Rushwa na uraia wa Siyoi, CCM watafutana uchawi badala ya kujibu HOJA

Hivi utakwepa vipi kuwa raia kama una cheti halali kinachoonyesha umezaliwa sehemu husika?Kwa maelezo ya MB Mwigulu nathibitisha kuwa madai ya CHADEMA ni halali kabisa!

Mwigulu hivi ukiwa na cheti cha kuzaliwa TZ si ndiyo uraia wa TZ ina maana unao au?

Kuna aina tatu za urai wa Tanzania. Kama Sioi atakuwa amezaliwa Kenya na wazazi wake ni raia wa Tanzania, uraia wake wa Tanzania utakuwa CitiZENSHIP BY DECENT, kuzaliwa nje ya nchi na kuwa na cheti cha kuzaliwa cha nje hakukupotezei hadhi ya uraia wa Tanzania. Kama mmoja wa wazazi wake ni mkenya basi akiwa chini ya miaka 18 anakuwa na Dual Citizenship, na akifika 18 anatakiwa kuukana kwa kiapo cha mahakamani uraia wa mzazi wake ambaye siyo Mtanzania ili atambulike kisheria kuwa ni raia wa Tanzania. Akifikisha miaka 22 hajakana basi ana-cease kuwa Mtanzania moja kwa moja. Nijuzeni stataz ya wazazi wake nidiklee Uraia wa Siyoi
 
Kuna aina tatu za urai wa Tanzania. Kama Sioi atakuwa amezaliwa Kenya na wazazi wake ni raia wa Tanzania, uraia wake wa Tanzania utakuwa CitiZENSHIP BY DECENT, kuzaliwa nje ya nchi na kuwa na cheti cha kuzaliwa cha nje hakukupotezei hadhi ya uraia wa Tanzania. Kama mmoja wa wazazi wake ni mkenya basi akiwa chini ya miaka 18 anakuwa na Dual Citizenship, na akifika 18 anatakiwa kuukana kwa kiapo cha mahakamani uraia wa mzazi wake ambaye siyo Mtanzania ili atambulike kisheria kuwa ni raia wa Tanzania. Akifikisha miaka 22 hajakana basi ana-cease kuwa Mtanzania moja kwa moja. Nijuzeni stataz ya wazazi wake nidiklee Uraia wa Siyoi

Mkuu hebu tu-assume wazazi wake wote ni watanzania ila inasemekana pia mhusika anazo hati mbili za kusafiria; ya Tanzania na nchi nyingine. Kwa katiba na sheria zetu inakuwaje hapo?
 
Kwa maana hiyo Bw. Uhamiaji kapitiwa?

Mkuu FJM,
Nikupe mfano wa UK ambapo sisi wengine kila siku tunapambana na sheria zao tunapowasaidia jamaa.

Kama unaomba visa, kuna kitu kinaitwa Guidlines. Hii ni document muhimu sana kuitafuta kuhusiana na visa unayoomba. Inaandaliwa kwa ajili ya maofisa wa kibalozi juu ya vitu gani vya kuangalia. Ukiisoma na kuielewa inakusaidia kujiandaa na kuruka viunzi vya ubalozi.

Kama umeomba visa na ukanyimwa na unataka kukata rufaa, hapo lazima usome vifungu vya sheria yenyewe. Hapo guidelines hazina nguvu tena. Ukienda kujitetea mahakamani kwa kutumia guidelines zao unafungwa goli la kisigino. Inatakiwa ujitetee kwa kufuata act.

Huyo mtu wa uhamiaji katoa guidelines zao juu ya watu waliozaliwa nje ya nchi. Lakini nakuhakikishia ikienda mahakamani namshinda huyo jamaa bila matatizo yoyote maana anachosema hata kama ni ukweli kwa tafsiri ya haraka haraka lakini hakiko kwenye act yenyewe.
 
