Sababu gani MBA ya Mzumbe inaitwa maharage ya Mbeya?

Muanzisha maada hajakosea, ila wachangiaji ndiyo mnajichanganya! Kama kuna mtu kasoma Mzumbe ndiye shahidi ktk yafuatayo;
1. Kupata ajira faster,
2. Kutoka umepikwa na kupikika katika fani,
Sikatai kuwa kuna udhaifu, ila hayo ni vitu binafsi (kwa wanafunzi na kwa walimu). Ninao ushahidi wa best student wote wa Mzumbe wana ajira zenye mishahara zaidi ya Mil 1, na ni very competitive. Kuhusu kuhonga Lecturer, hilo sikatai ni kukosa maadili kwa mhusika na pia ni tatizo la mwanafunzi husika. Natoa mfano halisi=Kuna mwanafunzi alikamatwa anades hapo Mzumbe kipindi cha University examination, akafukuzwa na kulia mbele za wanafunzi, analalamika eti kaonewa, lakini uongozi haukuangalia alifukuzwa (na kama angesamehewa, basi wadau mgesema Mzumbe hawapo siriasi). Tatizo kubwa lipo Dar kampasi ambako wanaosoma wengi ni wafanyakazi maofisini na wanavimishahara na bado wanaendekeza pombe na mademu kwa hiyo muda wa shule hawana, inapotokea umekataliwa mfano thesisi yako basi mwanafunzi hana muda wa kufikiria kuwa anatakiwa asome kwamba hajui, ila nasema eti anaonewa na anaangalia mbinu ya kumlainisha lecturer (Mapenzi, fedha n.k) sasa hili si kuilamu Mzumbe, pia wanafunzi walaumiwe.
 
hata research zlizofanywa na vyuo znazbeba,sa chuo ka mzumbe au tumaini wamefanya nin cha maana mkuu.?
Full-Time MBA Rankings in the US
We look at a number of different statistics, including but not limited to: age of the MBA program, enrollment, test scores, acceptance rates, and number of international and minority students. A program must be accredited to be considered for ranking.

The MBA ranking is published in late October or early November in even-numbered years.
The recruiter survey is also conducted online. Starting with e-mail addresses supplied by the programs,Bloomberg Businessweek creates a list of companies recruiting from the programs and identifies a single high-level recruiting contact at each company. This means that not every recruiter supplied by every school will be contacted. In some cases, such as when a company maintains a separate recruiting organization for Europe, more than one recruiting contact at the company will be asked to complete the survey.Then, with the help of Cambria Consulting,Bloomberg Businessweek contacts the company representatives and directs them to a survey site where they can complete the survey. Bloomberg Businessweek will send out several reminders or call recruiters to ensure an adequate response rate.
Every company tells us how many MBAs it hired in the previous two years and which schools it actively recruits from, and it ranks up to 20 top schools.

To calculate each school's recruiter score, we first use the rankings to determine each school's recruiter points, awarding 20 points for every No. 1 ranking, 19 points for every No. 2 mention, and so on. We then calculate a numerator, which consists of the sum of each school's points from each specific recruiter multiplied by the number of MBAs hired by that specific recruiter. We then calculate a denominator, which is the sum of the number of times each school is identified as a recruiting location multiplied by the number of MBAs hired by each recruiter who mentions it. Finally, for each school, we divide the sum of its numerators by the sum of its denominators.


Source:Bloomberg Business News 2011


Unless mkija na facts za mchanganuo kama huo hapo juu ktk varsities za bongo ndio nitaamini. Sijasoma Mzumbe na wala sitasoma Mzumbe lakini naamini kiwango cha elimu ya varsities zote bongo ni sawa tuu
 
Sio wahasibu tu hata kitengo cha IT angalia mwanafunzi anaesoma masomo ya IT anashare notes na mwanafunzi wa komputa science mabam mulemule na mabasic matths mulemule sasa wewe mbwera kama haijala kwako yaani IT kumaliza semester bila kugongwa somo hata moja ni kitu ambacho ni muujiza
mkuu ukitaja IFM unapandisha presha wanachuo. Mi nadhani kile chuo kinafanya ukatili. Ivi kwa nini wanafundisha masomo magumu na mitihani huwa migumu vile? Yani ukiwa na ndugu pale akifika mwisho wa mwaka wa pili,aisee mfanyie party. Pale ni kama Ardhi university,mtu anaenda mkali ila first semester anadisco,pale hamna ku carry forward core subject,pia ukikamatwa masomo matatu,ukiongeza moja unadisco,ukichelewa asignment au kutosign maudhurio ya kipindi,unadisco. Hapana mi nadhan IFM kuna ukomoaji wa aina yake. Ila wakitoka pale wanaaminika sana,sana sana wahasibu. Ni maoni yangu tu!
 
