Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 37,353
- 78,412
naomba kuuliza na mimi uraia wangu..baba alizaliwa Kigali...akaja tanzania 1958..akasoma huku elimu yote hadi chuo kikuu..na akapewa passport ila cjui kaipataje...na mimi nimezaliwa bongo...ila nakuwa kigali na kivu mara nyingi tu...na nina passport ya tanzania..je mimi ni raia wa wapi? na mzazi wangu je?....kuwa na passport ya Tanzania ni kigezo cha kuwa mtanzania?....msaada wenu japo nimeingilia mada