Kuna aina tatu za urai wa Tanzania. Kama Sioi atakuwa amezaliwa Kenya na wazazi wake ni raia wa Tanzania, uraia wake wa Tanzania utakuwa CitiZENSHIP BY DECENT, kuzaliwa nje ya nchi na kuwa na cheti cha kuzaliwa cha nje hakukupotezei hadhi ya uraia wa Tanzania. Kama mmoja wa wazazi wake ni mkenya basi akiwa chini ya miaka 18 anakuwa na Dual Citizenship, na akifika 18 anatakiwa kuukana kwa kiapo cha mahakamani uraia wa mzazi wake ambaye siyo Mtanzania ili atambulike kisheria kuwa ni raia wa Tanzania. Akifikisha miaka 22 hajakana basi ana-cease kuwa Mtanzania moja kwa moja. Nijuzeni stataz ya wazazi wake nidiklee Uraia wa Siyoi

Wazazi wote Watanzania.
 
Mkuu hebu tu-assume wazazi wake wote ni watanzania ila inasemekana pia mhusika anazo hati mbili za kusafiria; ya Tanzania na nchi nyingine. Kwa katiba na sheria zetu inakuwaje hapo?

Kama ana hati mbili za kusafiria hapo zoezi linabadilika kabisa. Kama amechukua passport ya nchi nyingine kwasababu ni raia, huo ni ushahidi tosha na sababu tosha ya kumwondoa kwenye kugombea.
 
Wana JF, swala lilikatiwa rufaa ni kihoro cha uchaguzi tu. Mkata rufaa anametishika tu. Ni kwamba Sioi hana uraia wa kenya bali ana cheti cha kuzaliwa na kwa mjibu wa sheria hakuwa na uraia wa kuukana. Unapokuwa umezaliwa nje ya nchi pia hukani kuzaliwa nje ya nchi. Sioi hangeweza kukana kuzaliwa kenya. Lakini kuna nchi kama America ambayo ukizaliwa tu huko tayari ni raia hivyo ukirudi TZ ni lazima uukane uraia huo ulioupata kwa kuzaliwa nchi za aina. Chadema na mgombea wao ningewashauri wahangaike kutafuta kura badala ya kutafuta ushindi wa mezani ambao ni zaidi ya viti maluum maana hata viti maalum watu wanashindania.

Kweli panya akizingirwa pande zote hujisalimisha,mkuu nakushukuru kwa kuisalimisha CCM kwa CHADEMA.
 
Mkuu FJM,
Nikupe mfano wa UK ambapo sisi wengine kila siku tunapambana na sheria zao tunapowasaidia jamaa.

Kama unaomba visa, kuna kitu kinaitwa Guidlines. Hii ni document muhimu sana kuitafuta kuhusiana na visa unayoomba. Inaandaliwa kwa ajili ya maofisa wa kibalozi juu ya vitu gani vya kuangalia. Ukiisoma na kuielewa inakusaidia kujiandaa na kuruka viunzi vya ubalozi.

Kama umeomba visa na ukanyimwa na unataka kukata rufaa, hapo lazima usome vifungu vya sheria yenyewe. Hapo guidelines hazina nguvu tena. Ukienda kujitetea mahakamani kwa kutumia guidelines zao unafungwa goli la kisigino. Inatakiwa ujitetee kwa kufuata act.

Huyo mtu wa uhamiaji katoa guidelines zao juu ya watu waliozaliwa nje ya nchi. Lakini nakuhakikishia ikienda mahakamani namshinda huyo jamaa bila matatizo yoyote maana anachosema hata kama ni ukweli kwa tafsiri ya haraka haraka lakini hakiko kwenye act yenyewe.

Nazielewa vizuri hizo guidelines, sasa alifuata guidiline ipi kuupata uraia wa Tanzania?
 
Rufaa iliyokatwa na chadema kuhusu utata wa uraia wa sioi sumari mgombea wa ccm umeleta mkanganyiko mkubwa kwa viongozi wa ccm.

