silver25
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 743
- 44
Mimi nimkereketwa sana wa Vyama Pinzani, hasa vile vinavyo onesha njia ya Kidemocrasia.. kutokana na hilo nilikuwa najaribu kufuatilia kwa karibu sana chama ambacho kilikuwa na nguvu Bara na Visiwani yaani CUF... nika gundua kwanini sasa kimepooza sana ukifananisha na chaguzi zilizo pita,,
zifuatazo ni sababu kumi za kushuka kisiasa kwa chama cha CUF
zifuatazo ni sababu kumi za kushuka kisiasa kwa chama cha CUF
- Kumuweka mgombea asiye na mvuto, ambaye si chaguo la Wananchi
- Kukosa Wagombea Wa ubunge na udiwani wenye Sera Nzito na zenye kuhamasisha wananchi kuwachagua
- Uwezo wa uongozi wa wana CUF walio kwenye madaraka si wa kulidhisha sana, kulinganisa na Competition ya kisiasa iliyoko sasa
- Kukosa watu wenye kufanya Uwepo wa chama kwa mantiki inayo Fanana na Amani ya Nchi yetu, ikiwa ni pamoja na Kuziponda Hija za Raisi hata kama ni za msingi katika maendeleo ya nchi
- Kufanya maandamano yasiyo na msingi wala Faida kwa watanzania bali kuwapotezea Muda wananchi wa kuwasikiliza viongozi wao wanao waamini,,,
- Ubinafsi wa uongozi wa juu
- Office nyingi kuwa maeneo ya kidini, kufanya watu waamini ni chama cha kidini,,
- Moto wa kila uchaguzi,, ambao wasio na fikra wana tafsiri vibaya ""mfano Jinio kwa Jino""
- Kukosa mgombea mwenye nguvu kisiasa na Amasa ya kutafuta maendeleo na Kero za wananchi kwa ujumla
- Kuto kuaminiana