Keynes
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 533
- 89
Ndugu zangu mi sitaki kuongea sana kwa hili ila WANANCHI TUNA HAKI YA KUANDAMANA NA KUKATAA UUZAJI WA MADINI YETU HASA HII URANIUM AMBAYO ITATUSAIDIA SANA BADAE KWA UMEME.
Hapa namaanisha kwamba wananchi wakiingia bara barani na mabango yao siku 2 tu serikali itaamka na hata kama kuna mkataba wowote feki itajitahidi kuuweka sawa. Pia wabunge wa upinzani wasaidie kuhoji serikali maana najua akina ndio mzee wa sisiemu hamna kitu watakacho hoji.
Hapa namaanisha kwamba wananchi wakiingia bara barani na mabango yao siku 2 tu serikali itaamka na hata kama kuna mkataba wowote feki itajitahidi kuuweka sawa. Pia wabunge wa upinzani wasaidie kuhoji serikali maana najua akina ndio mzee wa sisiemu hamna kitu watakacho hoji.