Mungu hawezi kushuka na kusema nasi katika hali ya mwili!Mungu husema na wanadamu kwa njia mbalimbali!Mungu anasema na watanzania kupitia mgomo wa madaktari unaozidi kuwa na sura mpya kila siku nchini huku ukiendelea kugharimu maisha ya watz wanaougua kwa sasa.
Tunaweza kusema vyovyote,lakini hakuna ajuaye lini atakuwa mgonjwa na endapo atapata matibabu!Tuache ushabiki wa kisiasa,tuwaunge mkono madaktari tuikomboe Tza.Tunawezaje kuongopewa kirahisi kuwa serikali haina hela?
Kama hakuna hela,maazimisho ya miaka 50 ya uhuru & 35 ya CCM yangekwama,safari za nje za viongozi zingepungua!Tunawezaje kudanganywa kuwa nchi haina hela wakati Wazungu wametapakaa nchi nzima kupora madini mfano gas,almasi,dhahabu,uranium,mafuta n.k?
Wengine wamenunua mbuga zetu za wanyama na kupora rasilimali zetu kama vile hatupo?Kama watz tutasema imetosha na iwe hivyo sasa!
Tunaweza kusema vyovyote,lakini hakuna ajuaye lini atakuwa mgonjwa na endapo atapata matibabu!Tuache ushabiki wa kisiasa,tuwaunge mkono madaktari tuikomboe Tza.Tunawezaje kuongopewa kirahisi kuwa serikali haina hela?
Kama hakuna hela,maazimisho ya miaka 50 ya uhuru & 35 ya CCM yangekwama,safari za nje za viongozi zingepungua!Tunawezaje kudanganywa kuwa nchi haina hela wakati Wazungu wametapakaa nchi nzima kupora madini mfano gas,almasi,dhahabu,uranium,mafuta n.k?
Wengine wamenunua mbuga zetu za wanyama na kupora rasilimali zetu kama vile hatupo?Kama watz tutasema imetosha na iwe hivyo sasa!