Rushwa na uraia wa Siyoi, CCM watafutana uchawi badala ya kujibu HOJA

Wana JF, swala lilikatiwa rufaa ni kihoro cha uchaguzi tu. Mkata rufaa anametishika tu. Ni kwamba Sioi hana uraia wa kenya bali ana cheti cha kuzaliwa na kwa mjibu wa sheria hakuwa na uraia wa kuukana. Unapokuwa umezaliwa nje ya nchi pia hukani kuzaliwa nje ya nchi. Sioi hangeweza kukana kuzaliwa kenya. Lakini kuna nchi kama America ambayo ukizaliwa tu huko tayari ni raia hivyo ukirudi TZ ni lazima uukane uraia huo ulioupata kwa kuzaliwa nchi za aina. Chadema na mgombea wao ningewashauri wahangaike kutafuta kura badala ya kutafuta ushindi wa mezani ambao ni zaidi ya viti maluum maana hata viti maalum watu wanashindania.

Chadema haina shida ya kutafuta kura kwani tayari ushindi uko upande wetu.
Tunachohangaikia ni kukabiliana na mbinu chafu za polisisiemu, neccm, tissisiemu, takukuru na uhamiajiccm.
Hatujawahi kuhitaji ushauri toka ccm, tena watu wenyewe waliochoka kifikra, wanaowaza rushwa 24/7!
 
Mwigulu kwani kigezo mojawapo cha uraia ni nini?kama amezaliwa Kenya siyoi ni raia wa Kenya
 
Hureeee! CCM mtakoma! Tunasubiri tu mbadilibadili hivi visheria vya nchi yenu Tanzania kwa matufaa ya ubunge wa mgombea wenu Sioi, sisi wanyarwanda na warundi tupo tayari kuja kugombea urais na ubunge Tanzania, njia itakuwa nyeupe!!! Kwani hata sisi tunavyo vyeti vya kulizaliwa Burundi na Rwanda. Hongera sana bwana Mwingulu kwa kutufungulia njia!
 
Kwa watu wa kaskazini ya Tanzania kuwa na uraia wa Kenya na Tanzania ni jambo la kawaida. Hakuna kesi hapo. tupilia mbali madai, mradi hana Uraia wa US hakuna tatizo. Nyerere mwenyewe alisafiri na pasi ipi kwenda nayo masomoni GB? na lini alikana huo uraia?

Unakifahamu unachokisema wewe? Amani Kabourou alimtoaje ubunge yule mhindi kule Kigoma? Halafu ulivyo mzembe wa kufikiri, Nyerere alipokuwa anakwenda kusoma kulikuwa na nchi inayoitwa Tanzania? Uraia unatafsiriwa kivipi?
 
Piga hao wehu kabisa sasa watanzania muambiwe nini ili muamini kwamba CCM ni mabaka haki jamani

Kazi kwenu watu wa Arumeru mashariki wawekeni kando wababaishaji hao Tendwa ka kaa kimya
 
Wana JF, swala lilikatiwa rufaa ni kihoro cha uchaguzi tu. Mkata rufaa anametishika tu. Ni kwamba Sioi hana uraia wa kenya bali ana cheti cha kuzaliwa na kwa mjibu wa sheria hakuwa na uraia wa kuukana. Unapokuwa umezaliwa nje ya nchi pia hukani kuzaliwa nje ya nchi. Sioi hangeweza kukana kuzaliwa kenya. Lakini kuna nchi kama America ambayo ukizaliwa tu huko tayari ni raia hivyo ukirudi TZ ni lazima uukane uraia huo ulioupata kwa kuzaliwa nchi za aina. Chadema na mgombea wao ningewashauri wahangaike kutafuta kura badala ya kutafuta ushindi wa mezani ambao ni zaidi ya viti maluum maana hata viti maalum watu wanashindania.


HAA haaa haaaaaaaa bwana mdogo karibu jukwaani naoni unaingia kwa kunyata!!
Imekuwaje ukajiunga ilhali mliituhumu JF kuwa ni ya CHADEMA na ndo ilisababisha anguko la ccm 2010???

