Sababu gani MBA ya Mzumbe inaitwa maharage ya Mbeya?

Haya mie nachambua mchele pumba zote naziacha...nadhani kinachopaswa kuangaliwa ni mhitimu anaitumiaje elimu aliyonayo na mazingira aliyopo
asanteni kwa kutufahamisha
 
Ni wazi kuwa mzumbe kina sifa nzuri ktk nyanja nyingi na hasa ktk uhasibu. Kama kunamatatizo yatakuwa ni ya muhitimu husika na sio chuo.
 
Mzumbe hakuna walimu wenye sifa (PhD) holders! chuo kizima PhD holders ni 23 tu sasa hicho chuo (University) au College tu! Unapozungumza vitu uwe na facts sio unakurupuka tu! kenge wewe! Pia utambue kuwa mzumbe walimu wao wengi ni TA na masters holder! Sasa uliona wapi shule ya kilaza kumfundisha kilaza mwenzake? then mtu hata akiwa na GPA ya 5.0 kutoka kwa kilaza mwenzake utasema huyo ana sifa? wewe wa wapi bana? au ndo wale wale bora liende? tuliza kitenesi hicho bana usiwe mkurupukaji tu kuongea vitu usivyovijua! a.k.a strong convicing points!

Kama wewe ndio product ya UDSM ndio unathibitisha jinsi chuo hicho mnachodesa kila kukicha kilivyo......Hakuna chuo kibovu nchi hii kama UDMS ila watu wanakipenda coz ni cha zamani ila ufundishaji taka taka tupu kwani now a days wanafunzi wanaotoka pale vichwa maji kupindukia.

Kazi yao kuibia mitihani na kuiba mitihani kila kukicha mwanzo mwisho. Uwizi mtupu.
 
naona kuna watu wanaiponda mzumbe na watu wengine wanaiponda udsm, sasa sielewi ugomvi baina ya vyuo au ndo facts?
ila mimi kama outsider ambaye sijasoma vyuo vyote hivyo nina wasiwasi sana na mzumbe , kwani ni kweli walimu wenye Ph.D pale ni wachache na wengine wenye hizo phd wamezipata kwa kuungaunga na hazitambuliwi nchini, hivyo inatia shaka juu ya uwezo wao wa kudeliver material.
jambo la pili nimeona wanafunzi wengi waqnaotoka mzumbe wana GPA kali sana za uppersecond na first class, sasa hapa nashindwa kuelewa ni kweli hawa wanafunzi ni vipanga au kuna laxity katika mitihani. hili linaongezwa nguvu na jamaa zangu ambao wanasoma masters pale ambao wan GPA zinazoapproach first class kwenye masters ilhali najua ni wa kawaida sana tu, may be nina wivu na mafanikio yao lakini kwangu haiingii akilini kila nayepita mzumbe iwe undergraduate au masters still anarudi na GPA za kufa mtu, kwangu mzumbe nakiona kama baadhi tu ya vyo binafsi vya tanzania vyenye wingi wa D- na E- students na visivyo na walimu bora lakini cha ajabu wanafunzi hawa hutoka na first class, what a joke!!!!
 
naona kuna watu wanaiponda mzumbe na watu wengine wanaiponda udsm, sasa sielewi ugomvi baina ya vyuo au ndo facts?ila mimi kama outsider ambaye sijasoma vyuo vyote hivyo nina wasiwasi sana na mzumbe , kwani ni kweli walimu wenye Ph.D pale ni wachache na wengine wenye hizo phd wamezipata kwa kuungaunga na hazitambuliwi nchini, hivyo inatia shaka juu ya uwezo wao wa kudeliver material.jambo la pili nimeona wanafunzi wengi waqnaotoka mzumbe wana GPA kali sana za uppersecond na first class, sasa hapa nashindwa kuelewa ni kweli hawa wanafunzi ni vipanga au kuna laxity katika mitihani. hili linaongezwa nguvu na jamaa zangu ambao wanasoma masters pale ambao wan GPA zinazoapproach first class kwenye masters ilhali najua ni wa kawaida sana tu, may be nina wivu na mafanikio yao lakini kwangu haiingii akilini kila nayepita mzumbe iwe undergraduate au masters still anarudi na GPA za kufa mtu, kwangu mzumbe nakiona kama baadhi tu ya vyo binafsi vya tanzania vyenye wingi wa D- na E- students na visivyo na walimu bora lakini cha ajabu wanafunzi hawa hutoka na first class, what a joke!!!!
bwana,tanzania vyuo ni viwili 2,udsm nd sua labda 2naweza kuviweka ardhi na muhimbili.
 
aisee sherrif IFM mpaka uje uvae joho ni kwamba umesapua mpaka unatamni dunia itoboke..

mkuu ukitaja IFM unapandisha presha wanachuo. Mi nadhani kile chuo kinafanya ukatili. Ivi kwa nini wanafundisha masomo magumu na mitihani huwa migumu vile? Yani ukiwa na ndugu pale akifika mwisho wa mwaka wa pili,aisee mfanyie party. Pale ni kama Ardhi university,mtu anaenda mkali ila first semester anadisco,pale hamna ku carry forward core subject,pia ukikamatwa masomo matatu,ukiongeza moja unadisco,ukichelewa asignment au kutosign maudhurio ya kipindi,unadisco. Hapana mi nadhan IFM kuna ukomoaji wa aina yake. Ila wakitoka pale wanaaminika sana,sana sana wahasibu. Ni maoni yangu tu!
 
Mabosi jf mtuanzishie jukwaa la ndondi humu ndani!!
............ yaweza kua suruhu mbadala maana naona watu washaanza kutoa maneno makali makali, na je hii inatokana na madudu yanayofanywa na wahitimu wa sehemu husika au ni chuki binafsi!?????????
 
Unanitisha....nataka nikafanye HR mwaka huu wa masomo.......
usiogope, kila chuo kinapondwa. Akitokea mtu akasema MBA ya UDSM ni maharage ya Mpwapwa wapo watu watakaosema imezalisha mafisadi waliotufikisha tulipo. Akili kumkichwa.
 
tofauti ipo kubwa sana mkuu,fanya karesearch kdogo 2,hasa kwa graduates wanaohitimu,ndo utajua!

sioni tofauti yoyote walimu ni hao hao wanafundisha huku full time na kule party time. Mazingira ya kielimu ni hayo hayo. So sioni tofauti yoyote unless mje na data kama wafanyavyo vyuo vya US kuhusu mchanganuo wa ubora ktk vitu vingi. All in all universities za bongo kiwango cha elimu ni sawa tu
 
  • Thanks
Reactions: Iza
Mkileta ranks za varsities zote za bongo kutokana na vigezo mbalimbali then ndio nitaamni, lakini so far elimu ya uni zote za bongo ni sawa tu
 
sioni tofauti yoyote walimu ni hao hao wanafundisha huku full time na kule party time. Mazingira ya kielimu ni hayo hayo. So sioni tofauti yoyote unless mje na data kama wafanyavyo vyuo vya US kuhusu mchanganuo wa ubora ktk vitu vingi. All in all universities za bongo kiwango cha elimu ni sawa tu
hata research zlizofanywa na vyuo znazbeba,sa chuo ka mzumbe au tumaini wamefanya nin cha maana mkuu.?
 
Back
Top Bottom