Lowasa angekuwa msafi asingeachia ngazi ya uwaziri mkuu,alikubali kujiuzulu maana anajua madudu aliyofanya mwenyewe
Wanaompinga Lowasa hawana hoja za msingi zaidi ya matusi. Mi nishasema mara kibao watuletee ushahidi wa tuhuma zao. Hakuna wanachofanya. Pigeni kelele, lakini matokeo ya ukweli yanakuja.
Ah utapeli wake mpaka umeujua wewe sawa.cha muhimu tiba ya fikra nimeiweka mbele ichangiwe kwa hoja za mantiki matusi,na tuhuma si suruhisho ya kutaka wenye kutumia akili zao vyema wakubali tuhuma na matusi yenu kuwa ni ustaarabu wa kujenga hoja makini, mkiondoeni jazba mtapata faida ya utamu wa radha ya ubinaadamu ambayo naimani kwa hali mliyo nayo ya kifikra hamjawahi kupata utamu wa radha ya ubinaadamu.ok safari hii hata nyie mnatakiwa tuende wote ukweli hauwezi kuwamaliza,mkimalizika ah kanuni itakuwa nini!! ?kuvumilia mkaona uchangiaji wa hoja za mantiki zitakazo tolewa na jamii yenye sifa ya jf kuna kitu mtaongeza na kuendea tiba iliyo kusudiwa ktk hoja hii.kutumwa,elimu si kusudio letu kujadili ni kutoka nje ya mada kama mnajua madhara yake.tuendelee mimi LOWASA NIMEMKUBALI Jengo hoja ktk udhaifu wake na uwezo alionao je anatufaa kuwa rais wetu 2015.ahsante
KISIASA Lowasa amevaa Sanda na ninyi Wafagiliaji wake mnamdemeza Kaburini.
+ Mwizi,Fisadi.EL is a creative, hard working and tough decision maker.
Hebu mjibu huyo LUTHER 3.KISIASA !? Hajavaa sanda labda urudi ktk hoja ya msingi tuwe wote pamoja.wewe kujua tu amevaa sanda kisiasi ni ushahidi tosha yuko juu kwa mtazamo wako labda uniambie hujui tunamuongelea lowasa gani?ah kama umuelewe ni lowasa gani tunakuomba uvumilie kidogo hadi umjue.kama utafanikiwa kumuelewa basi karibu uchangie hoja.MIMI LOWASA NIMEMKUBALI KUWA RAIS WETU 2015 JE UNAJUA UDHAIFU WAKE na UWEZO WEKE UTWAMBIE TUWE PAMOJA.AHSANTE
Kama ni msafi atueleze mkataba wa Richmond kauingia nani,na pia atueleze mali alizo jilimbikizia amezipataje,eg zile Ranch,Maghorofa yaliyotapakaa kila kona ya nchi na nje ya nchi.Wanaompinga Lowasa hawana hoja za msingi zaidi ya matusi. Mi nishasema mara kibao watuletee ushahidi wa tuhuma zao. Hakuna wanachofanya. Pigeni kelele, lakini matokeo ya ukweli yanakuja.
hebu wee mpe mtoto wako wa kike uoneJamani Mnyonge mnyongeni, bali haki yake mpeni. ANAWEZA.
Pili Mchawi mpe mtoto akulelee, Kamwe hawezi kumloga.
Lowasa angekuwa msafi asingeachia ngazi ya uwaziri mkuu,alikubali kujiuzulu maana anajua madudu aliyofanya mwenyewe
Hivi Lowassa Anakulipa shs.Ngapi paka unajitoa mhanga kumpamba kwenye JF! lakini msimchune sana hela mzee wa watu asije akafulia
mwulize mleta mada hilo swali,nadhani yeye ndo anayelipwa.