BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,003
Kampuni ya Ndege ya Rwanda-Rwandair intarajia kuanzisha safari zake na kuja mara 4 dar es salaam kuanzia june 01,habari za uhakika zilizotufikia zinasema Ndege hizo zimekuwa zikija mara 3 na kutokana na malalamiko ya watanzania na kuona umuhimu wa watanzania kuja kigali na kwenda safari zingine kupitia rwanda wameona waanzishe safari ya 4 jumapili..
Wakati huo huo kampuni ya Rwandair inatarajia kupokea ndege yake mpya ya B737/800 Brand New frm USA;katika dinner iliofanyika hivi karibun hapa dar es salaamo mmoja wa mameneja wa Rwandair amesema kampuni hiyo inataraji kupokea ndege 2 B737/800 Kwa mwaka BrandNyu kutoka KAMPUNI YA NDEGE YA BOEING MAREKANI..ndege hizo zinatarajiwa kufika kigali august 2011 na dec 2011....
Hivi karibun kampuni hiyo imeanzisha safari mpya za libreville na brazaville huku ikitegemea kuanza safari za lagos na nigeria soon kuanzia august,,,lengo nikuhakikisha sehemu zote zenye biashara watu wanakuwa rahisi kwenda na kurudi nchini mwao bila kufikira connections kama sehemu nyingine
FLY WITH RWANDAIR DREAM OF AFRICA
Wakati huo huo kampuni ya Rwandair inatarajia kupokea ndege yake mpya ya B737/800 Brand New frm USA;katika dinner iliofanyika hivi karibun hapa dar es salaamo mmoja wa mameneja wa Rwandair amesema kampuni hiyo inataraji kupokea ndege 2 B737/800 Kwa mwaka BrandNyu kutoka KAMPUNI YA NDEGE YA BOEING MAREKANI..ndege hizo zinatarajiwa kufika kigali august 2011 na dec 2011....
Hivi karibun kampuni hiyo imeanzisha safari mpya za libreville na brazaville huku ikitegemea kuanza safari za lagos na nigeria soon kuanzia august,,,lengo nikuhakikisha sehemu zote zenye biashara watu wanakuwa rahisi kwenda na kurudi nchini mwao bila kufikira connections kama sehemu nyingine
FLY WITH RWANDAIR DREAM OF AFRICA