Sababu kubwa iliyomnyima Lowassa Urais wa Tanzania !

ndugu yangu japo kuwa maskendo yameendelea kuwepo pamoja na baba maskendo kutimuliwa, hakika nakwambia kuwa kama ccm inge msimamisha kugombea nafasi ya urais angeshindaaaaa tena kwa kishindo na nguvu kidogo pamoja na maufisadi yake. ccm ndo inayo shinda haijalishi itamsimamisha nani, yeyote tatakaye simama kupitia ccm "ata shindaaa"


Lakini CCM haikumsimamisha sasa ni kwa nini?
Ni kwa sababu sifa zake hazikutosha, CCM ni taasisi na ina jukumu la kuhakikisha TZ iko mikononi mwa Kiongozi muadilifu na mkweli na Lowasa CV ina madoa sana na ndiyo maana walimuondoa!
 
Urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ni kitu ambacho Mhe. Edward Ngoyai Lowassa anakitamani kuliko kitu kingine katika maisha yake! Lakini ukweli mchungu ( a bitter truth) ni kuwa pamoja na Edward Lowassa kuwa mwanamikakati mzuri (good strategist) ana nafasi finyu mno ya kuweza kuwa Rais wa JMT!

Kwa maneno mengine unaweza kusema, pamoja na Raila Amollo Odinga kuwa na nafasi finyu sana ya kuwa Rais wa Kenya dhidi ya Rais Uhuru Muigai Kenyatta wa Kenya lakini ana uafadhali kuliko Mhe.Edward Ngoyai Lowassa kuwa Rais wa JMT dhidi ya Rais John Pombe Magufuli!

Wengi wamekuwa wakim-evaluate Mhe.Edward Ngoyai Lowassa kama mtu ambaye hana maadili kwa namna alivyo-"rip" resources ambapo kwa mtazamo wangu hatofautiani sana na Wanasiasa wengi tulionao hapa Nchini ambao nao ni "wapigaji" lakini mwenzao akipiga "deal" kubwa kuliko wao huumia sana!

Kama unabisha angalia viongozi tulio nao leo wanaojifanya wanauchungu sana dhidi ya "wapigaji" kama wao hawakupiga chochote huko nyuma! Udhaifu mkubwa wa Mhe.Edward Ngoyai Lowassa ni kuwa si Mwanasiasa mzuri katika kuzungumza na ku -articulate mambo! (He is a poor Orator). Katika siasa za Ushindani hasa za kileo kuzungumza kwa ufasaha na vizuri (eloquency) si tu ni muhimu bali ni lazima kwa Mwanasiasa mwenye malengo makubwa!

Ukifuatilia kampeni za Mhe.Edward Ngoyai Lowassa katika Urais uliopita utagundua kuwa laiti angekuwa "Good Orator" asingeshindwa kuongeza kura milioni 2.99 katika zile kura milioni 6 alizopata!

Mhe.Edward Ngoyai Lowassa alikuwa na speeches zenye kuchukuwa wastani wa dk5 na muda wote maudhui ya hizo speeches ni kuhusu Mama Ntilie na Bodaboda! Mhe.Edward Ngoyai Lowassa alisahau kabisa kama Nchi hii kuna watu wengine zaidi ya Mama Ntilie na Bodaboda ! Alisahau kabisa masuala ya Wakulima na Wafanyakazi na kweli akapata kura nyingi za "masela" ,(Very poor Orator indeed !)

CHADEMA acheni kupoteza muda kwa Mhe.Edward Ngoyai Lowassa, tafuteni mtu smart mum-groom for 2020,najua wengi mtanipinga lakini ukweli utabaki kuwa Nzi wengi hukusanyika kwenye mavi!
ningekua el ningestaafu siasa. ni kweli el ni mwana mkakati mzuri lakini hakika sio mwanasiasa mwenye mvuto kwa jinsi ya kujengaji hoja jukwaani. pia hawezi kuteka hisia za wavuja jasho ambao wengi wameachwa wanaamini yeye ni fisadi.
Urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ni kitu ambacho Mhe. Edward Ngoyai Lowassa anakitamani kuliko kitu kingine katika maisha yake! Lakini ukweli mchungu ( a bitter truth) ni kuwa pamoja na Edward Lowassa kuwa mwanamikakati mzuri (good strategist) ana nafasi finyu mno ya kuweza kuwa Rais wa JMT!

