Mnyamahodzo
JF-Expert Member
- May 23, 2008
- 1,932
- 985
Jana kwa wakazi wa Tanzania ilikuwa ni siku ya mapumziko/SIKUKUU. Japo mtu binafsi alikuwa na hiari ya kwenda anakotaka na kufanya shughuli anayotaka bila kubughudhiwa ilimradi havunji sheria.
Swali ninalo jiuliza tunasheherekea Saba Saba zama hizi kwa nini? Ikiwa kama mtu ataoanisha na kuzaliwa kwa TANU ajaribu kukumbuka kuwa mwaka 1992 tuliingia mfumo wa vyama vingi, ndipo pia tulipoua shereha zote za kichama kuhesabiwa kama shereha za kitaifa.
Mwaka jana niliuliza swali hilo nikapata majibu kadhaa, lakini bado mtima wangu haujaridhika. Watanzania wenzangu, kesho itakuwa siku ya mapumziko ya Sabasaba. Je! tunapumzika tukisherekea ninI?
Swali ninalo jiuliza tunasheherekea Saba Saba zama hizi kwa nini? Ikiwa kama mtu ataoanisha na kuzaliwa kwa TANU ajaribu kukumbuka kuwa mwaka 1992 tuliingia mfumo wa vyama vingi, ndipo pia tulipoua shereha zote za kichama kuhesabiwa kama shereha za kitaifa.
Mwaka jana niliuliza swali hilo nikapata majibu kadhaa, lakini bado mtima wangu haujaridhika. Watanzania wenzangu, kesho itakuwa siku ya mapumziko ya Sabasaba. Je! tunapumzika tukisherekea ninI?