Sababu 5 Zinazoweza Kumfanya Mke Wako Atembee Nje ya Ndoa

Sawa kabisa...kwa kifupi wamezaliwa hivyo...asipotongozwa basi atatafuta kwa nguvu ili mradi ana wa pembeni..


Sababu kubwa kabisa ni ile inayotokana na namna watu wawili walivyooa, wengine ndoa zilikwa na different expectations au circumnstance such as mimba nk. hivyo hakuna mapenzi ya dhati from day 1

kwa jinsi hali ilivyo hapa bongo... Inawezekana more than 50% ya wanawake wameshawahi kumegwa nje, wanaume ndio usiseme
 
Sababu kubwa kabisa ni ile inayotokana na namna watu wawili walivyooa, wengine ndoa zilikwa na different expectations au circumnstance such as mimba nk. hivyo hakuna mapenzi ya dhati from day 1

kwa jinsi hali ilivyo hapa bongo... Inawezekana more than 50% ya wanawake wameshawahi kumegwa nje, wanaume ndio usiseme

Hapoo umenena mkuu MTM. Ukimdakisha mtu katoto ujue wazee wengine either kwa wazazi wako au wakwe ni lazima uoe!!! Sasa kama ulikuwa na mpango wa kulamba asali na kufunika chupa utafute chupa mpya hapo ndiyo inakuwa hivyo tena, same applies tu akina dada, anaolewa just because amepandikizwa katoto na si upendo wa dhati. With time ndoa kama hii haiwi na upendo wa kudumu, hasa kwa upande ule ambao hakuwa tayari na ndoa hiyo only marriage at convenience!!

At the same time, hata si swala la makabila mengine kuwa super cheaters, ni swala la hulka ya mtu mtu kwani katika makabila hayo wapo pia ambao si cheaters.

One the other hand, katika hali ya kawada, ni nani Super cheater kati ya mwanamke na mwanaume!!! Wanaume wengi hata kama mke awapende kiasi gani, ni lazima walambe magadi nje tu.
 
Hio ndio Generalisation tunayokataa!! Kuna ushahidi gani kwa Wazaramo kwamba wanafunzwa hivyo ?
Utuombe radhi tafadhali, Mama yangu ni mzaramo, ameishi na mzee bila kucheat miaka 59 ndani ya ndoa mpaka mzee kafariki, nina dada watano wote wameolewa hakuna hata mmoja kuja na migogoro ya ku-cheat zaidi utakuta hao waume ndio wanakuwa suspect .
Cheaters ni tabia ya mtu awe mwanamme/mwanamke/mzaramo/mchaga/mzungu nk. Acha kutukana watu tafadhali!!

mbaya sana hiyo....tabia hailetwi na kabila, ni hulka ya mtu mwenyewe
 


One the other hand, katika hali ya kawada, ni nani Super cheater kati ya mwanamke na mwanaume!!! Wanaume wengi hata kama mke awapende kiasi gani, ni lazima walambe magadi nje tu.

sijui kuhusu super cheater lakini najua kwa percentage wanaume watakuwa juu kwenye cheating kwa sababu sex is sometimes used as a recreational act than love expression
 
mbaya sana hiyo....tabia hailetwi na kabila, ni hulka ya mtu mwenyewe

well said mkuu... hivi kuna kabila ambalo wanawake wooote wako swafi [yaani hakuna cheaters wala vicheche]
 
Dawa ni kutokuoa au kutojiingiza katika commited relationship. Wewe mega au megwa halafu sepa....mkijisikia hamu tena tafutaneni mmegane halafu mnaanza...that way hakuna anaye cheat au ku cheat-iwa
 
sijui kuhusu super cheater lakini najua kwa percentage wanaume watakuwa juu kwenye cheating kwa sababu sex is sometimes used as a recreational act than love expression

Ok
RECREATION VS EXPRESSION OF LOVE MHHHH
DOES THIS MEAN.. ikiwa ni recreation then inakuwa siyo mbaya sana..na ikiwa expression of love ndiyo kosa kubwa ZAIDI?

