Elections 2010 Sababu 10 za kutomchagua Kikwete 2010

hivi nyie wadau have u made a research au kwakuwa midomo ailipiwi kodi ndo mnachonga kiasi icho?hivi muslims wamenyanyasika na kuachwa nyuma kwa makusudi kwa how long mbona hamkulisemea hilo,kweli mkuki kwa nguruwe....................haya we...............
 
11. Hajui sababu ya Tanznaia kuendelea kuwa masikini licha ya utajiri tulio nao hivyo hawezi kututoa kwenye umasikini.
12. Anaamini kuwa nchi hii itakombolewa na wageni ndiyo maana anazurula huku na kule kutafuta wakombozi (wawekezaji)
 
Kwa kweli tuamke tuache kuchagua chama tuchague mtu anayefaa kuwa rais kikwete kachemsha.hilo swala la kutoa maaamuzi magumu kwake hana kabisa embu angalia Sofia simba anvyobwetuka jamaa anamchekea tu,lowasa kaumbuliwa jamaa anasema kajikwaaa kisiasa presidaa hana maamuzi kabisa kwa hapo anaboa.Ikitokea issue nzito utasikia kajivuta USA anakula mbuzi.
 
Bob Marley aliimba hivi 'u can cheat all the people some of the time but u can't cheat all the people all the time.Waswahili tunasema kufanya kosa si kosa ,kosa kurudia kosa je tuendelee kudanganyikaaaa ?
 
ashakum si matusi ila kujichamba kwingi mwisho utoka na mavi ivyo basi kaa jiuliae umetoka wapi na ulikuwa nani unaenda wapi na unachoitajini ni nini? mind u that kikwete is ur destiny nothing else we dont like to loose u by any means njoo tujipange ndugu yangu kwan safari hii ni yetu sote.
4. Chini ya uongozi wake, amefanya uteuzi wa aibu kwa Mkurugenzi wa ATC ambaye ni mshikaji wake, matokeo yake ameua kabisa ATC…Tanzania (kama nchi) inashindwa hata na mfanyabiashara binafsi anayendesha Precision Air kwa mafanikio
5. Akiwa rais wa Tanzania ameshindwa kusimama imara kutetea maslahi ya nchi dhidi ya wizi wa mali ya umma na kashfa ya mabilioni ya shilingi ya Richmond...JE NAYE ALIHUSIKA? PCB NA USALAMA MNAJUA WENYEWE...ENDELEENI KULINDA MASLAHI YENU!!
6. Yeye kama kiongozi wa Nchi amewakebehi hadharani wafanyakazi wa Tanzania na viongozi wao pale TUCTA ilipotaka kuitisha mgomo. Yeye kama kiongozi mkuu wa nchi hakuwa na taarifa sahihi kutoka kwa watendaji wake, akawanawa viongozi wa wafanyakazi mbele ya wazee wa CCM, cha ajabu yeye ndiye alikuwa hana taarifa sahihi! Kama kiongozi alitakiwa kuwajibika mara moja. URAIS NA USWAHILI WAPI KWA WAPI?
7. Katika kipindi chake cha uongozi amefanya uteuzi wa viongozi wasiokuwa na uwezo, wakiwemo baadhi ya mawaziri (washkaji) ambao wamekuwa wakiweka mbele maslahi binafsi na kutojali wananchi.
8. Katika kipindi chake cha uongozi RUSHWA IMEONGEZEKA na hakuna hatua madhubuti alizochukua zaidi ya kuwa msemaji saaaaana bila vitendo.
9. Katika kipindi chake cha uongozi matimizi mabaya ya fedha katika manunuzi ya magari ya kifahari na fanicha kwa viongozi wa serikali, wakiwemo wakuu wa mikoa, mawaziri na yeye mwenyewe AKIONGOZA UOZA HUO KWA KUNUNUA BMW X-5 kwa matumizi yake.
10. Ni kiongozi aliyesafiri mara nyingi zaidi ya waliomtangulia (katika awamu ya kwanza ya uongozi wao), safari hizi zimetumia mabilioni ya feadha za watanzania lakini hakuna faida tunayoiona kutokana na safari zake.