Kwa maneno mengine unaweza kusema, pamoja na Raila Amollo Odinga kuwa na nafasi finyu sana ya kuwa Rais wa Kenya dhidi ya Rais Uhuru Muigai Kenyatta wa Kenya lakini ana uafadhali kuliko Mhe.Edward Ngoyai Lowassa kuwa Rais wa JMT dhidi ya Rais John Pombe Magufuli!

Wengi wamekuwa wakim-evaluate Mhe.Edward Ngoyai Lowassa kama mtu ambaye hana maadili kwa namna alivyo-"rip" resources ambapo kwa mtazamo wangu hatofautiani sana na Wanasiasa wengi tulionao hapa Nchini ambao nao ni "wapigaji" lakini mwenzao akipiga "deal" kubwa kuliko wao huumia sana!

Kama unabisha angalia viongozi tulio nao leo wanaojifanya wanauchungu sana dhidi ya "wapigaji" kama wao hawakupiga chochote huko nyuma! Udhaifu mkubwa wa Mhe.Edward Ngoyai Lowassa ni kuwa si Mwanasiasa mzuri katika kuzungumza na ku -articulate mambo! (He is a poor Orator). Katika siasa za Ushindani hasa za kileo kuzungumza kwa ufasaha na vizuri (eloquency) si tu ni muhimu bali ni lazima kwa Mwanasiasa mwenye malengo makubwa!

Ukifuatilia kampeni za Mhe.Edward Ngoyai Lowassa katika Urais uliopita utagundua kuwa laiti angekuwa "Good Orator" asingeshindwa kuongeza kura milioni 2.99 katika zile kura milioni 6 alizopata!

Mhe.Edward Ngoyai Lowassa alikuwa na speeches zenye kuchukuwa wastani wa dk5 na muda wote maudhui ya hizo speeches ni kuhusu Mama Ntilie na Bodaboda! Mhe.Edward Ngoyai Lowassa alisahau kabisa kama Nchi hii kuna watu wengine zaidi ya Mama Ntilie na Bodaboda ! Alisahau kabisa masuala ya Wakulima na Wafanyakazi na kweli akapata kura nyingi za "masela" ,(Very poor Orator indeed !)

CHADEMA acheni kupoteza muda kwa Mhe.Edward Ngoyai Lowassa, tafuteni mtu smart mum-groom for 2020,najua wengi mtanipinga lakini ukweli utabaki kuwa Nzi wengi hukusanyika kwenye mavi!
 
Lakini CCM haikumsimamisha sasa ni kwa nini? Ni kwa sababu sifa zake hazikutosha, CCM ni taasisi na ina jukumu la kuhakikisha TZ iko mikononi mwa Kiongozi muadilifu na mkweli na Lowasa CV ina madoa sana na ndiyo maana walimuondoa!
narudia na unielewe kama ni wa kuelewa ukiizingatia na maada kuu pale juu. yeyyote atakaye simamishwa na ccm kugombea urais atashindaaaa haijalishi ni mchafu au msafi atashinda tuu, premise hapa ni kuwa anagombea kupitia ccm baaasi,hayo mengine sijui ni msafi sijui fisadi, sijuianaonge a vizuri, sijui anaweza kushawishi ni uselessswala ni kuwa kapitishwa na ccm baaasi huyo ndo rais. hayo mengine ni mbwembwe tu. hata wewe babaroza ukipitishwa na chama chako ccm utakuwa rais wa tz, muhimu usimamishwe na ccm full stop
 
narudia na unielewe kama ni wa kuelewa ukiizingatia na maada kuu pale juu. yeyyote atakaye simamishwa na ccm kugombea urais atashindaaaa haijalishi ni mchafu au msafi atashinda tuu, premise hapa ni kuwa anagombea kupitia ccm baaasi,hayo mengine sijui ni msafi sijui fisadi, sijuianaonge a vizuri, sijui anaweza kushawishi ni uselessswala ni kuwa kapitishwa na ccm baaasi huyo ndo rais. hayo mengine ni mbwembwe tu. hata wewe babaroza ukipitishwa na chama chako ccm utakuwa rais wa tz, muhimu usimamishwe na ccm full stop


Sasa kama ni hivyo na mnalijua hilo ni kwa nini mnaingia kwenye uchaguzi kama mnajua kwamba hakuna jinsi mnaweza kushinda? Kwa nini mmpoteze fedha na nguvu zenu kuingia kwenye uchaguzi ambao mnajua mnao nafasi 0 ya kushinda?
Kwa nini msifanye kama CUF Zanzibar? Ni kwa nini Lowasa alikuwa anawaambia kwamba atashinda asubuhi? Ni kwa nini chadema walikuwa wanasema kwamba 2015 CCM out?
 
