Watanzania wenzangu ni wakali na kuambiana ukweli wa roho. Wazee wengi wa Tanzania na ndugu na jamaa mbalimbali wamekuwa wakishangaa vijana wengi huku nje je wanafanyanini huku wakati Tanzania vijana wenzao wanaendelea!? maswali kama haya ni ya kawaida kwa vijana waliosoma huku
1. Unafanya nini huku wakati wenzako wanajenga?
2. Kuna kazi zinalipa Tanzania je ni kwa nini mnawafanyia kazi wazungu huku?
3. Ulaya na Marekani hakuna kitu?
4. Kijana aliyemaliza chuo hapa Tanzania anawazidi nyie huko ulaya na marekani kimaisha
Maswali ni mengi yasiyoisha hasa kama una mapungufu mengine kama kutokuoa n.k
Mimi nikasema kuna ukweli basi ngoja nifuatilie kazi za bongo nione kama nayoambiwa ni ya kweli!. Ukweli ni kwamba watu wengi hawaishi kwa mshahara na wanavyopata pesa sikuweza kuelewa vizuri hata kwa marafiki na ndugu wa karibu!. Sasa nilipoanza kuuliza kwa undani jamani nitaishije bongo mbona gharama za kila kitu ziko juu na mshahara ni mdogo sana je nyie mnafanyanini? nilikuja kugundua mishahara yao siyo mikubwa ni TSH 1M-2M za kitanzania sasa unawezaje kuwa na gari, kodisha nyumba, kujenga n.k!!!. Nilipouliza zaidi ndiyo nilipo kasirisha watu zaidi lakini nikajua ukweli nini!!
1. Ndugu zetu walioko Tanzania hawatujui vizuri kwasababu wote ni ndugu na tunaongea kiswahili lakini kunatofauti sana ya kijana aliyeenda chuo Tanzania baada ya kidato cha sita na aliyekuja ughaibuni mfano US. Kwa vijana tuliokuja US miaka ya tisini tulipomaliza Form 6 na tumeishi miaka kumi na huku kusoma na kufanya kazi tunaongea tu lakini wengi wetu hatujawahi kuomba rushwa au kuibia kazi kuanzia tuzaliwe!, hatuna semina za kudanganya huku, hakuna safari ya uongo huku, na hakuna mtu ayekupa pesa kwa lolote kwenye kazi za kampuni kubwa pesa huioni hata!. Hivyo wengi wetu ni washamba wa rushwa! hatujui kuomba wala kutoa na hiki ni kitu ambacho watu wengi wa bongo hawafahamu. Kwasababu unaongea kiswahili kama wenyewe, ni ndugu au rafiki wanasahau kwamba kuna vitu vya kijanja kijanja hujui hata kama unajua kuviongea.
2.Tabia ya siri sisi huku tumezoe kuwa wakweli na kuongea vitu waziwazi vya kimaendeleo. Mtandao kama huu mambo yote hapa watu wa nje wanaweza kuongea waziwazi bila kujificha wenzetu wa kule kufisha vitu ni utamaduni hii ni kwasabau (a) wanafanya vitu vya kijanja kijanja hivyo hutaki watu wengi wajue (b) watu wanaogopa kuigwa hivyo wakipata kitu ambacho wengine hawajui wnaita "Line" na "Line" yako huwezi kuweka waziwazi!. Hivyo hata kwenye familia utashangaa vitu vingi hawkuambii kwenye simu ni kwasababu ya utamaduni wa siri kwenye mambo mengi ya maendeleo.
Hivyo ndugu labda upate kazi nzuri inayokupa mshahara mkubwa wa kutosheleza mahitaji yote muhimu uwe makini sana na kudandia vijikazi vya Tanzania kwani gharama za maisha ni za juu na wengi wa watanzania wanaorudi ni wa shamba wa rushwa. Kuna wale waliokuja huku baada ya chuo wenyewe wanajua kidogo huo utamaduni lakini wengi wa wale walikuja baada ya form 6 Tanzania ni kugumu!. Vile vile kazi nzuri hazipo nyingi kwani hata kazi ni "Line" ya mtu!.
