Ryan Giggs- is he really the best player of this season?

waliompigia kura ni wadau wa PFA ambao kwao vigezo vya kupata hiyo tuzo ni zaidi ya kung'ara uwanjani, mchezaji kama Giggs ambaye hata washindani wanzake katk tuzo hiyo kwa maoni yao walipendekeza kuwa anastahili, kupata, amefanya mwakubwa msimu ulioisha na huu unamalizika, ambayo wachezaji wengi professionals wa umri kama wake hawakufanya, na wenyewe wamekiri hivyo kuwa wana mengi ya kujifunza kutoka kwa mkongwe huyo ambae kadiri anavyozeeka ndo makali yake yanazidi, GIGGS si mfungaji kwa nafasi anayocheza na kama anafunga hiyo ni ziada ya ubora wake. Kwa msimu huu tokea uanze na mechi alizocheza nafasi yake sana imekuwa ni kiungo wa kati na si winga na jukumu lake kama mkongwe ni kuwaongoza wenzake hasa uwanjani na ndo akawa nahodha msaidizi na Man Utd huwa hawahesabu matokeo mpaka firimbi ya mwisho. Haya ndo yamemfanya mkongwe huyu kutwaa tuzo hii
 
Bado mngeendelea kulalamika

Hakuna bwana Belo, Ronaldo kashinda misimu miwili iliyopita, tulikuwa wote tushaanza kuandika hapa, ulimsikia mtu hata mmoja akilalamika? we all know he deserved it better than anyone. Msimu huu kweli hii ni 'kura ya huruma' wameona mshkaji labda huu unaweza kuwa msimu wake wa mwisho na kwakuwa pamoja na long succesfull career yake hajawahi kushinda hii tuzo- wakaona wampe tu. Lakini imeharibu kabisa meaning nzima ya hii award, wangeweza kumtafutia kiji award cha kizushi tu as a way of recognising his long term contribution and achievement kwenye game but there is no way, no way anyone can justify kwamba Giggs has been the best player this season. Na nyie mnaosema sijui kadi, sijui nidhamu, etc, haya mambo hayahusiani kabisa na hii tuzo. Hii tuzo inakwenda kwa mchezaji ambaye wachezaji wenzake wamemchagua kwa sababu wanaamini kwamba ameng'ara kuliko wote kwenye msimu husika, end of it!
 
Back
Top Bottom