Walishamfanyia operation wakaondoa hiyo miguu. Mwangalie alivyo sasa.
View attachment 23466
...Dah! kabisa. Dogo alikuwa na wakati mgumu sana kubeba huo mzigo kwa muda wote huo ni mateso ya ajabu kabisa. Bravooo to those doctors who operated him................its unbelievable!you can't imagine