Mkuu uko sahihi kabisa, watu wengi walikua wanakusanyika kwenye mikutano wakitarajia kupata maneno ya faraja lakini wallishia kuumia kimyakimya wakishindwa kuonyesha hisia za kutokuridhishwa na mgombea kutokana na mapenzi mazito waliyokuwa nayo juu yake yakichochewa na kuchoshwa na mfumo wa chama tawala.

Jambo moja nnaloweza kutofautiana kidogo na wewe ni hapo kwenye kuukoa urais, hizi nchi zetu za kiafrika kutangazwa mshindi wa urais ni zaidi ya kupata kura za wananchi, hivyo haya kama mzee wa awamu ya kwanza angeibuka akatokea upande wa upinzani pamoja na ufundi wake wa kuongea na hata kama wananchi wote wangempigia kura bado asingetangazwa mshindi kwa vile hayuko upande wa chama kilichoshika dola.
 
Lait wote mliochangia hapa mngejua chimbuko la siasa liko nje ya nchi, wale ndio wanaamua huyu anafaa /na huyu hafai, yote haya yanaendana na imani. Sababu kubwa vita hivi viko kiimani zaidi, kuna siri kubwa sana I nayojulikana
 
Sasa kama ni hivyo na mnalijua hilo ni kwa nini mnaingia kwenye uchaguzi kama mnajua kwamba hakuna jinsi mnaweza kushinda? Kwa nini mmpoteze fedha na nguvu zenu kuingia kwenye uchaguzi ambao mnajua mnao nafasi 0 ya kushinda?
Kwa nini msifanye kama CUF Zanzibar? Ni kwa nini Lowasa alikuwa anawaambia kwamba atashinda asubuhi? Ni kwa nini chadema walikuwa wanasema kwamba 2015 CCM out?
Mkuu ingawa tunahama mada, niseme tu kuwa utapeli wa kuwepo demokrasia ya vyama vingi ulianzia juu kabisa kwenye design yake Sheria na utekelezsji wake vinakinzana sana na mfumo huo, la cdm kushiriki au lowasa kusema atashinda hasubuhi nikutoelewa mazingira yasiyo wezekana kufanya siasa linganifu au ni maagent wa utapeli wa ccm. Hivi wewe hujawahi kushangazwa na kauli tata za viongozi wa ccm na selekali ambao husaini cheki za ruzuku za vyama vya upinzani kisha kutangaza majukwaani kuwa wapinzani ni magaidi wata haribu amani, ni wauwaji nk, nk,... Mwenye timamu hujiuliza gaidi na mfadili wa magaidi nani mbaya? Je mnawapa ruzuku na kuwatuma watuue?....... Ndugu babaroza pia kutenga ccm yako na dola chaweza kuwa kiama chake......... Na kufanya siasa linganifu.
 
kilicho mnyima urais ni kuwa aligombea urais nje ya ccm baasi, kwa sheria na taratibu za uchaguzi tulizo nazo haziruhusu hata kidogo kuwa na raisi nje ya ccm,amini nakwambia kuwa hakuna uwanja ulio sawa kwa vyama vya siasa kufanya siasa!
labda niulize kidogo tu pale zanzibar aliye shinda ndo mwongeaji mzuri kuliko wenzake wote???
Short and clear....Well said
 
Sasa wewe unawezaje kumlinganisha Mwai Kibaki na fisadi Lowasa? Kibaki ni intelligent man tafuta CV yake huyo ni mchumi aliyebobea, record zake zipo na zinaeleweka, utamlinganisha na huyu Mwanasanaa Lowasa fisadi papa!
Hayo sasa ni maoni yako binafsi.... uzi unaonyesha suala la lowasa kuto weza ongea ndo sababu ya kuto pata uraisi. .. sasa naona unawayawaya.... kibaki hawez kabisa ongea....
 
