kivyako
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 14,341
- 12,045
tanzania tumesherekea miaka 50 ya uhuru mwaka jana,rwanda wamesherehekea mwaka huu.kwa taarifa serikali ya rwanda kupitia shirika lake la usafiri wa anga wanandege 18 wakati sisi vikogwe watz hatuna hata ndege moja ila tuna uniform za mamilioni
jionee tofauti!