi tumeanzisha chama chetu cha wakiristo na wao wakae na udini wao

hog-info0.gif


4star.gif
ThumbsUp.gif
ThumbsDwn.gif
"Never try to teach a pig to sing; it wastes your time and it annoys the pig."
 
Kununuliwa kwa Shariff Hamad na mafisadi. Tangu akatiwe pochi kubwa na mafisadi ambalo linaingia katika bank account yake kila mwezi basi amekuwa akikenua tu kila siku iendayo kwa Mungu, ameshakuwa mamluki
 
Kununuliwa kwa Shariff Hamad na mafisadi. Tangu akatiwe pochi kubwa na mafisadi ambalo linaingia katika bank account yake kila mwezi basi amekuwa akikenua tu kila siku iendayo kwa Mungu, ameshakuwa mamluki

Nguvu ya pesa mkubwa hiyo! Si unakumbuka hata yule kijana baada ya kuwekwa kamati ya madini, akawa si mwenzetu!
 
Mimi nimkereketwa sana wa Vyama Pinzani, hasa vile vinavyo onesha njia ya Kidemocrasia.. kutokana na hilo nilikuwa najaribu kufuatilia kwa karibu sana chama ambacho kilikuwa na nguvu Bara na Visiwani yaani CUF... nika gundua kwanini sasa kimepooza sana ukifananisha na chaguzi zilizo pita,,

zifuatazo ni sababu kumi za kushuka kisiasa kwa chama cha CUF


  1. Kumuweka mgombea asiye na mvuto, ambaye si chaguo la Wananchi
  2. Kukosa Wagombea Wa ubunge na udiwani wenye Sera Nzito na zenye kuhamasisha wananchi kuwachagua
  3. Uwezo wa uongozi wa wana CUF walio kwenye madaraka si wa kulidhisha sana, kulinganisa na Competition ya kisiasa iliyoko sasa
  4. Kukosa watu wenye kufanya Uwepo wa chama kwa mantiki inayo Fanana na Amani ya Nchi yetu, ikiwa ni pamoja na Kuziponda Hija za Raisi hata kama ni za msingi katika maendeleo ya nchi
  5. Kufanya maandamano yasiyo na msingi wala Faida kwa watanzania bali kuwapotezea Muda wananchi wa kuwasikiliza viongozi wao wanao waamini,,,
  6. Ubinafsi wa uongozi wa juu
  7. Office nyingi kuwa maeneo ya kidini, kufanya watu waamini ni chama cha kidini,,
    Ni kweli hata ofisi yao makao makuu pale buguruni yapo msikitini! Aibu mtu mzima kuongope humu.
  8. Moto wa kila uchaguzi,, ambao wasio na fikra wana tafsiri vibaya ""mfano Jinio kwa Jino""
  9. Kukosa mgombea mwenye nguvu kisiasa na Amasa ya kutafuta maendeleo na Kero za wananchi kwa ujumla
  10. Kuto kuaminiana
Sasa hivi na sisi tunacho chama chetu cha kanisani tena kinachoongozwa na padri. tutamnadi kwa kumvisha ngozi ya kondoo ili watu wasijue kama katumwa na kanisa. Mtatukoma mwaka huuuuuuuuuuuuu!!!!!!!!!!!!!!!
 
Sasahivi imeongezekana Hii "" kushirikiana na chama cha mafisadi ili kujiongezea nguvu,, we subiri tu next uchaguzi hakuna CUF na udini wao.
 
sasa imekuwaje tena ile peoplessss powerrrrr mnaielekeza kwa cuf badala ya ccm!!!!! Au tayari mmeshakubali matokeo na kugundua katu hamwezi kuiondoa ccm madarakani badala yake kisingizio kinakuwa cuf!!!!!!
yangu macho!!!!
 
sasa imekuwaje tena ile peoplessss powerrrrr mnaielekeza kwa cuf badala ya ccm!!!!! Au tayari mmeshakubali matokeo na kugundua katu hamwezi kuiondoa ccm madarakani badala yake kisingizio kinakuwa cuf!!!!!!
yangu macho!!!!

Madarakani itaondoka tu! Watake wasitake! Huu ni Mwanzo tu
 
Sasa hivi na sisi tunacho chama chetu cha kanisani tena kinachoongozwa na padri. tutamnadi kwa kumvisha ngozi ya kondoo ili watu wasijue kama katumwa na kanisa. Mtatukoma mwaka huuuuuuuuuuuuu!!!!!!!!!!!!!!!

Umeshalogwa na aliyekuloga kashakufa
 
Tena huyo Jamaa karooogwaa kweli kweli kaka,
Hii tabia ipigwe vita yaani angekuwa Karibu ninge mparisasi za kiuno mbili tu
 
Mimi nimkereketwa sana wa Vyama Pinzani, hasa vile vinavyo onesha njia ya Kidemocrasia.. kutokana na hilo nilikuwa najaribu kufuatilia kwa karibu sana chama ambacho kilikuwa na nguvu Bara na Visiwani yaani CUF... nika gundua kwanini sasa kimepooza sana ukifananisha na chaguzi zilizo pita,,

zifuatazo ni sababu kumi za kushuka kisiasa kwa chama cha CUF

  1. Kumuweka mgombea asiye na mvuto, ambaye si chaguo la Wananchi
  2. Kukosa Wagombea Wa ubunge na udiwani wenye Sera Nzito na zenye kuhamasisha wananchi kuwachagua
  3. Uwezo wa uongozi wa wana CUF walio kwenye madaraka si wa kulidhisha sana, kulinganisa na Competition ya kisiasa iliyoko sasa
  4. Kukosa watu wenye kufanya Uwepo wa chama kwa mantiki inayo Fanana na Amani ya Nchi yetu, ikiwa ni pamoja na Kuziponda Hija za Raisi hata kama ni za msingi katika maendeleo ya nchi
  5. Kufanya maandamano yasiyo na msingi wala Faida kwa watanzania bali kuwapotezea Muda wananchi wa kuwasikiliza viongozi wao wanao waamini,,,
  6. Ubinafsi wa uongozi wa juu
  7. Office nyingi kuwa maeneo ya kidini, kufanya watu waamini ni chama cha kidini,,
  8. Moto wa kila uchaguzi,, ambao wasio na fikra wana tafsiri vibaya ""mfano Jinio kwa Jino""
  9. Kukosa mgombea mwenye nguvu kisiasa na Amasa ya kutafuta maendeleo na Kero za wananchi kwa ujumla
  10. Kuto kuaminiana

Sababu ni moja tu "Chama cha Waislamu". Watake wasitake hiyo ndiyo sababu pekee na ushindi huku bara wasahau labda kwenye mikoa hiyo hiyo ya Lindi na Mtwara.
 
Huko Lindi na Mtwara Chadema imesha washa indicator kwasababu tunamikakati Kabambe ya kuchukua majimbo mengi ili kujihakikishia ushindi 2015
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom