The Quonquerer
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 777
- 111
Ni mara yangu ya kwanza kusikia Joka Kuu anachemka. Mkuu una bifu na Kagame?
Nchi hazina permanent interests, mjumbe hapo juu amesema iwe vipi Kabila na Kagame wanapatana? Una machungu kuliko Kabila aliyevamiwa? Wanajuana wale, kuna mjumbe pia kasema Kagame was compensating, i think he was right.
Am not for atrocities against anyone lakini nchi zote siyo Tanzania, kama Nyerere, The Greatest of All Time alikunyooshea uwanja wa kucheza, si kila mtu. Haribuni wenyewei
Nchi hazina permanent interests, mjumbe hapo juu amesema iwe vipi Kabila na Kagame wanapatana? Una machungu kuliko Kabila aliyevamiwa? Wanajuana wale, kuna mjumbe pia kasema Kagame was compensating, i think he was right.
Am not for atrocities against anyone lakini nchi zote siyo Tanzania, kama Nyerere, The Greatest of All Time alikunyooshea uwanja wa kucheza, si kila mtu. Haribuni wenyewei