Rwanda amavubi bingwa cecafa cup

BASIASI

JF-Expert Member
Sep 20, 2010
9,735
5,002
Timu ya taifa ya rwanda inatarajia kuchukua ubingwa wa cecafa muda mfupi ujao
kwa niaba ya watanzania tunawatakia mchezo mwema na ushindimunono
 
Wewe vipi? Una Dual citizenship nini? Mimi na wengine wengi tu hatujakutuma ututoleee tamko kuwatakia Rwanda Ushindi. Lol!
 
umeshatafuta pakujificha, mpira unachezwa uwanjani not otherwise. Mwamkie bingwa sasa
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom