Elections 2010 Rushwa njenje Arusha mjini !

emalau

JF-Expert Member
Apr 25, 2009
2,775
3,100
Wana JF sasa sio siri tena, mgombea wa CCM jimbo la Arusha mjini anatoa rushwa bila kificho, wafaidika wa kwanza ni wakina mama wa soko kuu Arusha wanafuatia waendesha pikipiki na waendesha mikokoteni. Anachofanya ni kuwawekea mafuata waendesha pikipiki ya 10,000/= na kuwapa fulana ya CCM, wakina mama na waendesha mikokoteni wanapewa 10,000 na jezi. Pia wenyeviti wa vitongoji ndo wanatumika kwenda nyumba kwa nyumba wakigawa mrungula na Tshirt. Inawezekana nchi nzima ndo mtindo unaotumika tuwe macho.
 
Wana JF sasa sio siri tena, mgombea wa CCM jimbo la Arusha mjini anatoa rushwa bila kificho, wafaidika wa kwanza ni wakina mama wa soko kuu Arusha wanafuatia waendesha pikipiki na waendesha mikokoteni. Anachofanya ni kuwawekea mafuata waendesha pikipiki ya 10,000/= na kuwapa fulana ya CCM, wakina mama na waendesha mikokoteni wanapewa 10,000 na jezi. Pia wenyeviti wa vitongoji ndo wanatumika kwenda nyumba kwa nyumba wakigawa mrungula na Tshirt. Inawezekana nchi nzima ndo mtindo unaotumika tuwe macho.

Kula kwa CCM lakini kura kwa chadema.
 
wana jf sasa sio siri tena, mgombea wa ccm jimbo la arusha mjini anatoa rushwa bila kificho, wafaidika wa kwanza ni wakina mama wa soko kuu arusha wanafuatia waendesha pikipiki na waendesha mikokoteni. Anachofanya ni kuwawekea mafuata waendesha pikipiki ya 10,000/= na kuwapa fulana ya ccm, wakina mama na waendesha mikokoteni wanapewa 10,000 na jezi. Pia wenyeviti wa vitongoji ndo wanatumika kwenda nyumba kwa nyumba wakigawa mrungula na tshirt. Inawezekana nchi nzima ndo mtindo unaotumika tuwe macho.

mgombea wa ccm alikuwa ni waziri katika serikali iliyopita, hivyo ni wazi kuwa amechota fedhanyingi sana za wananchi. Hivyo hiyo ni haki yao. Mgombea wa chadema kazi yake nyepesi awahamisishe wananchi hao wachukue hizofedha kwa ari zaidi, nguvu zaidi na kasi zaidi na kuwapigia kuira wagombea wa chadema.
 


ATM za ccm, bonyeza namba ya siri yenye tarakimu nne - slaa
, chukua pesa za ccm, tarehe 31/10/2010 usisahau namba ya siri - SLAA
 
Mwambieni huyo mama anapoteza pesa yake bure. Karamagi aligawa mamilioni kwa mamilioni ya pesa wakati wa kura za maoni.
Lakini kuna vituo ambavyo hata mawakala wake hawakumpigia kura. Ilikula kwake.
Watanzania wa leo wanaanza kupata uelewa.
 
Nilipewa taarifa na kaka yangu aliyeko arusha kwamba kulikuwa na mshikemshike leo Arusha town baada ya TAKOKURU kuvamia bonanza ya ugawaji wa fedha ambapo kuna watu wametimka na kuacha funguo zao za nyumba
 
Huyu Dr. aliwaambia wana-Arusha 'nikopesheni kura zenu niwalipe maendeleo' nafikiri wana-Arusha hawakukubali baada ya kuona 'kukopa harusi, kulipa matanga'. Sasa ameamua kununua kura, na hapo hakuna malipo ya maendeleo tena. Wana-Arusha muwe macho na uelewa mkubwa la sivyo mtalia kilio cha kusaga meno kwa muda wa miaka mitano ijayo!
 
Rushwa kwa sasa ni kupoteza pesa ,bora wanaojigaragaza kidogo ,ila senti watu wanakula na kura hupati .talia
 
Wakuu hii kweli nimeisikia jana Mama Batilda alikuwa anagawa fedha kama njugu kwa akina mama wafanyabiashara ndogo ndogo maeneo ya soko kuu na stend kuu ya mabasi.Inaelekea TAKUKURU wamepewa maagizo maalum kumlinda Mama Batilda afanye atakavyo,hakuna juhudi zozote zinazofanywa na TAKUKURU kumzuia au kumkamata.

Nimeanza kuamini TAKUKURU ipo kwaajili kundi fulani,juhudi za kupambana na kuzuia rushwa ni aina fulani ya usanii ambao CCM na serekali yake wameufanya either kuwatuliza wafadhili au kuwaghilibu wananchi waione serekali iko imara na makini kuzuia rushwa katika jamii.

Shime wana Arusha na watanzania kwa jumla tuwakatae wagombea watoa rushwa bila kujali wanawakilisha chama gani.TAKUKURU ni jibwa lisilokuwa na meno ya kung'ata na hata likiwa na meno ya kuuma linachagua wa kumuuma.

