Rwanda wameweza wanasonga mbele, 85% ya nyumba zote tayari hazina nyasi ndani ya mwaka mmoja

BONGOLALA

JF-Expert Member
Sep 14, 2009
16,507
11,883
Jirani zetu wa rwanda wameshajenga nyumba za kisasa kwa raia wake ndani ya mwaka 1 kwa asilimia 85.lengo ni kuondoa kabisa nyumba za nyasi ktk nchi yao.Huwezi amini hapo bagamoyo kuna shule ya msingi ina nyasi darasa moja na mwalimu mmoja tuu wanafunzi wapo 150 kuanzia la kwanza mpaka la saba.shule ya tangu mwaka 1979.hivi kweli watanzania tuna serikali au li dubwana?
 
Jirani zetu wa rwanda wameshajenga nyumba za kisasa kwa raia wake ndani ya mwaka 1 kwa asilimia 85.lengo ni kuondoa kabisa nyumba za nyasi ktk nchi yao.Huwezi amini hapo bagamoyo kuna shule ya msingi ina nyasi darasa moja na mwalimu mmoja tuu wanafunzi wapo 150 kuanzia la kwanza mpaka la saba.shule ya tangu mwaka 1979.hivi kweli watanzania tuna serikali au li dubwana?
hii ni bongo lala kama ilivyo id yako hivyo isistaajabu mkuu. subiri kwanza tuwalipe dowans ndio tupange mambo mengine,shule na nyumba za raia si muhimu ndugu hapa tz.
 
Slaa akisema atajenga nyumba bora za bati magamba wanabeza, Rwanda wameweza pamoja na kuwa na bajeti ndogo sana kulinganisha na Tanzania
 
Hivi kweli mko sahihi kulinganisha maendeleo ya nchi yenye watu million 5 na nchi yenye watu million 45?, kweli? Rwanda ni kama mkoa wa Dar es salaam kwa ukubwa, japo watu walioko dar es salaam wanaweza kuwa wanazidi watu wa rwanda kwa wingi. kama mnataka kutenda haki katika hilo basi chagua mkoa mmoja ndani ya tanzania halafu linganisha na rwanda. mfano chukua mkoa wa kilimanjaro halafu linganisha na rwanda uniambie wapi pako juu kwa maisha bora. Rwanda sio saizi yetu bwana!, Linganisha tanzania na nchi nyingine zote ila sio Rwanda, Burundi, Swaziland na Lesotho.
 
Haya mambo yanawezekana sema ufisadi na uroho wa viongozi wetu ndo unaturudisha nyuma.
 
I hate sisiemu hivi kukua kwa uchumi anaouzungumzia JK ni upi?wakati %80 wananchi wake wanaishi kwenye nyumba za nyasi na udongo?natamani kama huyu jamaa wa msoga angekuwa anaingia humu ili tumhoji,aaah napata hasira sana huyu jamaa anapotudanganya.
 
Hivi kweli mko sahihi kulinganisha maendeleo ya nchi yenye watu million 5 na nchi yenye watu million 45?, kweli? Rwanda ni kama mkoa wa Dar es salaam kwa ukubwa, japo watu walioko dar es salaam wanaweza kuwa wanazidi watu wa rwanda kwa wingi. kama mnataka kutenda haki katika hilo basi chagua mkoa mmoja ndani ya tanzania halafu linganisha na rwanda. mfano chukua mkoa wa kilimanjaro halafu linganisha na rwanda uniambie wapi pako juu kwa maisha bora. Rwanda sio saizi yetu bwana!, Linganisha tanzania na nchi nyingine zote ila sio Rwanda, Burundi, Swaziland na Lesotho.
china,urusi na india wana eneo dogo? ukubwa wa nchi ni advantage kwetu kwani kila mahali kuna dhahabu,lakes,misitu,wanyama etc rwanda wanalima chai kahawa tuu!
 
Hivi kweli mko sahihi kulinganisha maendeleo ya nchi yenye watu million 5 na nchi yenye watu million 45?, kweli? Rwanda ni kama mkoa wa Dar es salaam kwa ukubwa, japo watu walioko dar es salaam wanaweza kuwa wanazidi watu wa rwanda kwa wingi. kama mnataka kutenda haki katika hilo basi chagua mkoa mmoja ndani ya tanzania halafu linganisha na rwanda. mfano chukua mkoa wa kilimanjaro halafu linganisha na rwanda uniambie wapi pako juu kwa maisha bora. Rwanda sio saizi yetu bwana!, Linganisha tanzania na nchi nyingine zote ila sio Rwanda, Burundi, Swaziland na Lesotho.

Kwa kusema hivyo umeangalia pia vyanzo vya mapato?
Utakuwa sahihi kama uta-assume: "If income is kept the same in both countries (Rwanda & Tz) while Rwanda has got a population of 5 million people and Tz with a pop. of 40 million people then people in Rwanda are relatively reacher (maisha yao ni bora) than Tz.

Unaangalia population tu! Basi angalau ungejaribu kuangalia kulinganisha mikoa hiyo inayolingana na Rwanda kwa ukubwa na ulinganishe hiyo mikoa imefaidia vipi na rasilimali zilizomo, nd'o unge-judge kama ulivyo-judge!
 
china,urusi na india wana eneo dogo? ukubwa wa nchi ni advantage kwetu kwani kila mahali kuna dhahabu,lakes,misitu,wanyama etc rwanda wanalima chai kahawa tuu!

Shinyanga kuna machimbo ya dhahabu (at least two gold mining sites - Bulyanhulu & Buzwagi) na Almasi. Ni matajiri kuliko Rwanda?
 
Back
Top Bottom