Wakati zikiwa zimesalia saa 48 ili Wananchi wa Arumeru Mashariki waeze kupiga kura, ili kumpata mwakilishi wao. vyama vya CDM na CCM vina upinzani mkali na lolote laweza kutokea kati ya kimoja wapo kuibuka na ushindi je wewe unahisi ni nani ataibuka kidedea, kati ya SIOI SUMARI, ambaye anabebwa na ukogwe wa chama pamoja na Baba Mkwe wake Lowassa pamoja na Joshua Nassari, ambaye naye pamoja na kujenga hoja za ushawishi lakini na udhaifu hasa kwa kujawa na jazba na hasira pindi anapohisi anaonewa.