Mgeninani
Senior Member
- Jan 3, 2010
- 191
- 9
Umeandika mwenyewe as RPF advanced the interahamwes uses refugees as ther shield and migrated to Congo, TZ, burundi and all over the world in thousands, atushabikii uhutu wala genocide, waliuana sana. tayari imetokea wafanyaje? haya matribunal yenu sawa lakini hayatamaliza chuki, hao waliokimbia wanaishi uamishoni wanazaa na wanapandikiza chuki kwa vizazi vyao, sitashangaa kama siku moja aitatokea genocide nyingine labda EA federation izaliwe, Kusameheana hapa ndo silaha.there is no proof that the plane was short by kagame RPF. some think that the place was short by the Hutu extremists who had vowed to kill every Hutu who did not support their genocidal plan. that present was one of the targets by hutu extremists, as if you can remember, alikuwa anatoka Arusha kwenye mkutano kuhusu mambo hayohayo.
don't talk of reconciliation hapa, ndo maana niliwaambia someni kwanza muelewe maana ya genocide ndo muandike hapa. the situation in south africa is different from Rwanda, ile ya south haikuwa genocide, pamoja na kwamba siku hizi imeingizwa kwenye crimes against humanity. HAITAKIWI KUWEPO RECONCILIATION YEYOTE HAPA, ila wakamatwe wote waliohusika, wapelekwe Arusha wakahukumiwe. however, wana bahati, teh ICRT haitoi death penalty, so watakula tu kifungo cha maisha. ili haki iwepo, wanatakiwa kukamatwa wote na wafikishwe arusha. kama unawajua hapa tz, unatakiwa utoe taarifa tuwakamate haraka.