Interesting! Lowassa is news yet again and CCM has suddenly acquired the credibility to point fingers at graft! This is definitely a wonderland.
 
Interesting! Lowassa is news yet again and CCM has suddenly acquired the credibility to point fingers at graft! This is definitely a wonderland.

Maybe because the source of most graft in CCM was Lowassa and his friends! Some have remained in CCM and are keeping a low profile but it is the same clique. So there are no wonders here just related incidents.
 
Mkuu ingawa tunahama mada, niseme tu kuwa utapeli wa kuwepo demokrasia ya vyama vingi ulianzia juu kabisa kwenye design yake Sheria na utekelezsji wake vinakinzana sana na mfumo huo, la cdm kushiriki au lowasa kusema atashinda hasubuhi nikutoelewa mazingira yasiyo wezekana kufanya siasa linganifu au ni maagent wa utapeli wa ccm. Hivi wewe hujawahi kushangazwa na kauli tata za viongozi wa ccm na selekali ambao husaini cheki za ruzuku za vyama vya upinzani kisha kutangaza majukwaani kuwa wapinzani ni magaidi wata haribu amani, ni wauwaji nk, nk,... Mwenye timamu hujiuliza gaidi na mfadili wa magaidi nani mbaya? Je mnawapa ruzuku na kuwatuma watuue?....... Ndugu babaroza pia kutenga ccm yako na dola chaweza kuwa kiama chake......... Na kufanya siasa linganifu.

You entirely missed the point! Swali la kwa nini Lowassa alisema atashinda asubuhi haikuwa posturing tu na wala Ukawa hawakuamini tu kirahisi bali walikuwa na uhakika huo baada ya timu ya hackers kuletwa. Kilichokuja kuharibika ni kwamba walikuwemo wazalendo miongoni mwao walioona hatari yake na wachakachuaji wakadakwa. Ndipo ukaona Lowassa alipopanic kwenda mpaka NEC kwi kwi kwi!
Ukawa na Lowassa na marafiki zake mafisadi walitaka kucheza mchezo mchafu ili washike nchi watafune vizuri baada ya kushindwa kupitia CCM. Kama huelewi hili na kuendelea kuamini fairytale ya Ukawa hutaelewa hasa kilichotokea 2015 .
 
You entirely missed the point! Swali la kwa nini Lowassa alisema atashinda asubuhi haikuwa posturing tu na wala Ukawa hawakuamini tu kirahisi bali walikuwa na uhakika huo baada ya timu ya hackers kuletwa. Kilichokuja kuharibika ni kwamba walikuwemo wazalendo miongoni mwao walioona hatari yake na wachakachuaji wakadakwa. Ndipo ukaona Lowassa alipopanic kwenda mpaka NEC kwi kwi kwi!
Ukawa na Lowassa na marafiki zake mafisadi walitaka kucheza mchezo mchafu ili washike nchi watafune vizuri baada ya kushindwa kupitia CCM. Kama huelewi hili na kuendelea kuamini fairytale ya Ukawa hutaelewa hasa kilichotokea 2015 .
NDUGU kuna mwnzio naye alikuwa anafikiri kama wewe nimemjibu hivi:-
Mkuu ingawa tunahama mada, niseme tu kuwa utapeli wa kuwepo demokrasia ya vyama vingi ulianzia juu kabisa kwenye design yake Sheria na utekelezsji wake vinakinzana sana na mfumo huo, la cdm kushiriki au lowasa kusema atashinda hasubuhi nikutoelewa mazingira yasiyo wezekana kufanya siasa linganifu au ni maagent wa utapeli wa ccm. Hivi wewe hujawahi kushangazwa na kauli tata za viongozi wa ccm na selekali ambao husaini cheki za ruzuku za vyama vya upinzani kisha kutangaza majukwaani kuwa wapinzani ni magaidi wata haribu amani, ni wauwaji nk, nk,... Mwenye timamu hujiuliza gaidi na mfadili wa magaidi nani mbaya? Je mnawapa ruzuku na kuwatuma watuue?....... Ndugu babaroza pia kutenga ccm yako na dola chaweza kuwa kiama chake......... Na kufanya siasa linganifu
Ni vyema kupitia post zilizo tangulia kuepusha maswali yasiyo kuwa ya lazima.
 
Urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ni kitu ambacho Mhe. Edward Ngoyai Lowassa anakitamani kuliko kitu kingine katika maisha yake! Lakini ukweli mchungu ( a bitter truth) ni kuwa pamoja na Edward Lowassa kuwa mwanamikakati mzuri (good strategist) ana nafasi finyu mno ya kuweza kuwa Rais wa JMT!

Kwa maneno mengine unaweza kusema, pamoja na Raila Amollo Odinga kuwa na nafasi finyu sana ya kuwa Rais wa Kenya dhidi ya Rais Uhuru Muigai Kenyatta wa Kenya lakini ana uafadhali kuliko Mhe.Edward Ngoyai Lowassa kuwa Rais wa JMT dhidi ya Rais John Pombe Magufuli!

Wengi wamekuwa wakim-evaluate Mhe.Edward Ngoyai Lowassa kama mtu ambaye hana maadili kwa namna alivyo-"rip" resources ambapo kwa mtazamo wangu hatofautiani sana na Wanasiasa wengi tulionao hapa Nchini ambao nao ni "wapigaji" lakini mwenzao akipiga "deal" kubwa kuliko wao huumia sana!

Kama unabisha angalia viongozi tulio nao leo wanaojifanya wanauchungu sana dhidi ya "wapigaji" kama wao hawakupiga chochote huko nyuma! Udhaifu mkubwa wa Mhe.Edward Ngoyai Lowassa ni kuwa si Mwanasiasa mzuri katika kuzungumza na ku -articulate mambo! (He is a poor Orator). Katika siasa za Ushindani hasa za kileo kuzungumza kwa ufasaha na vizuri (eloquency) si tu ni muhimu bali ni lazima kwa Mwanasiasa mwenye malengo makubwa!

Ukifuatilia kampeni za Mhe.Edward Ngoyai Lowassa katika Urais uliopita utagundua kuwa laiti angekuwa "Good Orator" asingeshindwa kuongeza kura milioni 2.99 katika zile kura milioni 6 alizopata!

Mhe.Edward Ngoyai Lowassa alikuwa na speeches zenye kuchukuwa wastani wa dk5 na muda wote maudhui ya hizo speeches ni kuhusu Mama Ntilie na Bodaboda! Mhe.Edward Ngoyai Lowassa alisahau kabisa kama Nchi hii kuna watu wengine zaidi ya Mama Ntilie na Bodaboda ! Alisahau kabisa masuala ya Wakulima na Wafanyakazi na kweli akapata kura nyingi za "masela" ,(Very poor Orator indeed !)

CHADEMA acheni kupoteza muda kwa Mhe.Edward Ngoyai Lowassa, tafuteni mtu smart mum-groom for 2020,najua wengi mtanipinga lakini ukweli utabaki kuwa Nzi wengi hukusanyika kwenye mavi!
******
STOP LONG LONG STORY KILICHOMWANGUSHA LOWASSA NI VOTE THEFTS "UIZI WA KURA" / GHOST VOTES.
 
NDUGU kuna mwnzio naye alikuwa anafikiri kama wewe nimemjibu hivi:-
Mkuu ingawa tunahama mada, niseme tu kuwa utapeli wa kuwepo demokrasia ya vyama vingi ulianzia juu kabisa kwenye design yake Sheria na utekelezsji wake vinakinzana sana na mfumo huo, la cdm kushiriki au lowasa kusema atashinda hasubuhi nikutoelewa mazingira yasiyo wezekana kufanya siasa linganifu au ni maagent wa utapeli wa ccm. Hivi wewe hujawahi kushangazwa na kauli tata za viongozi wa ccm na selekali ambao husaini cheki za ruzuku za vyama vya upinzani kisha kutangaza majukwaani kuwa wapinzani ni magaidi wata haribu amani, ni wauwaji nk, nk,... Mwenye timamu hujiuliza gaidi na mfadili wa magaidi nani mbaya? Je mnawapa ruzuku na kuwatuma watuue?....... Ndugu babaroza pia kutenga ccm yako na dola chaweza kuwa kiama chake......... Na kufanya siasa linganifu
Ni vyema kupitia post zilizo tangulia kuepusha maswali yasiyo kuwa ya lazima.

