Rwanda Spending $94 Million On Burundian Refugees

ukimbizi mbaya jamani,leo nimeona wakimbizi wa syria ,wameuiwa kuingia uturuki,wanahudumiwa wakiwa huko huko upande wa syria
 
Mkuu, unafikiri walishia hapo? Walikwenda mbali zaidi kwa kulazimisha baadhi ya Wanyarwanda wanao ishi nje ya Nchi wachangie mfuko wa "agaciro"!! Sasa ukata uliokuwa umewakumba wameudhibiti kwa kutumia mbinu gani?

Leo hii wanazuga watu na misaada wa UNHCR wanajifanya niya kwao!!! Wasanii kweli kweli.
ebwanae, mbona unazidi kuwa na chuki? yani tulituma wanajeshi wetu kwenda kuwachangisha kinguvu? basi we kiboko...
 
ebwanae, mbona unazidi kuwa na chuki? yani tulituma wanajeshi wetu kwenda kuwachangisha kinguvu? basi we kiboko...

Sijasema mlituma wanajeshi kwenda kuchangisha raia wenu wa nje kinguvu,lakini kumbuka kuna mbinu nyingi za ku kutisha raia wenu wa nje kimya kimya, mfano: Wanafunzi wanao soma nje huwezi kujua kati yao ni nani ni macho na masikio yenu if you know what I mean a.k.a "Urumva" upelelezi huu una trickle down kwa raia wote wanao ishi nje, in other words hawa aminiani, si unajua tena Taifa lenu ni Semi Police State kwa hiyo nidhamu za woga zipo more pronounced - kama uliwahi kupitia jeshini utajua ninacho maanisha hapa.

Kitu kingine, nimekwisha kwambia mimi sina chuki na Wanyarwanda wa makabila yote,nimeishi nao vijijini wengine nimesoma nao O-Level, tatizo langu mimi ni Uongozi wenu ambao unapenda penda sana kuvuruga majirani wasielewane, ugomvi ugomvi tu kila sehemu.

Kwanza nyinyi ni predominantly french speaking nation mlipaswa kwenda kuhungana kiuchumi na ma francphone wenzenu huko central Africa, tulipo fanya makosa ya kuwakaribisha EAC kwa msaada wa Rais Mkapa, kuingia tu mkajitia ujuaji - fitinisha members, viburi viburi tu - mpaka mnafikia hatua ya kuwambia viongozi wenzenu jinsi ya ku run nchi zao, masaa yote mnakuwa na an inflated view of your importance ndani ya East Africa - attitude za Administration ya PK in general ndio huwa sizipendi, sina tatizo naye as a person.
 
Sijasema mlituma wanajeshi kwenda kuchangisha raia wenu wa nje kinguvu,lakini kumbuka kuna mbinu nyingi za ku kutisha raia wenu wa nje kimya kimya, mfano: Wanafunzi wanao soma nje huwezi kujua kati yao ni nani ni macho na masikio yenu if you know what I mean a.k.a "Urumva" upelelezi huu una trickle down kwa raia wote wanao ishi nje, in other words hawa aminiani, si unajua tena Taifa lenu ni Semi Police State kwa hiyo nidhamu za woga zipo more pronounced - kama uliwahi kupitia jeshini utajua ninacho maanisha hapa.

Kitu kingine, nimekwisha kwambia mimi sina chuki na Wanyarwanda wa makabila yote,nimeishi nao vijijini wengine nimesoma nao O-Level, tatizo langu mimi ni Uongozi wenu ambao unapenda penda sana kuvuruga majirani wasielewane, ugomvi ugomvi tu kila sehemu.

Kwanza nyinyi ni predominantly french speaking nation mlipaswa kwenda kuhungana kiuchumi na ma francphone wenzenu huko central Africa, tulipo fanya makosa ya kuwakaribisha EAC kwa msaada wa Rais Mkapa, kuingia tu mkajitia ujuaji - fitinisha members, viburi viburi tu - mpaka mnafikia hatua ya kuwambia viongozi wenzenu jinsi ya ku run nchi zao, masaa yote mnakuwa na an inflated view of your importance ndani ya East Africa - attitude za Administration ya PK in general ndio huwa sizipendi, sina tatizo naye as a person.
we mtu wa ajabu sana! hata ningekuwa nimepitia jeshini bado ingekuwa ngumu kukuelewa... labda uwe na wazimu kusudi uamini mtu kama jMali anaweza kuchangishwa kinguvu huko uamishoni... hata hapa JF tusingempona! kwanini hizo research zote unazofanya juu ya Rwanda hazikuonyeshi jinsi wanyarwanda walivyo na upendo wa nchi yao? lazima utakuwa na kitu kinachokufanya utuchukie, sio bure... anza research zitakazo saidia kuboresha taifa lenu kupitia models za Rwanda sio kuchonga tu na fitna zako! Maziku Masunga Jr.
 