1. Unafanya nini huku wakati wenzako wanajenga?
2. Kuna kazi zinalipa Tanzania je ni kwa nini mnawafanyia kazi wazungu huku?
3. Ulaya na Marekani hakuna kitu?
4. Kijana aliyemaliza chuo hapa Tanzania anawazidi nyie huko ulaya na marekani kimaisha
Maswali ni mengi yasiyoisha hasa kama una mapungufu mengine kama kutokuoa n.k
Mimi nikasema kuna ukweli basi ngoja nifuatilie kazi za bongo nione kama nayoambiwa ni ya kweli!. Ukweli ni kwamba watu wengi hawaishi kwa mshahara na wanavyopata pesa sikuweza kuelewa vizuri hata kwa marafiki na ndugu wa karibu!. Sasa nilipoanza kuuliza kwa undani jamani nitaishije bongo mbona gharama za kila kitu ziko juu na mshahara ni mdogo sana je nyie mnafanyanini? nilikuja kugundua mishahara yao siyo mikubwa ni TSH 1M-2M za kitanzania sasa unawezaje kuwa na gari, kodisha nyumba, kujenga n.k!!!. Nilipouliza zaidi ndiyo nilipo kasirisha watu zaidi lakini nikajua ukweli nini!!
1. Ndugu zetu walioko Tanzania hawatujui vizuri kwasababu wote ni ndugu na tunaongea kiswahili lakini kunatofauti sana ya kijana aliyeenda chuo Tanzania baada ya kidato cha sita na aliyekuja ughaibuni mfano US. Kwa vijana tuliokuja US miaka ya tisini tulipomaliza Form 6 na tumeishi miaka kumi na huku kusoma na kufanya kazi tunaongea tu lakini wengi wetu hatujawahi kuomba rushwa au kuibia kazi kuanzia tuzaliwe!, hatuna semina za kudanganya huku, hakuna safari ya uongo huku, na hakuna mtu ayekupa pesa kwa lolote kwenye kazi za kampuni kubwa pesa huioni hata!. Hivyo wengi wetu ni washamba wa rushwa! hatujui kuomba wala kutoa na hiki ni kitu ambacho watu wengi wa bongo hawafahamu. Kwasababu unaongea kiswahili kama wenyewe, ni ndugu au rafiki wanasahau kwamba kuna vitu vya kijanja kijanja hujui hata kama unajua kuviongea.
2.Tabia ya siri sisi huku tumezoe kuwa wakweli na kuongea vitu waziwazi vya kimaendeleo. Mtandao kama huu mambo yote hapa watu wa nje wanaweza kuongea waziwazi bila kujificha wenzetu wa kule kufisha vitu ni utamaduni hii ni kwasabau (a) wanafanya vitu vya kijanja kijanja hivyo hutaki watu wengi wajue (b) watu wanaogopa kuigwa hivyo wakipata kitu ambacho wengine hawajui wnaita "Line" na "Line" yako huwezi kuweka waziwazi!. Hivyo hata kwenye familia utashangaa vitu vingi hawkuambii kwenye simu ni kwasababu ya utamaduni wa siri kwenye mambo mengi ya maendeleo.
Hivyo ndugu labda upate kazi nzuri inayokupa mshahara mkubwa wa kutosheleza mahitaji yote muhimu uwe makini sana na kudandia vijikazi vya Tanzania kwani gharama za maisha ni za juu na wengi wa watanzania wanaorudi ni wa shamba wa rushwa. Kuna wale waliokuja huku baada ya chuo wenyewe wanajua kidogo huo utamaduni lakini wengi wa wale walikuja baada ya form 6 Tanzania ni kugumu!. Vile vile kazi nzuri hazipo nyingi kwani hata kazi ni "Line" ya mtu!.