YoungAge.org
Member
- Aug 10, 2012
- 46
- 12
Naombeni msaada wana JF. Ni sababu zipi hupelekea mwalimu kuomba au kupewa rushwa ya ngono?
Kuna mwalimu alitaka kumlala demu fulani demu si akakomaa bwana wee akampa supplementary alafu uyo mwalimu full HIV na huwa anawalala wanafunzi bila kinga!
Ni unyama wa hali ya juu sana wapo wanawake wanaoendekeza huo ushenzi but wengine hawana hayo mambo!
Na mlaaniwe mnaowaomba wadada nyuchi ili wapasi kinyume cha apo mnawafelisha!
Labda akamate vilaza tu ukiwa mzima kichwani ngumu...
Kihelehele chao-JK
mwalimu atakufelishaje wakati umefaulu? huyo dada alikubalije kufanya sup wakati anajua kabisa aliandika mtihani vizuri ila amefelishwa?Kuna mwalimu alitaka kumlala demu fulani demu si akakomaa bwana wee akampa supplementary alafu uyo mwalimu full HIV na huwa anawalala wanafunzi bila kinga!
Ni unyama wa hali ya juu sana wapo wanawake wanaoendekeza huo ushenzi but wengine hawana hayo mambo!
Na mlaaniwe mnaowaomba wadada nyuchi ili wapasi kinyume cha apo mnawafelisha!
mwalimu atakufelishaje wakati umefaulu? huyo dada alikubalije kufanya sup wakati anajua kabisa aliandika mtihani vizuri ila amefelishwa?
We umejuaje?
si kuna ku-appeal?Utafanyaje basi kama unajua umeandika mtihani vizuri na mwalimu anayekutaka akakupa sup?
Naombeni msaada wana JF. Ni sababu zipi hupelekea mwalimu kuomba au kupewa rushwa ya ngono?
Kwani nini sababu ya kuwepo Academic Appeals Boards vyuoni? Au Chuo chenu Mwl. ndiye final, akikupa A sawa na uki-sup nowhere to go?Utafanyaje basi kama unajua umeandika mtihani vizuri na mwalimu anayekutaka akakupa sup?
si kuna ku-appeal?
Kwani nini sababu ya kuwepo Academic Appeals Boards vyuoni? Au Chuo chenu Mwl. ndiye final, akikupa A sawa na uki-sup nowhere to go?