we mtu wa ajabu sana! hata ningekuwa nimepitia jeshini bado ingekuwa ngumu kukuelewa... labda uwe na wazimu kusudi uamini mtu kama jMali anaweza kuchangishwa kinguvu huko uamishoni... hata hapa JF tusingempona! kwanini hizo research zote unazofanya juu ya Rwanda hazikuonyeshi jinsi wanyarwanda walivyo na upendo wa nchi yao? lazima utakuwa na kitu kinachokufanya utuchukie, sio bure... anza research zitakazo saidia kuboresha taifa lenu kupitia models za Rwanda sio kuchonga tu na fitna zako! Maziku Masunga Jr.
Upendo au hofu ya maisha ya familia zao back home? You know exactly hakuna mnyarwanda anayeruhusiwa kwenda nje bila serikali kuhakikisha ina uwezo wa kuibana familia yake back home. Mimi nikitaka kwenda Rwanda hata visa sihitaji, mchina wa hong kong akitaka kwenda rwanda hahitaji visa, lakini kichekesho ni kuwa former rwandan citizen anayeishi nje akitaka kwenda kusalimia Rwanda si ajabu kutakiwa barua ya mwaliko kutoka kwa familia yake mwenyewe! As in "we the family of Charles Gassana confirm that Gerald Gassana a canadian citizen is our son, he intends to visit us for 30 days...please give him a visa...." Khaaa!!!
Maziku Masunga Jr.
 
Sijasema mlituma wanajeshi kwenda kuchangisha raia wenu wa nje kinguvu,lakini kumbuka kuna mbinu nyingi za ku kutisha raia wenu wa nje kimya kimya, mfano: Wanafunzi wanao soma nje huwezi kujua kati yao ni nani ni macho na masikio yenu if you know what I mean a.k.a "Urumva" upelelezi huu una trickle down kwa raia wote wanao ishi nje, in other words hawa aminiani, si unajua tena Taifa lenu ni Semi Police State kwa hiyo nidhamu za woga zipo more pronounced - kama uliwahi kupitia jeshini utajua ninacho maanisha hapa.

Kitu kingine, nimekwisha kwambia mimi sina chuki na Wanyarwanda wa makabila yote,nimeishi nao vijijini wengine nimesoma nao O-Level, tatizo langu mimi ni Uongozi wenu ambao unapenda penda sana kuvuruga majirani wasielewane, ugomvi ugomvi tu kila sehemu.

Kwanza nyinyi ni predominantly french speaking nation mlipaswa kwenda kuhungana kiuchumi na ma francphone wenzenu huko central Africa, tulipo fanya makosa ya kuwakaribisha EAC kwa msaada wa Rais Mkapa, kuingia tu mkajitia ujuaji - fitinisha members, viburi viburi tu - mpaka mnafikia hatua ya kuwambia viongozi wenzenu jinsi ya ku run nchi zao, masaa yote mnakuwa na an inflated view of your importance ndani ya East Africa - attitude za Administration ya PK in general ndio huwa sizipendi, sina tatizo naye as a person.

Wanyarwanda wa nje wasipochangia ndugu zao wanatishwa huku nyumbani. Hivyo inabidi wachangie tu watake wasitake. Fikiria mama yako mzazi anakupigia simu from kigali anakuambia mwanangu nasikia hujachanga, unauliza we nani kakwambia anakwambia wamekuja maofisa hapa nyumbani kikosi kizima kuuliza kwa nini mtoto wenu wa London hataki kuchangia Taifa! Rwanda nchi ya ajabu kweli kweli.
Mnyarwanda anapoomba scholarship ni lazima serikali ihakikishe ndugu zake wote inawajua ili huko nje ukizingua huku nyumbani wawabane. Huo ndio utaratibu. Kimsingi wapinzani wote wa Rwanda wanaoishi uhamishoni wamewatoa sadaka ndugu zao. Ndugu zao wote either wako jela, wako blacklisted hawaruhusiwi kuajiriwa, na vitu kama hivyo.

cc:Maziku Masunga Jr.
 
