Ruzuku kwa vyama vya siasa iondolewe Tanzania!

haujabadilika mkuu

upuuzi wa akina Lipumba tusingekuwa tunauona, siasa watu wanafanya ajira

siji kubadili huu msimamo
Sasa mkuu mimi nina wazo tutafute platform kubwa yenye sauti au tuitumie JF iandaliwe Petition kupinga ruzuku kwa vyama vyote.

Tutakuwa tumeitendea nchi yetu makubwa kuliko kugombea ubunge wa kudanganya vijana utawapa ajira wakati wewe mwenyewe huna kazi umekimbilia ubunge ili uponee hapo.

Mbuyu ulianza kama mchicha.
 
Ndugu wana JF,

Wakati tunaangalia kulia na kushoto ili kuifanya nchi yetu ipate viongozi yule ambaye kila mtu anamtaka , naona bado natatizwa na hiki kitu kinachoitwa ruzuku!

Ni kweli ruzuku itolewayo na serikali kwa vyama vya upinzani inaweza ikawa ni chachu ya mabadiliko nchini, lakini pia inaonekana kama ni chanzo cha matapeli wachache kuitumia vibaya, wengine kwa uroho tu, wengine wamekosa ajira na sababu nyingi zifananazo na hizo.

Napendekeza :

1. Ruzuku itolewe mwaka mmoja tu kwa vyama vinavyoanza;na kuwe na ufuatiliaji wa hali ya juu, juu ya matumizi ya hizo fedha au

2. Isitolewe kabisa, kwa sababu:

(a) Kila chama kizuri chenye sera nzuri kitakachowavutia wananchi ni dhahiri kitapata wanachama wazuri watakaohakikisha wanakitunza chenyewe na watu wake.

(b) Hali ya sasa hivi hata kama tutasema tunataka demokrasia ni dhahiri utitiri wa vyama hivi, unaleta

- Uadui kati ya wenyewe kwa wenyewe!

- Wengine kuona basi CCM iendelee tu maana vyama vingi vimeshajizolea umaarufu, aidha wataleta fujo na mara nyingi wanapigana kwa sababu ya fedha. N hii imeongeza hofu ya watu wengi kuwapigia kura hawa wapinzani.

- Kudhihirisha kuwa vyama vingi vinataka fedha tu, utavisikia wakati tunakaribia uchaguzi!!

Tukiwa na vyama ambavyo wananchi ndio wanaokiendesha, tutapata viongozi wanaowajali zaidi wananchi. Tutapata viongozi amabo hatima ya maamuzi yao ni kwa manufaa ya wananchi.

Kwa jinsi hii tutatengeneza akinaTsavangirai wetu akina Riala Odinga n.k

Viongozi wengi wa siasa hasa wapinzani , wawajabike wasiwajibike mwisho wa mwezi hela watapata tu.

Ni heri kupunguza vyama viwe vichache vya kiwananchi zaidi kuliko hali ya sasa. Afadhali hizo hela ziende mahospitalini n.k

Tukiangalia kwa undani sasa , hali hii ya kupewa ruzuku haitapelea vyama vya upinzani kushinda, sana sana tumeona migogoro ya ruzuku kila siku na watu kufanya ofisi za vyama kama vijiwe.

Pia kwa vyama vya siasa vikongwe, sijajua wana miradi gani, na wamewaza nini ili kupata income zao!

Naamini ubunifu wa kupata hela kwa njia ya halali , ndio ubunifu huo utahitajika pindi watakaposhika nchi.

Naomba chama, haswa kile kinachoona kiko tayari kujiendesha kwa nguvu ya umma, kiwe cha kwanza kusema hatutaki ruzuku , hizo fedha ziende hospitalini!

Vyama vikishuka chini, vikawa havina hela na viongozi wake waanze kuishi maisha ya kulingana na fedha za wanachama, wala yasiyo ya kifahari. Hawa vingozi watakuwa viongozi wa kweli.

Baadhi ya vyama vya siasa tulivyonavyo kamanilivyopata kwenye wikipedia ni:

&[HASHTAG]#8226[/HASHTAG]; Chama Cha Mapinduzi (Revolutionary State Party)
&[HASHTAG]#8226[/HASHTAG]; Civic United Front (Chama Cha Wananchi)
&[HASHTAG]#8226[/HASHTAG]; Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)
&[HASHTAG]#8226[/HASHTAG]; Tanzania Labour Party
&[HASHTAG]#8226[/HASHTAG]; United Democratic Party
&[HASHTAG]#8226[/HASHTAG]; Chama cha Haki na Usitawi (CHAUSTA)
&[HASHTAG]#8226[/HASHTAG]; Democratic Party (DP)
&[HASHTAG]#8226[/HASHTAG]; Demokrasia Makini (MAKINI)
&[HASHTAG]#8226[/HASHTAG]; Forum for the Restoration of Democracy (FORD)
&[HASHTAG]#8226[/HASHTAG]; Jahazi Asilia
&[HASHTAG]#8226[/HASHTAG]; National Convention for Construction and Reform-Mageuzi (NCCR)
&[HASHTAG]#8226[/HASHTAG]; National League for Democracy (NLD)
&[HASHTAG]#8226[/HASHTAG]; National Reconstruction Alliance (NRA)
&[HASHTAG]#8226[/HASHTAG]; Popular National Party (PONA)
&[HASHTAG]#8226[/HASHTAG]; Sauti ya Umma (SAU)
&[HASHTAG]#8226[/HASHTAG]; Tanzania Democratic Alliance (TADEA)
&[HASHTAG]#8226[/HASHTAG]; Progressive Party of Tanzania-Maendeleo (PPT-Maendeleo)
&[HASHTAG]#8226[/HASHTAG]; Union for Multiparty Democracy (UMD)
&[HASHTAG]#8226[/HASHTAG]; United People's Democratic Party (UPDP)

