KiuyaJibu
JF-Expert Member
- Aug 29, 2007
- 841
- 175
1.Ukienda bar una uhakika wa kupata bia bila kubembeleza;
2.Ukiagiza bia ya pili ya kwanza haichukii;
3.Unapoagiza bia una uhakika wewe ndiyo wa kwanza kuifungua(huwa bikira);
4.Wakati ukinywa bia hata ukojoe mara ngapi hamu haishi;
5.Unaweza kushirikiana bia na mwenzako bila wivu;
6.Bia ni siku zote za mwezi huwa haiendi mwezini(haina siku zake).
Binafsi siwezi kuipitisha hata mnishikie bastola.
Tafakari,chukua hatua.
Happy easter to all JF members
2.Ukiagiza bia ya pili ya kwanza haichukii;
3.Unapoagiza bia una uhakika wewe ndiyo wa kwanza kuifungua(huwa bikira);
4.Wakati ukinywa bia hata ukojoe mara ngapi hamu haishi;
5.Unaweza kushirikiana bia na mwenzako bila wivu;
6.Bia ni siku zote za mwezi huwa haiendi mwezini(haina siku zake).
Binafsi siwezi kuipitisha hata mnishikie bastola.
Tafakari,chukua hatua.
Happy easter to all JF members