TUUNGANE KUSEMA NO KWA KIKWETE[/QUOTE]
 
mimi si mwanasiasa ntapiga kura kama haki yangu, ntakaempigia kura ni siri yangu
NA KILA MTU APIGE KURA KWA JINSI YAKE NA SI KUFUATA MKUMBO
 
JK Rais kipenzi cha waatu, ametenda mengi katika miaka mitano iliyopita, kupambana na rushwa na ufisadi ni mengi kati ya mengi, ujenzi wa shule za sekondari,vyuo vikuu, barabara za lami, changalawe, ameimarisha demokrasia, utawala bora ndo usiseme, uhuru wakuabudu, kuandika na kutoa habari, wasanii na michezo,kaboresha na amejipanga zaidi kutoa ajira zaidi ya awali, chagua JK kwa maisha bora na maendeleo ya taifa, chagua CCM pamoja twasonga mbele
Kipenzi wa watu gani? labda mafisadi, ametaenda mengi mabaya mkapa amecha kiberiti tulikuwa tunanunua TZS 25 sasa TZS50 mchele TZS650 sasa TZS1400..barabara za lami nenda Arusha mji unaoitwa wa kitarii katikati ya mji vumbi na kwenye lami hata mikokoteni nishida kupishana....maendeleo ya sekondari kufundishwa na form six walio feri....
 
JK Rais kipenzi cha waatu, ametenda mengi katika miaka mitano iliyopita, kupambana na rushwa na ufisadi ni mengi kati ya mengi, ujenzi wa shule za sekondari,vyuo vikuu, barabara za lami, changalawe, ameimarisha demokrasia, utawala bora ndo usiseme, uhuru wakuabudu, kuandika na kutoa habari, wasanii na michezo,kaboresha na amejipanga zaidi kutoa ajira zaidi ya awali, chagua JK kwa maisha bora na maendeleo ya taifa, chagua CCM pamoja twasonga mbele

Fungua macho mkubwa!
 
Toka alipoonyesha kuhusika na pesa iliyokwapuliwa na kampuni ya kagoda moyo wangu haukumwandama tena. Hivyo ninao ujasiri na ni fahari yangu kumnyima kura. Nitaipeleka kwa mwingine anaeonyesha kujali umaskini wa watu wake, na kuwahukumu kwa haki.
 
JK Rais kipenzi cha watu, ametenda mambo mengi katika miaka mitano iliyopita, kupambana na rushwa na ufisadi ni mengi kati ya mengi, ujenzi wa shule za sekondari,vyuo vikuu, barabara za lami, changarawe, ameimarisha demokrasia, utawala bora ndo usiseme, uhuru wakuabudu, kuandika na kutoa habari, wasanii na michezo,kaboresha na amejipanga kutoa ajira zaidi ya awali, chagua JK kwa maisha bora na maendeleo ya Taifa. Chagua CCM. Pamoja twasonga mbele.


Brainless!
 
Mdau una maana gani unaposema urais na uswahili wapi na wapi, mlitaka ikulu itawaliwe na non muslim peke yao? Iweje anapoingia muislam aitwe mswahili? Acheni majungu mtagawa nchi tumewashitukia na mkimwaga mboga tutamwaga ugali

Dont be sensitive be sensible with discussed issues
 
Mdau una maana gani unaposema urais na uswahili wapi na wapi, mlitaka ikulu itawaliwe na non muslim peke yao? Iweje anapoingia muislam aitwe mswahili? Acheni majungu mtagawa nchi tumewashitukia na mkimwaga mboga tutamwaga ugali

Ndugu yangu uswahili hauna uhusiano na uislamu. Usitake kutupotosha hapa! Tunachozungumzia hapa ni uwezo mdogo wa huyu mtu aitwaye KIKWETE. Sisi wengine pia ni Waislamu lakini hatutamchagua huyu mtu. Ameshindwa, hafai. Full stop.
 
