BONGOLALA
JF-Expert Member
- Sep 14, 2009
- 16,507
- 11,883
Jirani zetu wa rwanda wameshajenga nyumba za kisasa kwa raia wake ndani ya mwaka 1 kwa asilimia 85.lengo ni kuondoa kabisa nyumba za nyasi ktk nchi yao.Huwezi amini hapo bagamoyo kuna shule ya msingi ina nyasi darasa moja na mwalimu mmoja tuu wanafunzi wapo 150 kuanzia la kwanza mpaka la saba.shule ya tangu mwaka 1979.hivi kweli watanzania tuna serikali au li dubwana?