Wanyarwanda wa nje wasipochangia ndugu zao wanatishwa huku nyumbani. Hivyo inabidi wachangie tu watake wasitake. Fikiria mama yako mzazi anakupigia simu from kigali anakuambia mwanangu nasikia hujachanga, unauliza we nani kakwambia anakwambia wamekuja maofisa hapa nyumbani kikosi kizima kuuliza kwa nini mtoto wenu wa London hataki kuchangia Taifa! Rwanda nchi ya ajabu kweli kweli.
Mnyarwanda anapoomba scholarship ni lazima serikali ihakikishe ndugu zake wote inawajua ili huko nje ukizingua huku nyumbani wawabane. Huo ndio utaratibu. Kimsingi wapinzani wote wa Rwanda wanaoishi uhamishoni wamewatoa sadaka ndugu zao. Ndugu zao wote either wako jela, wako blacklisted hawaruhusiwi kuajiriwa, na vitu kama hivyo.

cc:Maziku Masunga Jr.
lol!!!
 
Upendo au hofu ya maisha ya familia zao back home? You know exactly hakuna mnyarwanda anayeruhusiwa kwenda nje bila serikali kuhakikisha ina uwezo wa kuibana familia yake back home. Mimi nikitaka kwenda Rwanda hata visa sihitaji, mchina wa hong kong akitaka kwenda rwanda hahitaji visa, lakini kichekesho ni kuwa former rwandan citizen anayeishi nje akitaka kwenda kusalimia Rwanda si ajabu kutakiwa barua ya mwaliko kutoka kwa familia yake mwenyewe! As in "we the family of Charles Gassana confirm that Gerald Gassana a canadian citizen is our son, he intends to visit us for 30 days...please give him a visa...." Khaaa!!!
Maziku Masunga Jr.
Lol!!! ambatanisha na copy basi, tujionee jMali asante kwa kunifurahisha asubuhi ya leo... nilikuwa sijuwi kama tunaishi kama North Korea... lol Maziku Masunga Jr.
 
Lol!!! ambatanisha na copy basi, tujionee jMali asante kwa kunifurahisha asubuhi ya leo... nilikuwa sijuwi kama tunaishi kama North Korea... lol Maziku Masunga Jr.
Upendo au hofu ya maisha ya familia zao back home? You know exactly hakuna mnyarwanda anayeruhusiwa kwenda nje bila serikali kuhakikisha ina uwezo wa kuibana familia yake back home. Mimi nikitaka kwenda Rwanda hata visa sihitaji, mchina wa hong kong akitaka kwenda rwanda hahitaji visa, lakini kichekesho ni kuwa former rwandan citizen anayeishi nje akitaka kwenda kusalimia Rwanda si ajabu kutakiwa barua ya mwaliko kutoka kwa familia yake mwenyewe! As in "we the family of Charles Gassana confirm that Gerald Gassana a canadian citizen is our son, he intends to visit us for 30 days...please give him a visa...." Khaaa!!!
Maziku Masunga Jr.
kabla sijavunjika mbavu... huyo jamaa anauraia wa wapi? jMali lol!!!
 
Utajuaje na wewe unaishi mbezi?:D
lol!!! huyo mama alikuwa anataka kukupiga mzinga, akakosa gear ya kuanzia! hata na mimi nilipata bahati ya kusomea nje lakini wazazi wangu hayakuwakuta hayo, ila umenichekesha huwezi kuamini... nilikuwa sijuwi kama uko misinformed kiasi hiki... wewe unatia huruma sana jMali hauko tofauti na nduku zako waliotekwa na FDLR nao huwa wanawalisha hizi story, believe me, ni fake ndugu yangu... yani kujitapa kote kule eti huwa unakuja mara nyingi Rwanda sijuwi una tu project kumbe haujuwi hata sheria ndogo ndogo kama hizi za immigration? hata na sisi kuna sehemu hatuombi visa... hebu nikuulize, kama wewe ni mnyarwanda asilia na ukaukana uraia wako ukachukuwa wa nchi nyingine utaacha kuomba viza eti kwa sababu una ndugu zako Rwanda? kwa utaratibu gani? unaniangusha namna hiyo Maziku Masunga Jr. Bukyanagandi
 
Back
Top Bottom