..wengine ambao tunaishi karibu na misikiti na makanisa adhana na kengele ndiyo alarm clocks zetu za kutuamsha asubuhi.
..inawezekana Kagame kajipatia tenda ya kuagiza alarm clocks Rwanda, sasa hapo anajaribu kuondoa upinzani ktk soko/biashara.
...sio kila mtu ni fisadi kama CCM,maana ndio kila kitu wanachofanya motive kwao ni 10%!