Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,198
Ama kweli tunatofautiana!
yap mkuu,si unajua "one man's trash is another man's treasure".
Ama kweli tunatofautiana!
Miss Tanzania wa mwaka 2007? mfukunyuzi hebu pekua makabrasha vizuri.....
huyu binti ni mrembo jamani na naona anaendelea vizuri
AY aliishia wapi kwani?
Mwanaume hawi used wewe!
mkuu hiyo iko wazi celebrity wetu mpaka apate jina unakuta mileage kibao zimetembea,ila haka kadada katulivu kiaina bana mi nakazimia na kengine irene kiwia,kidogo vina ustaarabu.
Watu wana data!!!!!!!!!!!!! sijui tumweke nani hapa atapita salama. Kumbe TZ ni ndogo sanaMkuu Irene Kiwia mwone hivi hivi. Waulize waliyesoma naye UD. Alikuwa anasema wazi kuwa akimtaka mwanaume yeyote lazima ampate. Wakati akisoma UD akaamua kumfukuzia mwalimu wake wa Kifaransa ambaye ni mzungu (Mfaransa) na akamnasa. Akamvisha pete ya uchumba na maandalizi ya harusi yakawa tayari ghafla binti akabadili mawazo na kumfukuzia mzungu mwingine wa kampuni moja ya madini na akamnasa pia. Yule mfaransa wa watu alikuwa frustraed hakuna mfano maaana ndugu zake walishajiandaa kwa harusi na walishaingia gharama kubwa kununua vitu. Labda kama ametulia hii leo, lakini ni moto wa kuotea mbali.
Used sana huyo dada! Hata wavuzi wa samaki Mwanza wametafuna huyo! Russel asijisifu na kitu ilo kwenda mileage kibao
basi wanaume wa hivi,ni porojo tu kubwabwaja ndio wenyeweee!ila unashangaa wanakamatika na wale mashankupe kama sio mashangingi....hivi kwa nini??unakuta km huyu masa hapa anaongea kuhusu mileage kibao..lakini unakuta huyo anayetembea naye au aliyemweka kinyumba....ni lile shankupe haswaaaaaaaa....lile you can tell hata kwa kuangalia uso...kuwa liko used!!!
Flavy doesnt deserve any of this ni msichana mrembo decent!!!
wANAWAKE used utawajua tu! Pole sana
Any proof au wewe ni nguini nini?kitu used sana hicho...oil leakage kibao
Any proof au wewe ni nguini nini?
nguini ni slang ya waliopitia UDSM ikiwa na maana ya madenti wanaosoma course za masomo arts related, na jina hili wamepewa na wakulu wanaosoma Engineering, pole yako...hivi kwa nini sijui kiswahili?
yap mkuu,si unajua "one man's trash is another man's treasure".
Used sana huyo dada! Hata wavuzi wa samaki Mwanza wametafuna huyo! Russel asijisifu na kitu ilo kwenda mileage kibao