Inasemekana kwenye vikao nape alionya sana kuwa utata wa uraia wa sioi unaweza kuwaingiza matatani. Idara ua uhamiaji ilishakiri kwa barua kuwa sioi hakuwahi popote kukana uraia wa kenya na mbaya zaidi inasemekana pia kuwa hati mbili za kusafiria zenye kuonyesha uraia wa nchi mbili tofauti.

Mpaka usiku huu mkurugenzi na wanasheria wa serikali walikuwa kwenye kikao kuhusiana na suala hilo. Hata hivyo inasemekana kuna uwezekano mkubwa sioi akatolewa kwenye kugombea kwa sababu kinyume na hapo ni kuamsha balaa kubwa.
IGP saidi mwema inasemekana usiku huu amefika usa river kwa ajili ya suala hili

amekwenda kuchakachua au kufunika kombe haramu ipitilize kwanza?? IGP nae ni kada wa CCM?/
 
Naoelewe vizuri hizo guidelines, sasa alifuata guidiline ipi kuupata uraia wa Tanzania?

FJM,

Mimi simjui Siyoi kwahiyo siwezi kuingia kujadili status yake maana sijui kama ni Mtanzania au sio Mtanzania. Ila kama wazazi wake wote wawili walikuwa watanzania wakati anazaliwa kule Kenya, huyo ni MTANZANIA kufuatana na kifungu namba 6 cha sheria ya uraia ya 1995. Kifungu chenyewe ni hiki hapa.

6.
Every person born outside the United Republic on or after Union
Day shall, with effect from the date of his birth, be deemed to have
become and to have continued to be, and with affect from the commence
ment of this Act shall become and continue to be, a citizen of the United
Republic if at the date of his birth his father or mother is or was a citizen
Republiof the United Republic otherwise than by descent, subject to the proviDay
sions of section 30.
 
Ngoja tuone sarakasi za kama wakati ule wa Bashe na uraia tata wake!Siasa sio hasa mchezo mzuri....
 
Wana JF, swala lilikatiwa rufaa ni kihoro cha uchaguzi tu. Mkata rufaa anametishika tu. Ni kwamba Sioi hana uraia wa kenya bali ana cheti cha kuzaliwa na kwa mjibu wa sheria hakuwa na uraia wa kuukana. Unapokuwa umezaliwa nje ya nchi pia hukani kuzaliwa nje ya nchi. Sioi hangeweza kukana kuzaliwa kenya. Lakini kuna nchi kama America ambayo ukizaliwa tu huko tayari ni raia hivyo ukirudi TZ ni lazima uukane uraia huo ulioupata kwa kuzaliwa nchi za aina. Chadema na mgombea wao ningewashauri wahangaike kutafuta kura badala ya kutafuta ushindi wa mezani ambao ni zaidi ya viti maluum maana hata viti maalum watu wanashindania.

kumbe jk wakati anamnyanyua marsha ccm kirumba nakudai kapita bila kupingwa mbona hukusema bora viti maalum wakati wenje alikuwa ndani ya pingamizi?
 
Wana JF, swala lilikatiwa rufaa ni kihoro cha uchaguzi tu. Mkata rufaa anametishika tu. Ni kwamba Sioi hana uraia wa kenya bali ana cheti cha kuzaliwa na kwa mjibu wa sheria hakuwa na uraia wa kuukana. Unapokuwa umezaliwa nje ya nchi pia hukani kuzaliwa nje ya nchi. Sioi hangeweza kukana kuzaliwa kenya. Lakini kuna nchi kama America ambayo ukizaliwa tu huko tayari ni raia hivyo ukirudi TZ ni lazima uukane uraia huo ulioupata kwa kuzaliwa nchi za aina. Chadema na mgombea wao ningewashauri wahangaike kutafuta kura badala ya kutafuta ushindi wa mezani ambao ni zaidi ya viti maluum maana hata viti maalum watu wanashindania.