Mimi nimeajiri toka IAA, UDSM, Mzumbe na Ushirika. Performance zao kwenye fani ya uhasibu IAA (1); UDSM(2); Ushirika na Mzumbe (3)
 
nadhani tusichukue mambo juu juu hasa kwa kishabiki,binafsi sijafanya utafiti wa MBA but nataka niongelee kwa ujumla kuhusu chuo kikuu mzumbe kwa kulinganisha na vingine kwa kuzingatia yafuatayo
lengo na madhumuni ya kuanzishwa chuo,tumeona madhumuni ilioanzisha chuo cha mzumbe ni tofauti na udsm,kivipi,mzumbe imetoka kwenye taasissi namaanisha institute(IDM),NA IFAHAMIKE ILIKUA NA MALENGO MAHUSUSI,NA HATA LEO WANOBISHA WABISHE TU LAKINI KTK MAENEO HAYO AMBAYO YANA HUSIANA NA MANAGEMENT IWE MAENDELEO YA JAMII,IWE FEDHA, UTAWALA NK,MZUMBE WAKO JUU,MFANO WA VYUO HIVI NI KM MIPANGO DODOMA(IRDP)HUWEZI UKAWAPIKU KATIKA FANI YA MIPANGO,(angalia sheria za kuzianzisha)
mahitaji ya soko,JE WAAJIRI WANAtaka nini,mfano huwezi ukalinganisha utendaji kazi ie field (porini)/kwa mwananchi wa kawaida wa mtu anayetoka chuo cha wanyamapori mweka na wa sua ambao wote wana shahada ya kwanza au its equivalent kuhusu wildlife management,pia kuna waajiri wengine wanataka watu ambao ni wasimamizi tu na wanaowezakupresent kwenye powerpoint vizuri zaidi,ambao si wabunifu wanategemea wamnefundishwa nini na nani wa ulaya kasema nini kuhusu jambo hilo ht km mazingira ,vitendea kazi ni tofauti
waajiri wanasemaje,
ni ukweli usio pingika udsm ya miaka ile si ya leo,kwenye ubora,km ni kweli sawa km sivyo utanambia,
,lakini watu wengi wanawapenda watu wa mzumbe enzi zile kuliko mlimani kuwa mabwana maendeleo ,tembeeni,kagueni, mawilayani mujionee,ijapokua muongozo ulikua for the same post education requirement was either ba sociology ya mlimani or adv dip community dev ya mzumbe,angalieni leo wakuu wa idara maendeleo ya jamii wilayani wengi wanatoka chuo gani
mabadiliko
,vyuo vingi kwa sasa vipo kibiashara na vinaandaa kozi kutokana na upepo unapoelekea,na vina badili mielekeo yao,mapungufu madogo madogo yapo kwa kila chuo na kwa kila mhitimu,pia idadi ya wahadhili inategemea hali halisi,hiost\toria,malengo mmiliki ,umri wake,nk ,cha msingi ni output ikoje,maana unaweza ukawa na prof 70 ila lekcha hakuna daily trip unazan ni sawa na yule mwenye phd 30 ambao wako bize na chuo wanahudhuria class?au ratio unaweza ukawa na prof 10 na wanafunzi 100 mwingine prof 200 wanafunzi 20000!!?
hitimisho
kila chuo kina strength na weakness ktk kozi fulani hasa bongo no master wa kozi zote
 
Niliongea na Mkurugenzi Mmoja wa wizara ya Fedha akaniambia wao wanawakubali graduates wa IFM na MBA graduates wa ESAMI Arusha kuliko MBA holders toka vyuo vingine endeleeni kujadili, nilikuwa napita tu!!
 