Niliisoma lakini nimeiona irrelevant kwani mkuu unaona hali kwa miwani ya Ukawa na CCM na asilimia yetu kubwa watanzania hatuna vyama bali tunataka maendeleo. Kwa hiyo jibu lako linaonekana kusema eti kumkosoa Lowassa ni sawa na kuwa CCM
Pili kuhusu sheria iliyopo kuuminya demokrasia ngoja nikupe mfano mzuri pale ambapo upinzani walikuwa na nafasi ya kukaa na kufanya mabadiliko madogo ya kisheria - walitakiwa wasimamie mabadiliko ya sheria ya uchaguzi baada ya kutoka Bunge la Katiba. Na Dr Slaa akiwa Katibu Mkuu alitangaza mazungumzo haya kuwepo. Alichokuwa hajui ni kuwa dili za Lowassa kuhamia zilishaanza na Mbowe nyuma ya mgongo wake na hivyo hawakuwa na interest ya kubadili sheria. Ukweli ni kuwa upinzani umejaa viongozi walafi, vigeugeu na mafisadi. Hii haina maana kuwa CCM is better. Bali ni kusema upinzani si mashujaa, wazalendo au watakatifu kama ambavyo wanataka kutuaminisha na 2015 walijipambanua na wananchi wengi wamekosa nao imani. Kura zao zitaendelea kupungua na kwa bahati mbaya hata wale vijana ambao tulifikiri wanaweza kuibuka na hatimaye kuongoza kama akina Mnyika wamefifia. Hii si dalili nzuri kwa demokrasia. Trigger ni Lowassa kuhamia na kambi yake Chadema na kuondoa credibility ya upinzani wa kweli.
 
kilicho mnyima urais ni kuwa aligombea urais nje ya ccm baasi, kwa sheria na taratibu za uchaguzi tulizo nazo haziruhusu hata kidogo kuwa na raisi nje ya ccm,amini nakwambia kuwa hakuna uwanja ulio sawa kwa vyama vya siasa kufanya siasa! hivi sasa ccm unaitengaje na dola? watumishi wengi wenye nafasi nyeti selikalini ni makada watiifu wa ccm ambapo watumikapo selikalini huelekezwa na chama wafanye nini in favour of chama, rejea naibu spika wa sasa (kutoka ccm) muda mfupi kabla ya kuingia bungeni alikuwa mtumishi sekilalini tene akisimamia kesi ya kusimama mita mia moja kutoka vituo vya kupigia kura!, mifan ipo mingi sanaaaaaaa...... ndugu mtoa mda hakika nakwabia hata kama huyo lowasa angekuwa muongeaji mzuri na mwenye kushawishi kuliko mtu yeyote asinge weza kuwa rais. labda niulize kidogo tu pale zanzibar aliye shinda ndo mwongeaji mzuri kuliko wenzake wote???

Hata angeletwa Raila Odinga kutoka Kenya au Dr Kiiza Besigye wa Uganda ambao ni wazungumzaji wazuri (good orators) na kugombea Urais wa Tanzania, chini ya katiba na mfumo huu tulionao hata ukipata kura nyingi kumzodi mgombea wa chama kilicho madarakani hutatangazwa mshindi!

Kwa hiyo hapa kilicho cha kweli kabisa wala si kujua kuzungumza vizuri au kukaa kimya au kuwa msafi (usiye na tuhuma za makando kando ya ufisadi) au kitu kingine chochote kinachoweza kukufanya uwe mshindi ktk kiti cha urais bali, bali mfumo hautoi fursa ya kukutangaza mshindi hata kama sanduku la kura litaamua na kukupatia kura nyingi!!

Reference nzuri ni uchaguzi wa Zanzibar mwaka jana. Pamoja na Maalim Seif Shariff Hamad na CUF kushinda kwa kura nyingi kumzidi mgombea wa CCM, chama kilichokuwa madarakani wakati huo, jamaa mchana kweupe na bila aibu wakashindwa kupindua matokeo lakini waleta visingizio za kuufuta uchaguzi ili mradi tu mgombea nje ya CCM "asitangazwe" mshindi ktk kiti cha urais!!

Mimi sikubaliani 100% na mleta mada ktk hoja zake zote pamoja na hitimisho lake!!
 
Back
Top Bottom