Naomba tujadili


wakatabahu

Waberoya

Update:

Msimamo wangu haujabadilika-2011 April

Msimamo wangu haujabadilika-2012 May

Msimamo Wangu haujabadilika 2014 January

Msimamo Wangu haujabadilika 2015 November
Mkuu Wabe, naunga mkono hoja.

Pasco
 
Mkuu Wabe, naunga mkono hoja.

Pasco

Tuko pamoja mkuu

tunaweza tukalisimamia hili, ili wahuni wanaokimbia fani zao na kukimbilia siasa na kufanya ma upuuzi haya ya siasa lazima tuwakimbize huko
Mimi ushauri wangu tuandaye Petition tusiishie tu kulalama mitandaoni bila kuchukuwa hatuwa.

JF peke yake tutapata saini za kutosha achilia mbali mitandao mingine kama Facebook na wasapu.

Lets do it, kwa aina ya Rais tuliyenaye hili linawezekana kabisa.

Kwanza kwa jinsi alichowafanya wabugia posho za mwenge leo nadhani hata mwakani huenda usikimbizwe au ukafanyiwa mabadiriko makubwa sana.
 
Mimi ushauri wangu tuandaye Petition tusiishie tu kulalama mitandaoni bila kuchukuwa hatuwa.

JF peke yake tutapata saini za kutosha achilia mbali mitandao mingine kama Facebook na wasapu.

Lets do it, kwa aina ya Rais tuliyenaye hili linawezekana kabisa.

Kwanza kwa jinsi alichowafanya wabugia posho za mwenge leo nadhani hata mwakani huenda usikimbizwe au ukafanyiwa mabadiriko makubwa sana.
Naunga mkono hoja
Pasco
 
Mimi ushauri wangu tuandaye Petition tusiishie tu kulalama mitandaoni bila kuchukuwa hatuwa.

JF peke yake tutapata saini za kutosha achilia mbali mitandao mingine kama Facebook na wasapu.

Lets do it, kwa aina ya Rais tuliyenaye hili linawezekana kabisa.

Kwanza kwa jinsi alichowafanya wabugia posho za mwenge leo nadhani hata mwakani huenda usikimbizwe au ukafanyiwa mabadiriko makubwa sana.

ha ha, mbavu zangu

kweli ili atalifurahia sana
 
Ndugu wana JF,

Wakati tunaangalia kulia na kushoto ili kuifanya nchi yetu ipate viongozi yule ambaye kila mtu anamtaka , naona bado natatizwa na hiki kitu kinachoitwa ruzuku!

Ni kweli ruzuku itolewayo na serikali kwa vyama vya upinzani inaweza ikawa ni chachu ya mabadiliko nchini, lakini pia inaonekana kama ni chanzo cha matapeli wachache kuitumia vibaya, wengine kwa uroho tu, wengine wamekosa ajira na sababu nyingi zifananazo na hizo.

Napendekeza :

1. Ruzuku itolewe mwaka mmoja tu kwa vyama vinavyoanza;na kuwe na ufuatiliaji wa hali ya juu, juu ya matumizi ya hizo fedha au

2. Isitolewe kabisa, kwa sababu:

(a) Kila chama kizuri chenye sera nzuri kitakachowavutia wananchi ni dhahiri kitapata wanachama wazuri watakaohakikisha wanakitunza chenyewe na watu wake.

(b) Hali ya sasa hivi hata kama tutasema tunataka demokrasia ni dhahiri utitiri wa vyama hivi, unaleta

- Uadui kati ya wenyewe kwa wenyewe!

- Wengine kuona basi CCM iendelee tu maana vyama vingi vimeshajizolea umaarufu, aidha wataleta fujo na mara nyingi wanapigana kwa sababu ya fedha. N hii imeongeza hofu ya watu wengi kuwapigia kura hawa wapinzani.

- Kudhihirisha kuwa vyama vingi vinataka fedha tu, utavisikia wakati tunakaribia uchaguzi!!

Tukiwa na vyama ambavyo wananchi ndio wanaokiendesha, tutapata viongozi wanaowajali zaidi wananchi. Tutapata viongozi amabo hatima ya maamuzi yao ni kwa manufaa ya wananchi.

Kwa jinsi hii tutatengeneza akinaTsavangirai wetu akina Riala Odinga n.k

Viongozi wengi wa siasa hasa wapinzani , wawajabike wasiwajibike mwisho wa mwezi hela watapata tu.

Ni heri kupunguza vyama viwe vichache vya kiwananchi zaidi kuliko hali ya sasa. Afadhali hizo hela ziende mahospitalini n.k

Tukiangalia kwa undani sasa , hali hii ya kupewa ruzuku haitapelea vyama vya upinzani kushinda, sana sana tumeona migogoro ya ruzuku kila siku na watu kufanya ofisi za vyama kama vijiwe.

Pia kwa vyama vya siasa vikongwe, sijajua wana miradi gani, na wamewaza nini ili kupata income zao!

Naamini ubunifu wa kupata hela kwa njia ya halali , ndio ubunifu huo utahitajika pindi watakaposhika nchi.

Naomba chama, haswa kile kinachoona kiko tayari kujiendesha kwa nguvu ya umma, kiwe cha kwanza kusema hatutaki ruzuku , hizo fedha ziende hospitalini!

Vyama vikishuka chini, vikawa havina hela na viongozi wake waanze kuishi maisha ya kulingana na fedha za wanachama, wala yasiyo ya kifahari. Hawa vingozi watakuwa viongozi wa kweli.

Baadhi ya vyama vya siasa tulivyonavyo kamanilivyopata kwenye wikipedia ni:

• Chama Cha Mapinduzi (Revolutionary State Party)
• Civic United Front (Chama Cha Wananchi)
• Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)
• Tanzania Labour Party
• United Democratic Party
• Chama cha Haki na Usitawi (CHAUSTA)
• Democratic Party (DP)
• Demokrasia Makini (MAKINI)
• Forum for the Restoration of Democracy (FORD)
• Jahazi Asilia
• National Convention for Construction and Reform-Mageuzi (NCCR)
• National League for Democracy (NLD)
• National Reconstruction Alliance (NRA)
• Popular National Party (PONA)
• Sauti ya Umma (SAU)
• Tanzania Democratic Alliance (TADEA)
• Progressive Party of Tanzania-Maendeleo (PPT-Maendeleo)
• Union for Multiparty Democracy (UMD)
• United People's Democratic Party (UPDP)

Naomba tujadili


wakatabahu

Waberoya


Update:

Msimamo wangu haujabadilika-2011 April

Msimamo wangu haujabadilika-2012 May

Msimamo Wangu haujabadilika 2014 January


Msimamo Wangu haujabadilika 2015 November
Mkuu Waberoya, asante sana kwa hoja hii, ambayo pia imejadiliwa na Mkuu Idugunde , asante kwa bandiko hili CHADEMA hawawezi kumuelewa Paskali Mayalla. Ruzuku kwao ni baishara kuendesha maisha yao

Hii hoja imejadiliwa pia hapa na Mkuu Sildenafil Citrate , Pascal Mayalla: Vyama vya siasa visipewe ruzuku, viongozi wake wajitolee

Wanasiasa, mtanielewa tuu in due time, kwasababu hili sikuanza nalo leo Ruzuku kwa vyama vya Siasa: Mnaonaje tumshauri Rais Magufuli aifutilie mbali ruzuku hii? Ni ufisadi

Paskali
 
Wee Pasco hujui kuwa pamoja na ruzuku Sukita ilikufa nje ya ruzuku si chama kitakufa?!!
Mkuu Idugunde , asante kwa bandiko hili CHADEMA hawawezi kumuelewa Paskali Mayalla. Ruzuku kwao ni baishara kuendesha maisha yao

Hii hoja imejadiliwa pia hapa na Mkuu Sildenafil Citrate , Pascal Mayalla: Vyama vya siasa visipewe ruzuku, viongozi wake wajitolee

Wanasiasa, mtanielewa tuu in due time, kwasababu hili sikuanza nalo leo Ruzuku kwa vyama vya Siasa: Mnaonaje tumshauri Rais Magufuli aifutilie mbali ruzuku hii? Ni ufisadi

Paskali
 
Tuko pamoja mkuu

tunaweza tukalisimamia hili, ili wahuni wanaokimbia fani zao na kukimbilia siasa na kufanya ma upuuzi haya ya siasa lazima tuwakimbize huko
Mkuu Waberoya, kwanza naunga mkono hoja , hoja kama hii, pia imetolewa na Mkuu Idugunde , asante kwa bandiko hili CHADEMA hawawezi kumuelewa Paskali Mayalla. Ruzuku kwao ni baishara kuendesha maisha yao

Hii hoja pia imejadiliwa na Mkuu Sildenafil Citrate , Pascal Mayalla: Vyama vya siasa visipewe ruzuku, viongozi wake wajitolee

Wanasiasa, mtanielewa tuu in due time, kwasababu hili sikuanza nalo leo Ruzuku kwa vyama vya Siasa: Mnaonaje tumshauri Rais Magufuli aifutilie mbali ruzuku hii? Ni ufisadi

Paskali
 
Back
Top Bottom