Niliongea na Mkurugenzi Mmoja wa wizara ya Fedha akaniambia wao wanawakubali graduates wa IFM na MBA graduates wa ESAMI Arusha kuliko MBA holders toka vyuo vingine endeleeni kujadili, nilikuwa napita tu!!

Hata mimi napita tu
 
Teh Teh Teh!
MBA ya Mzumbe inamajiana mengi, wengine tumezoea kuisikia ikiitwa Voda Fasta, yaani ndani ya miezi sita hadi saba unakua na cheti tena mitihani yenyewe unapewa a list of questions (almost 20 or so ) from which UE will be picked out of those questions, Shame on you Mzumbe, hata employers wameshaistukia long ago, yani mtu kamaliza MBA lakini hana analolijua, kama mtoto wa first year, Kuna rafiki yangu anasema akimaliza tu pale anatafuta MBA chuo kingine asome kwani katoka kapa!

Huyo rafiki yako bila shaka anamapungufu yake binafsi ambayo si lazima yahusishwe na chuo. Wrong way of thinking, arguing and making conclusions. Masters programme zote za Mzumbe ni miezi 18 ikiwa ni pamoja na dissertation. Mawazo mgando kwamba masters lazima iwe miaka mitatu hadi minne ni conservative mentality ambayo haina tija kwa taifa na waajiri.
 
Hii inaonesha kwamba watu sio great thinkers tena humu jamvini. Kulinganisha miaka ya kusoma na ubora ni ufinyu we mawazo. Je tuseme degree inayotolewa miaka mitatu haina ubora ikilinganishwa na ile ya miaka minne? Uingereza kozi nyingi za masters ni miezi kumi na mbili, miezi tisa course work na mitatu dissertation. Mzumbe inatoa masters zake zote kwa miezi 18. Eti mtu anasema mtu kasoma masters then katoka kapa, lakini asijue yeye mwenyewe ndo yupo kapa, kwa sababu kuna wanaosoma masters hizo hizo na wanaenda kufanya PhD

Jambo la msingi ni kwamba mitaala ya chuo chochote lazima ipitishwe na mamlaka husika kwetu Tanzania ni TCU. Kuita masters fulani ni maharage ya mbeya ni matokeo ya kukariri hasa suala la muda wa kusoma.
 
Mzumbe hakuna walimu wenye sifa (PhD) holders! chuo kizima PhD holders ni 23 tu sasa hicho chuo (University) au College tu! Unapozungumza vitu uwe na facts sio unakurupuka tu! kenge wewe! Pia utambue kuwa mzumbe walimu wao wengi ni TA na masters holder! Sasa uliona wapi shule ya kilaza kumfundisha kilaza mwenzake? then mtu hata akiwa na GPA ya 5.0 kutoka kwa kilaza mwenzake utasema huyo ana sifa? wewe wa wapi bana? au ndo wale wale bora liende? tuliza kitenesi hicho bana usiwe mkurupukaji tu kuongea vitu usivyovijua! a.k.a strong convicing points!


Bwana Saweboy, Ingefaa sana utoe source ila kila mtu ajiridhishe kama ni kweli unayosema ama laa. Lakin nijuavyo mim kwamba kuna PhD holders 23 sio kwelii, Vinginevyo hutofautiani na mwimba taarabu. Pitia Prospectus 2010/2011 na utuletee majibu. Hivi SUA ilivyo kuwa inaanza ilikuwa na idadi kubwa ya professors na PhD holders sawa na UDSM?. Lakin baada ya kuwepo kwake kwa takribani miaka 25 utakuta sasa wana PhD holders wengi na professors vile vile. Pia mtu anapaswa kujua kuwa Professorship ni promotional ranks katika chuo fulani baada ya kukidhi vigezo.
 
Muanzisha maada hajakosea, ila wachangiaji ndiyo mnajichanganya! Kama kuna mtu kasoma Mzumbe ndiye shahidi ktk yafuatayo;
1. Kupata ajira faster,
2. Kutoka umepikwa na kupikika katika fani,
Sikatai kuwa kuna udhaifu, ila hayo ni vitu binafsi (kwa wanafunzi na kwa walimu). Ninao ushahidi wa best student wote wa Mzumbe wana ajira zenye mishahara zaidi ya Mil 1, na ni very competitive. Kuhusu kuhonga Lecturer, hilo sikatai ni kukosa maadili kwa mhusika na pia ni tatizo la mwanafunzi husika. Natoa mfano halisi=Kuna mwanafunzi alikamatwa anades hapo Mzumbe kipindi cha University examination, akafukuzwa na kulia mbele za wanafunzi, analalamika eti kaonewa, lakini uongozi haukuangalia alifukuzwa (na kama angesamehewa, basi wadau mgesema Mzumbe hawapo siriasi). Tatizo kubwa lipo Dar kampasi ambako wanaosoma wengi ni wafanyakazi maofisini na wanavimishahara na bado wanaendekeza pombe na mademu kwa hiyo muda wa shule hawana, inapotokea umekataliwa mfano thesisi yako basi mwanafunzi hana muda wa kufikiria kuwa anatakiwa asome kwamba hajui, ila nasema eti anaonewa na anaangalia mbinu ya kumlainisha lecturer (Mapenzi, fedha n.k) sasa hili si kuilamu Mzumbe, pia wanafunzi walaumiwe.

Tehe tehe hii sasa ni semantics
 
Naunga mkono hoja, hata me pia nashindwa kuamini hivi vyuo vyengine vya bongo zaidi ya SUA na UDSM, kupata admission tu kwenyewe ni issue,lakini kuna vyuo hivi zoa zoa, MZUMBE kimoja wapo,walimu hawako serious kabisa na hili ni kwa sababu wali copy & paste kila kitu wakati wanasoma. Siku hizi imekua fashion kusikia mtu anasoma Masters Mzumbe na kukwambia ana uhakika wa kufaulu, but muulize vp kuhusu IFM au UDSM atakwambia hao wote ni wabanaji.
 
ESAMI iko juu....unapata maprofesa toka nchi 10 tofauti...sio hawa wa kwetu na kukomoana
 
Naunga mkono hoja, hata me pia nashindwa kuamini hivi vyuo vyengine vya bongo zaidi ya SUA na UDSM, kupata admission tu kwenyewe ni issue,lakini kuna vyuo hivi zoa zoa, MZUMBE kimoja wapo,walimu hawako serious kabisa na hili ni kwa sababu wali copy & paste kila kitu wakati wanasoma. Siku hizi imekua fashion kusikia mtu anasoma Masters Mzumbe na kukwambia ana uhakika wa kufaulu, but muulize vp kuhusu IFM au UDSM atakwambia hao wote ni wabanaji.
Old belief frnd! Kumbe chuo kiki dahili wanafunzi kibao kutokana na miundombinu yake kwa maana ya walimu, majengo, vitabu, maabara na n.k kutosheleza mahitaji tajwa kinakuwa chuo Zoazoa?
 
Hapa mimi naona watu wengi wanaongelea maneno ya kusikia, hapa kinachotakiwa watu waseme kuwa MBA Wanayoijua ikoje na hii ya Mzumbe tofauti yake ni nini, tupo Maofisini na watu tofauti wamesoma vyuo tofauti, Bado jitihada ya mtu ni nguzo muhimu sana katika kuwa BORA, Watu wanasoma chini ya miti na wanakuwa wazuri kuliko waliosoma Darasani.

Msomi mzuri ni yule ambaye anatafuta maarifa bila kuchoka. Kwa uelewa wangu wa kawaida ni kwamba vyuo vyetu vingi tunashare walimu wale wale, ukiondoa wale wa kuandikishwa katika orodha ya vyuo wako wengine ambao wao wanazunguka chuo kimoja na kingine.

Nina rafiki yangu alikuwa anasoma Tumaini Dar es Salaam mwaka wa tatu na bado alikuwa akiletewa assignment za Wanafunzi wa MBA UDSM na kuzifanya halafu hupewa mshiko.hAPA MSIWE Bias vyuo vyote vya Bongo vinafanana.
 
PROGRAMME DURATION INFORMATION AT MU
The duration for all masters’ programmes is 18 months.
Source: www.mzumbe.ac.tz
Makuhadi wa UDSM mnapenda kuponda wenzenu
 
tanzania kuna chuo kinaitwa esami mkuu?


Kweli Senetor ni mchanga katika Academics, ESAMI ni Eastern and Southern Management Institute kilichopo Arusha pale Njiro Kinatoa MBA katika fani mbali mbali. Na hivi karibuni wameanza program ya Doctor of Business Administration.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom