Watanzania wenzagu tunapo zungumzia mishahara midogo hali ya maisha ni ngumu. Ndio tunatoa mwanya wa maeneo kama afya.usalama.huduma mbalimba za kijamii kupokea rushwa kama njugu? Au huu umekuwa ni utamaduni wa kuigwa na kila anae ingia? Wana jf nisaidieni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.