mimi naomba watanzania wenzangu tupigie iwe cuf au chadema chaguo ni lako lakini usipigie ccm, utakuwa unatukuza ufisadi na kuulea, tunatakiwa tuanze upya kwani tumepotea.
kuna watu wametuibia saana na tuna wajua lakini tunaendelea kuwapigia kura
mfano Mzee kingunge na ujamaa wake kwetu sisi wananchi, wakati fam,ilia yake wanafanya umafia,
kuna viongozi wengi tu wanaiba na kuja kutuhonga chumvi, sukari na kanga, kapelo, wakati watu wa sehemu zao wamedumaa kielimu, mazingira, umeme , nyumba mbovu mbovu nk nk, ni juu yetu kuyakata haya.
sawa anasema ametengeneza barabara, blah blah, je katika kuzitengeneza hizo barabara ubora umezingatiwa? je gharama ni za haki au zingine ndio zimekwenda kuchangia chama? ukwepaji wa ushuru kwa viongozi na watu wao iwe wafanya biashara nk , je huku ndio kupiga rushwa na ubadhirifu? reli ndio hivyo wamewapa rites/wamejipa wenyewe mtaji kwa kukodisha vichwa badala ya kuvinunua? je huu ndio utawala bora aliyo leta?
madini yameondoka bila kuwapatia wahusika shule bora, barabara bora, usafiri uliyo bora, nyumba zilizo bora, elimu bora nk nk, walio neemeka ni viongozi na makuwadi wao, je huu ndio maisha bora kwa kila mtz? msidanganyike kwa yeye kuhudhuria mazishi, kupiga picha na vitoto, au wazee akijifanya ana wathamini saaana, kama kweli ana wathamini, serikali yake isingewazulumu/kuwaibia watu kwa mikataba mibovu inayopoteza mamilioni, angjikita katika kujenga shule/mahospitali mengi angefunga milango ya wizi na ukwepaji kodi, lakini badala yake amekuwa aakibariki mambo hayo kama teuzi nyingi anazo fanya zinaonyesha, mfano ni ATCL, TANESCO ya Idrisa, nk nk.
kumlea kagoda
 
August,
Kipimo cha maisha bora ni nini?
Je wingi na msongamano wa magari ni kiashiria cha maisha bora maana nimesikia ikisemwa kuwa magari yameongezeka sana kipindi hiki.
 
August,
Kipimo cha maisha bora ni nini?
Je wingi na msongamano wa magari ni kiashiria cha maisha bora maana nimesikia ikisemwa kuwa magari yameongezeka sana kipindi hiki.
ngoja nikamuulize baba,maana yeye amesomea economics, na pia ni kada wa chama wa muda mrefu na hususana katika kupinga lushwa na utekelezaji wa sera za baba wa taifa za kujitegemea kwa kuiza trc kwa rites na baadae kusimamisha safari , halafu tukaitengeneza kwa mabilioni maana mwekezaji alishindwa lakini ana sifa kubwa tu ya uendeshaji wa reli huko india na atcl kumuweka rafiki yangu toka shule ya upili kibaha ambaye kama ujuavyo ameweza kuitumia vizuri tu hela yote tulio toa mtaji kwa atcl kiasi kwamba sasa hivi tunayo nembo ya twiga ingawa ndege haziruki, lakini mkitupa miaka mingine 5 tutanza kurusha ndege zetu tena maana mtaji tulisha pata kutokana na matumizi mazuri ya lafiki ya daudi mabata.
pia tulileta kocha wa timu ya taifa ambaye nilikuwa namlipa mimi mwenyewe , bila kuweka msingi mzuri wa michzo mashuleni, kuongeza shule nyingi za kata bila waalimu, na bila madawati, na maktaba ya kutosha, kubinafsisha umeme kwa.."...." kushika lushwa kwa wale wanaonipinga, lakini si kwa marafiki zangu na mengine mengi tu ambayo haya onekani lakini unaweza kuya nusa. yaani nikiyaeleza yote wapinzani wanaweza wasipate hata kura moja
 
Pia Mkwere ana Kifafa ,afya dhaifu sana simeona anavyodondoka dondoka inaweza kutugharimu ,angalia na afya ya mgombea mwenza wote dhaifu yaani kituko inasikitisha.
Yaani anakitu gani special tumng'ang'ania na kifadulo chake.
 
haya tusubiri october tukishinda tutawajengea watani vioski vya pombe mpaka ikulu
 
Back
Top Bottom