Kufuatana na maelezo yako Mkuu, naomba kuelewa zaidi....Wanaume wanafanya kama burudani na wanawake wanaonyesha upendo kama ndivyo, then kosa la mwanaume ni dogo kuliko la mwanamke? Na hiyo tofauti ya ukubwa wa kosa inatokana na nini?
 
Ok
RECREATION VS EXPRESSION OF LOVE MHHHH
DOES THIS MEAN.. ikiwa ni recreation then inakuwa siyo mbaya sana..na ikiwa expression of love ndiyo kosa kubwa ZAIDI?

Kufuatana na maelezo yako Mkuu, naomba kuelewa zaidi....Wanaume wanafanya kama burudani na wanawake wanaonyesha upendo kama ndivyo, then kosa la mwanaume ni dogo kuliko la mwanamke? Na hiyo tofauti ya ukubwa wa kosa inatokana na nini?

WoS, i think you missed my point;

i meant wanaume wanakuwa juu kwenye statistics [meaning male will have higher percentage ya cheaters]; reason given ni kwamba wanaume tunaweza fanya ngono nje ya ndoa zetu simply because of pleasure (easily) as compared to wanawake ambao it needs more than just pleaseure/recreation to have it. in most cases women sleep with men they love while men sleep with women they want to enjoy/taste/kuwaonja for whatever reason... ITS ALL MY PERCEPTION AND NO DATA AVAILABLE

Or, did i miss something?? tell me what was on your mind when reading the post as i am worried that you became defensive too early
 
Last edited:
Kuna tabia za baadhi ya jamii,kuna fikra potofu tu za kinadada kupenda free na shortcut,kuna kuzidiwa maamuzi na makundi ya wenzake,kujilinganisha na kushindana kuvaa,starehe na urembo vipodozi(wapenda bure),tamaa ya mwili tu kujua labda nitatokea hapa,western culture,TV series,kwa kweli maisha yamebadilika sana sana.....uaminifu,kuendekeza tamaa mwili jamani nafikiria njia ni kujikabidhi maisha yetu na kuishi kama inavyompendeza Bwana Yesu.......wote tukimpokea Yesu na kumpa nafasi nafikiri jamii itaelimika haraka sana kila mtu kwa imani yake........
 
kuna jamaa mmoja wa tanga anapata tabu kweli na waifu wake wa kizaramo. demu kahalalisha kabisa mchuchu wa nje.
 
Dawa ni kutokuoa au kutojiingiza katika commited relationship. Wewe mega au megwa halafu sepa....mkijisikia hamu tena tafutaneni mmegane halafu mnaanza...that way hakuna anaye cheat au ku cheat-iwa

Komredi hii ndo style nayo tumia mimi lakini nakukumbusha yule bibie bado ananifuatilia.
 
Tatizo bwana unakuta baadhi ya wanawake hawana tabia ya kusema kitu kama kina wasumbua. Wana expect moja kwa moja ujue kilichopo moyoni. Unakuta hizo dalili zote tano hasema mpaka iwe big deal mtu ndiyo anaanza kuongea. Women/men should be open from the beginning kukiwa na tatizo linalo weza kusababisha kuvunjika kwa uaminifu siyo mtu asubiri mpaka tatizo litokee.

On the other hand kuna tabia. Kuna watu they are just cheaters and they will cheat no matter what. Kuna baadhi ya wanawake hata waumie vipi au mapenzi yapungue vipi they will never cheat na wana hiari uhusiano ufe kama ume shindikana lakini siyo kuku saliti.
 
WoS, i think you missed my point;

i meant wanaume wanakuwa juu kwenye statistics [meaning male will have higher percentage ya cheaters]; reason given ni kwamba wanaume tunaweza fanya ngono nje ya ndoa zetu simply because of pleasure (easily) as compared to wanawake ambao it needs more than just pleaseure/recreation to have it. in most cases women sleep with men they love while men sleep with women they want to enjoy/taste/kuwaonja for whatever reason... ITS ALL MY PERCEPTION AND NO DATA AVAILABLE

Or, did i miss something?? tell me what was on your mind when reading the post as i am worried that you became defensive too early


