Mkuu nilikuwa nakuheshimu sana kupita maelezo! lakini kwa upupu huu uliyomwaga hapa jamvini' wewe hauna tofauti na Mwita25,Ritz,Rejeonimewiwa kuomba watanzania
2015 tuaachane na ukaskazini na kusini sasa tuweke watu wenye akili zao na ambao wanawae
kuendeleza nchi hii bila kutumika kama washmba pale magogoni
nimewiwa kusema hivi najua wengi akuna atakaepingana na mimi hivi vichwa hapo juu vina akili ya kutosha
usiniulize vilikula nini utototni kama uamini nenda tra bot na makampuni makubwa unayojua yenye maendelea ukikosa rutashobya
basi lyimo yuko pembeni ukikuta massawe ceo basi mutalemwa assistant akiondoka masawe na mutalemwa
ringo anakaimu nimejiuliza kama awatu hawa wanaweza kutuendeleza katika nchii nchi kwa nini tusijaribu kuwapa nchi jamani
Mungu awape mwanga wa kuona mbali jamanai uwezi kuwa waziri wa mambo ya nje miaka kumi kila mwaka uko nje alafu unafika
ikulu kila ndege ya emirates umebook wewe hii ni aibu kama wachaga sidhan wanaitaji kwenda nje kuomba misaada tutaamisha mlima kilimanjaro
urudi dar
[Ni Kweli wachaga wapo juu ndo mana tumeanzisha chama ili tuwakomboe watanzania.chama chetu kinazidi kukua na kukubalika sababu ya umakini wa wachaga!!
tangu niwe member hapa jamvini sijawahi kuona wewe umepost point zaid ya ujinga na mapenzi!
Join Date : 23rd September 2011
Posts : 32
Rep Power : 0
[Ni Kweli wachaga wapo juu ndo mana tumeanzisha chama ili tuwakomboe watanzania.chama chetu kinazidi kukua na kukubalika sababu ya umakini wa wachaga!!
shida kubwa ya vikabila vidogo akiingia cha kwanza ni mpaka aulete mkoa wake kwenye chat ,muda huo wote miaka 5 imekwishapita.
Hao jamaa wana vichwa lakini si unakumbuka kuna watu walipewa u pm tu,wakataka umeme kwanza ufike kwao,milima ihamie kwao etc.
Sasa wape wahaya, kuna hasira za vita vya kag kuna ma demand pale kuna international airport inasubiriwa, bandari ya kimataifa, kubadili kilimo cha kahawa na ndizi kulima mpunga ziwani etc.
Wape wachaga uone shughuli,nenda kauilize kauli mbiu ya kina mtei ilkuwa nini.
Mimi nadhani wacha mwenye bahati achukue tu,sidhani kama kwenye ccm,chadema etc hamna makabila mengine zaidi ya hayo 2 mkuu.
tangu niwe member hapa jamvini sijawahi kuona wewe umepost point zaid ya ujinga na mapenzi!
uongozi ni uwezo binafsi wa mtu wala si kabila. Nina waswasi kuwa mtoa thread anatengeneza trick!!!