Ulukolokwitanga
JF-Expert Member
- Sep 18, 2010
- 8,396
- 7,968
Kinachonishangaza ni kuwa watanzania wengi hawajui kuwa mhariri wa daily news... kaimu mhariri Mr Ali.... ni mfuasi wa kundi la Al Shabaab la Somalia, na alishapata mafunzo ya ughaidi kyk kambi za Al Quaeda kule Kundus, Afghanistan. Kwa hiyo jazba kwake ni kitu cha kawaida though anashindwa kujilipua mabomu, ndo maana kaamua kujilipua na habari za uzushi ili afukuzwe kazi na watanzania... Ila ajue hakuna anayeweza kuzuia mvua, umma umeamua kumpa Dr Slaa urais