Siamini kweli wewe ni kati ya vijana wa umenyeni kwa Kitemango!.Pia siamini kama wewe ni Economist kwa mambo unayosimamia na hata kuyatamka/kuyaandika hadharani.Hata hivyo Mungu akuongezee hekima na busara utambue ulikotoka na uendako katika kuwakomboa watanzania wenzako,ambao ni masikini wa kutupwa kutokana na mfumo mbovu wa serikali ya CCM huku viongozi mkipeperusha bendera kwenye Landcruiser V8
 
Umezisoma, mabbe. Je umeelewa?
Soma katiba ya kenya.
Tunatakiwa tusome katiba za nchi ngapi,
Tanzania ina katiba yake na sheria zake hatulazimishwi na wala hatutapangiwa cha kufanya na katiba ya nchi yeyote ile.
 
FJM,
Hiyo sheria ni kifungu gani? Hakuna kitu kama hicho mkuu.

Sheria ya uraia iko wazi mno ila kwasababu watu wana discuss kisiasa zaidi basi wanashindwa kujichimbia kuelewa maana ya hiyo sheria.

Hakuna tofauti kubwa kwenye sheria juu ya wale waliozaliwa ndani ya nchi na wale wa nje ya nchi.

Wala hata hilo la wafanyakazi wa ubalozi halitajwi kwasababu halikuwa muhimu kwenye hili.

Sheria yenyewe hii hapa: http://www.bunge.go.tz/Polis/PAMS/Docs/6-1995.pdf

Kesi ya Ulimwengu ilikuwa tofauti maana yeye alizaliwa na wazazi ambao walikuwa na uraia wa nchi nyingine wa kuzaliwa. Laiti mzazi mmoja wa Siyoi angelikuwa Mkenya hapo kungelikuwa na tatizo. Au pia angelizaliwa nchi inayotambua uraia wa kuzaliwa kama USA pia kungelikuwa na matatizo.

(3) A person shall not be naturalized as a citizen of the United Repub-
lic under this section except after he has made a declaration in writing
in the prescribed form renouncing, or indicating his willingness, be for
the legal restrictions, to renounce, any other nationality or citizenship
he may possess and any claim to the protection of any other country,
and taken an oath of allegiance in the form specified in the First Schedule
 
mama naye kachanganya uraia tanzania na zambia
mtu chake

Kama unasema baba hakuwa mtanzania alitokea Rwanda na mama naye inavyoonekana si mtanzania automatically wewe siyo mtanzania. Washauri kwanza wazazi wako wasolve uraia wao, kama hawajaukana na hawajulikani ni raia wa nchi gani sasa wewe utakwenda kukana nini unyarwanda au uzambia.
 
lazima mfahamu kuwa kuzaliwa nje ya nchi hakukufanyi wewe uwe raia wa nchi husika...sioi alitakiwa aukane uraia wa kenya mara alipotimiza miaka kumi na nane kama tu
1;kipindi anazaliwa mmoja wa wazazi wake alikuwa ana uraia wa kenya(sheria yetu imesema ukizaliwa nje ya nchi uukane uraia mmoja?je kama hukuwa na sifa za kuupata huo uraia kutokana na sheria za nchi husika?)
2;sheria za kenya zinampa uraia mtoto yeyote anaezaliwa katika ardhi yao{mf.USA}

mimi,watoto wangu nimewazaa nchini uingereza,wkt nawazaa nilikuwa nimegongewa indefinity leave to remain(nakuwa napata haki zote kama raia wa uingereza) hivyo watoto wangu automatically wakapewa uraia wa uingereza lkn kwa kuwa mimi nilikuwa nna uraia wangu wa tanzania ilibidi watoto wagongewe dualcitizenship na wataukana uraia mmoja pindi wakifikisha 18
 
ccm ni chama cha magumashi,wanajua changamko kubwa sana huko arumeru mash,mta
ona kama sihoi hatashinda
 
Nilidhani CCM wanapiga kelele juu ya ukoo ndani ya Chadema tu kumbe hata wao wana endeleza ? Kuna nini hadi huyu mtoto apiganiwe hivi kuwa Mbunge ?

Kwa sababu yupo kambi ya mafisadi, na ushindi wake kura za maoni ni wa kifisadi.
 
Back
Top Bottom