MTM,
NiliposOma post yako haraka ikanikumbusha mijadala ambayo nimeiskia nje ya JF on the same lines - burudani ( wanaume) na mapenzi ( wanawake)
Kuna mtu aliwahi kusema kuwa kinachowaumiza wanaume wanapokugundua wake/wapenzi wao wamekuwa na mahusiano ya ziada ni kule kujua kuwa wanawake hao actually wana mapenzi na mtu/watu wengine ilhali mwanaume anapojigonga nje ni kutafuta starehe zaidi na siyo kuwekeza mapenzi.
Ndiyo nikauliza... je hapo ina maana kuna kosa jepesi na zito au tofauti kwa wanawake na wanaume?
Kama mwanamke, naweza kusema kuwa cheating whether for leisure/pleasure/recreation ni kosa tu kama lile la ku cheat out of love.Naweza kusema by analogy kuwa mwanamke anayecheat kwa kumpenda mtu wa nje basi ni kwa sababu anakosa upendo wa ndani na kama tujuavyo kila mwanadamu ameumbwa na hulka ya kutaka kupendwa...atakapokosa upendo pale anapostahili kuupata basi chances are ataupata kwingine..hata watoto wanaokosa upendo wa wazazi mara nyingi ni rahisi kuangukia mikono ya wabakaji na wadhalilishaji wengine.
 
MTM,
NiliposOma post yako haraka ikanikumbusha mijadala ambayo nimeiskia nje ya JF on the same lines - burudani ( wanaume) na mapenzi ( wanawake)
Kuna mtu aliwahi kusema kuwa kinachowaumiza wanaume wanapokugundua wake/wapenzi wao wamekuwa na mahusiano ya ziada ni kule kujua kuwa wanawake hao actually wana mapenzi na mtu/watu wengine ilhali mwanaume anapojigonga nje ni kutafuta starehe zaidi na siyo kuwekeza mapenzi.
Ndiyo nikauliza... je hapo ina maana kuna kosa jepesi na zito au tofauti kwa wanawake na wanaume?
Kama mwanamke, naweza kusema kuwa cheating whether for leisure/pleasure/recreation ni kosa tu kama lile la ku cheat out of love.Naweza kusema by analogy kuwa mwanamke anayecheat kwa kumpenda mtu wa nje basi ni kwa sababu anakosa upendo wa ndani na kama tujuavyo kila mwanadamu ameumbwa na hulka ya kutaka kupendwa...atakapokosa upendo pale anapostahili kuupata basi chances are ataupata kwingine..hata watoto wanaokosa upendo wa wazazi mara nyingi ni rahisi kuangukia mikono ya wabakaji na wadhalilishaji wengine.

NI kweli WoS;

Directly or indirectly i have also come across some women having sexual relationship out of pleasure!!

...All in all, all extramarital affairs are bad and having them (male or female) dont make anyone guiltier, ALL HAVING THESE AFFAIRS ARE EQUALLY GUILTY

You have also brought the issue of love outside marriage sue to lack/insufficient of care and love at home... Its all the same whether men or women, and being a man married for years, ni rahisi zaidi kwa mwananume kukosa mapenzi nyumbani kutokana na sababu mbalimbali kama vile watoto, mashoga, ndugu nk who are in most cases engage our wives
 
Kwa kifupi Binadamu tupo katika kundi la wanyama. Kundi hili lina matamanio ya kufanya tendo la ndoa na mtu zaidi ya mmoja. Dini na ustaarabu ndio umefanya tendo la kujamiina na mwanamke au mwanaume zaidi ya mmoja lionekane ni la haramu. Angalia hata Waislamu ambao wana wake wanne ambalo linaruhusiwa katika dini hiyo. Hawa pia pamoja na kuwa na wanawake wanne bado hutamani wanawake wengine nje ya ndoa zao. Miaka ya nyuma hakukuwa na vishawishi vingi na pia hakukuwa na technology ambayo ilirahisisha watu kucheat ndani ya ndoa zao. Lakini miaka ya sasa kutokana na kuongezeka vishawishi hivyo na technology kama cell phones, internet n.k. kutembea nje ya ndoa kumekuwa ni rahisi mno ukilinganisha na miaka ya nyuma.

Ni kazi mno kula ugali na maharage asubuhi na mchana kwa mwezi mzima, imagine kutembea na mume au mke huyo huyo kwa miaka 20 au zaidi ya ndoa. Sisemi hivi kwa kuhalalisha watu watembee nje lakini ndiyo ukweli wa mambo.
Wenzetu wengi wa kizungu wameliona hilo na kuanza kulifanyia kazi kwa kuwa na open marriage ambapo mke na mume wanapeana ruhusa ya kuwa na mwenzi wao nje ya ndoa.
Pia niliwahi kufanya kazi na Waswedish na Wadanish Tanzania ambao walikuwa wanapenda sana kwenda katika mbuga za wanyama, ngorongoro, mikumi n.k. Cha kushangaza wengi wao walikuwa wameoa lakini njemba walikuwa wanaombana ruhusa ya kuchukua mke wa mwenzie na kwenda naye huko. Siye wabongo wenye wivu wa mwaka 47 tulikuwa hata hatuelewi umwache mke wako nyumbani na kwenda na mke wa mwenzio vacation ya wiki nzima, lakini kwa wenzetu halikuwa tatizo.

Imagine rafiki yako mpenzi akufuate na kukuomba kwenda vacation labda Nairobi au Zenj na mkeo ha ha ha ha ha itakuwa patashika nguo kuchanika na urafiki utaisha siku hiyo hiyo ha ha ha ha labda baada ya miaka michache nasi Wabongo tutaliruhusu hilo ha ha ha ha lakini sijui kama tutakuwa na uvumilivu wa kiasi hicho
 
Kwa kifupi Binadamu tupo katika kundi la wanyama. Kundi hili lina matamanio ya kufanya tendo la ndoa na mtu zaidi ya mmoja. Dini na ustaarabu ndio umefanya tendo la kujamiina na mwanamke au mwanaume zaidi ya mmoja lionekane ni la haramu. Angalia hata Waislamu ambao wana wake wanne ambalo linaruhusiwa katika dini hiyo. Hawa pia pamoja na kuwa na wanawake wanne bado hutamani wanawake wengine nje ya ndoa zao. Miaka ya nyuma hakukuwa na vishawishi vingi na pia hakukuwa na technology ambayo ilirahisisha watu kucheat ndani ya ndoa zao. Lakini miaka ya sasa kutokana na kuongezeka vishawishi hivyo na technology kama cell phones, internet n.k. kutembea nje ya ndoa kumekuwa ni rahisi mno ukilinganisha na miaka ya nyuma.

Ni kazi mno kula ugali na maharage asubuhi na mchana kwa mwezi mzima, imagine kutembea na mume au mke huyo huyo kwa miaka 20 au zaidi ya ndoa. Sisemi hivi kwa kuhalalisha watu watembee nje lakini ndiyo ukweli wa mambo.
Wenzetu wengi wa kizungu wameliona hilo na kuanza kulifanyia kazi kwa kuwa na open marriage ambapo mke na mume wanapeana ruhusa ya kuwa na mwenzi wao nje ya ndoa.
Pia niliwahi kufanya kazi na Waswedish na Wadanish Tanzania ambao walikuwa wanapenda sana kwenda katika mbuga za wanyama, ngorongoro, mikumi n.k. Cha kushangaza wengi wao walikuwa wameoa lakini njemba walikuwa wanaombana ruhusa ya kuchukua mke wa mwenzie na kwenda naye huko. Siye wabongo wenye wivu wa mwaka 47 tulikuwa hata hatuelewi umwache mke wako nyumbani na kwenda na mke wa mwenzio vacation ya wiki nzima, lakini kwa wenzetu halikuwa tatizo.

Imagine rafiki yako mpenzi akufuate na kukuomba kwenda vacation landa Nairobi au Zenj na mkeo ha ha ha ha ha itakuwa patashika nguo kuchanika na urafiki utaisha siku hiyo hiyo ha ha ha ha labda baada ya miaka michache nasi Wabongo tutaliruhusu hilo ha ha ha ha lakini sijui

Mkuu BAK; mimi simo . . . ngoja wenyewe warudi . . . LOL
 
Back
Top Bottom