Tafakari chukua hatua rushwa ni adui wa haki [Mahakamani,Polisi,Magereza,Hospital,TAKUKURU,Ardhi na nk bila kutoa rushwa hakuna huduma].Wanasiasa wanaotoa rushwa kamwe hawawezi kuleta mabadiliko badala yake wataendeleza na kulea mfumo uliopo.
 
Batilda chaguo la Lowasa yule FISADI WAZIRI MKUU aliyepigwa chini . Hili liko wazi Arusha . Kumchagua Batilda ni kufanikisha ufisadi maana hata hizo hela anzotoa kapewa na huyo boyfriend wake a.k.a HAWARA. Mama Regina Lowasa UPO? Slaa come and come very fast to redeem this collapsing beatuful but hohehahe nation.
 
Licha ya kugawa pesa, wafanya biashara katika soko kuu la Arusha wameruhusiwa kufanya biashara barabarani (Barabara zinazozunguka soko hilo). Kwa sasa ikifika muda wa jioni utakuta barabara zote zimejaa bidhaa wanazouza zikiwa zimetandazwa chini barabarani, hata magari hayapiti tena. Sijui manispaa wanaliona hili?
 
Wana JF sasa sio siri tena, mgombea wa CCM jimbo la Arusha mjini anatoa rushwa bila kificho, wafaidika wa kwanza ni wakina mama wa soko kuu Arusha wanafuatia waendesha pikipiki na waendesha mikokoteni. Anachofanya ni kuwawekea mafuata waendesha pikipiki ya 10,000/= na kuwapa fulana ya CCM, wakina mama na waendesha mikokoteni wanapewa 10,000 na jezi. Pia wenyeviti wa vitongoji ndo wanatumika kwenda nyumba kwa nyumba wakigawa mrungula na Tshirt. Inawezekana nchi nzima ndo mtindo unaotumika tuwe macho.


Dr. Harrison Mwakyembe alishasema.

Akikupa mpunga chukua kula. Siku ya kupiga kura unampotezea.
 
cha ajabu takukuru sasa hatuwasikii tena, walikuwa na kazi maalumu ya kuwang'oa akina mwakalebela na kuwachafua akina sita (na wale wote waliojipambanua kama wapiganaji wa ufisadi ndani ya ccm, sasa takukuru ni kama hawapo tena
 
NI mtaa gani wanakogawa pesa jameni...Emalau na Ngongo, nambieni jamani! Mi kila siku napiga msele town, mbona sipaoni?...wangenijazia japo lita 10 kwenye kitororoo changu si ningepata ushahidi na kuwadhalilisha kwa hasira zaidi SIKU YA KURA?!
 
Wakuu habari za uhakika ni kwamba jana TAKUKURU wamewakamata wanaCCM kadha kata ya Baraa akiwemo meya wa Jiji la Arusha.Umoja wa wanawake wa CCM uliandaa mkutano usiku kwaajili ya kuwahamasisha akina mama wamchague mbunge mwanamke mwenzao Dr Batilda katika ya mkutano vijana wa TAKUKURU wakavamia kikao nakwambia wakina mama walitimua mbio viatu,pochi,miwani,mawigi,funguo za magari na baadhi ya akina mama wasiokuwa na mbio wanashikiliwa na TAKUKURU.

Nitawapa nyeti zaidi naendelea kufuatilia.
 
Batilda chaguo la Lowasa yule FISADI WAZIRI MKUU aliyepigwa chini . Hili liko wazi Arusha . Kumchagua Batilda ni kufanikisha ufisadi maana hata hizo hela anzotoa kapewa na huyo boyfriend wake a.k.a HAWARA. Mama Regina Lowasa UPO? Slaa come and come very fast to redeem this collapsing beatuful but hohehahe nation.

Mambo yako wazi kuwa (EL) alimpatia double B, kiasi cha 90m kwaajili ya kampeni.

Hizo ni fedha za kodi yetu wa-tz, chukueni kuleni na KURA asipewe huyo naye ni FISADI.
 
Waache hao mafisadi wa CCm waturudishie hela zote walizoiba na wakishamaliza watakuwa hawana hata ya kula ndio watujua Mungu aliye juu
Maana huyu Mbuge mwenyewe hana sera wala hawezi kushinda bali anatapatapa Tusiwape tena kura wala nafasi ya kutumia sisi vijana, wamama wala wanafunzi tusikubali kuwa kama chambo maana wakipata watakuwa au anakuwa kwa mume wake Zanzibar sasa kweli mtu kam huyo hatupaswi kumpa kura maana Arusha ni aibu sasa kwani hata huyo aliyetolewa hakufanya chochote alikwa mtu wa safari za nje kama JK na amejilimbikizia mali , arusha haina barabara nzuri jamu kubwa na ni kivutio cha utalii na inaingiza hela za kigeni kutokana mn hifadhi za wanyama, madini ya Tanzanite ilipaswa ijieudumie kwa kodi inayoishia kwa mafisadi wa CCm mwaka huu Chadema tunawapa kura kuanzia diwani hadi Rais
 
Back
Top Bottom