S1930 j. M. Kikwete secondary school

Masanilo

Platinum Member
Oct 2, 2007
22,286
4,493
Matokeo ya JM Kikwete Secondary School





NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA

CSEE 2010 EXAMINATION RESULTS


S1930 J. M. KIKWETE SECONDARY SCHOOL


DIV-I = 0


DIV-II = 4


DIV-III = 2


DIV-IV = 29


FLD = 52


Aibu hii! 60 % ya watahiniwa walamemba Div Zero!
 
Hili tumeshalijadili sana....shule kuitwa Profesa haina maana itazalisha madaktari wa falsafa.....shule ni zaidi ya jina...
 
si wnadhani ufahari mwenzao mkapa alikataa shule 1 ya kata huko songea kupewa jina lake...............
 
Matokeo ya JM Kikwete Secondary School





NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA

CSEE 2010 EXAMINATION RESULTS


S1930 J. M. KIKWETE SECONDARY SCHOOL


DIV-I = 0


DIV-II = 4


DIV-III = 2


DIV-IV = 29


FLD = 52


Aibu hii! 60 % ya watahiniwa walamemba Div Zero!

Unataka tujadili shule ya Kikwete au matokeo in general? your take is so shallow and is limiting us to discuss in broader view
 
Mbona shule nyingi ni aibu tupu au hiyo yenye jina lake ndio aibu imezidi?
 
Form four 2010 results reflects the type, desire, morale and direction of students, teachers and the sitting government's policy on education! Kwa hiyo kilichopo hapa ni kwamba kwa mwaka huu an approx. of 60% of students is inelligible for further studies! labda wa-join mgambo/sungu sungu
 
si wnadhani ufahari mwenzao mkapa alikataa shule 1 ya kata huko songea kupewa jina lake...............

Ni bora alikataa,cz kama huyu mkwere na mzee wa mropokaji lol hzo shule zenye majina yao ni aibu tupu.
 
tuangalie matokeo kwa ujumla taifa linaangamia hayo majina hayana maana shule iitwe kikwete, kiwete... hata ibwe si tija kwa taifa kinachotakiwa ni vipi inamuandaa mtanzania kuyamudu maisha yake kwa ufanisi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom