Mbona magongo tena? au keshapigwa kipapai, maana jamaa wanaitwa wabeba bunduki...View attachment 62013
what!!! you cost us enough cash!
nenda mwalimu nenda..! ILI UTATUKUMBAKA ARSENALI.
Mbona magongo tena? au keshapigwa kipapai, maana jamaa wanaitwa wabeba bunduki...
Wewe nenda kawape msosi wale buibui kwenye makabati yenu ya kuhifadhia vikombe wazidi kukua...
Mkuu Salito umenifurahisha sana kwakweri, maana najaribu kupata picha jinsi buibui walivyonenepa bila kusumbuliwa na kufunguliwa kabati kwa takribani miaka saba sasa.Wewe nenda kawape msosi wale buibui kwenye makabati yenu ya kuhifadhia vikombe wazidi kukua...
Leo mnasema mna damu changa wakati ndiye aliyekuwa anawasaidia kupata kombe la mshindi wa tatu na wanne kwa miaka yote aliyokuwepo. Huyo podolski aliyejichokea ndiyo damu changa ama kweli ukikosa nyama hata nyasi utakula.the true injury prone man.............umetu kost sana kukutibu... nenda kamalizie soka huko... cc tuna damu changa...podolski, giroud mtakatifu cazora duh... ni noma hatutaki wazee gunnerz maana hawawezi shika mtutu ki ufasaha