Hata bila kutafuta sababu sana alitakiwa awe ameshaondoka,ni kwa sababu tu sisi tuna utamaduni wa impunity!
Huyu jamaa akipona na hili kwa kweli nitamnyoshea mikono. He has too much already.
1.Ngeleja ndie anaisimamia hii wizara
2.Alisign posho ya 4mil
3.Alikuwepo ofisini kumpokea Jairo wakati anarudishwa ofisini so anajua fika kuwa lazima amtete katibu wake bse he is part of the deal.
Hii ni kwa mujibu wa Wenje!
Asante wenje kwa kutujuza hili...1.Ngeleja ndie anaisimamia hii wizara
2.Alisign posho ya 4mil
3.Alikuwepo ofisini kumpokea Jairo wakati anarudishwa ofisini so anajua fika kuwa lazima amtete katibu wake bse he is part of the deal.
Hii ni kwa mujibu wa Wenje!
Huyu jamaa akipona na hili kwa kweli nitamnyoshea mikono. He has too much already.