Ndugu yangu nakujua una porojo sana embu angalia kwanza jimboni kwako watu walivyochoka?
unajikita sana kwenye chama wakati wananchi wako wanaangamia???
laiti wangekujua hakika hata kura yako mwenyewe usingepata!
na hicho kitambaa chako uvaacho shingoni unamaaanisha nini??
na unafua saaa ngapi?? hakika huwa unaboa sijui
kama ukaao nao hawakuambiii.

Usiwe mvivu wa kusoma,
sheria ya 1984 na.15 ibara 13
sheria ya 1992 na.4 ibara 19
sheria ya 1994 na.34 ibara 13
sheria ya 1995 na.12 ibara 10
sheria ya 2000 na.3 ibara 12

kama katiba itafatwa ccm haina mgombea!!!
 
HAA haaa haaaaaaaa bwana mdogo karibu jukwaani naoni unaingia kwa kunyata!!
Imekuwaje ukajiunga ilhali mliituhumu JF kuwa ni ya CHADEMA na ndo ilisababisha anguko la ccm 2010???

Ndugu yangu nakujua una porojo sana embu angalia kwanza jimboni kwako watu walivyochoka?
unajikita sana kwenye chama wakati wananchi wako wanaangamia???
laiti wangekujua hakika hata kura yako mwenyewe usingepata!
na hicho kitambaa chako uvaacho shingoni unamaaanisha nini??
na unafua saaa ngapi?? hakika huwa unaboa sijui
kama ukaao nao hawakuambiii.

Usiwe mvivu wa kusoma,
sheria ya 1984 na.15 ibara 13
sheria ya 1992 na.4 ibara 19
sheria ya 1994 na.34 ibara 13
sheria ya 1995 na.12 ibara 10
sheria ya 2000 na.3 ibara 12

kama katiba itafatwa ccm haina mgombea!!!
Umezisoma, mabbe. Je umeelewa?
Soma katiba ya kenya.
 
Kuna baadhi ya sehemu za Kenya na Tanzania zilikuwa ni sehemu za Wamasai zikijulikana kama Masai Land na mipaka ilikuja kuwekwa na Wajerumani. US na Tanzania hatuna hata mpaka, au tunao?

Nyerere alitumia Pass Port ya Aden.

Mkuu wangu Ribosome hizi stories za wagagagigikoko achana nazo kabisa. Zinakuvunjia heshma!
 
Kwa mujibu wa katiba ya kenya kuhusu uraia wa nchi mbili

97. Dual citizenship
  1. A person who, upon the attainment of the age of twenty-one years, is a citizen of Kenya and also a citizen of some country other than Kenya shall, subject to subsection (7), cease to be a citizen of Kenya upon the specified date unless he has renounced his citizenship of that other country, taken the oath of allegiance and, in the case of a person who was born outside Kenya. made and registered such declaration of his intentions concerning residence as may be prescribed by or under an Act of Parliament.
  2. * A person who
    1. has attained the age of twenty-one years before 12th December, 1963; and
    2. becomes a citizen of Kenya on that day by virtue of section 87; and
    3. is immediately after that day also a citizen of some country other than Kenya.
    shall subiect to subsection (7), cease to be a citizen of Kenya upon the specified date unless he has renounced his citizenship of that other country. taken the oath of allegiance and. in the case of a person who is a citizen of Kenya by virtue of section 87 (2), made and registered such decIaration of his intentions concerning residence as may be prescribed by or under an Act of Parliament.
 
Wana JF, swala lilikatiwa rufaa ni kihoro cha uchaguzi tu. Mkata rufaa anametishika tu. Ni kwamba Sioi hana uraia wa kenya bali ana cheti cha kuzaliwa na kwa mjibu wa sheria hakuwa na uraia wa kuukana. Unapokuwa umezaliwa nje ya nchi pia hukani kuzaliwa nje ya nchi. Sioi hangeweza kukana kuzaliwa kenya. Lakini kuna nchi kama America ambayo ukizaliwa tu huko tayari ni raia hivyo ukirudi TZ ni lazima uukane uraia huo ulioupata kwa kuzaliwa nchi za aina. Chadema na mgombea wao ningewashauri wahangaike kutafuta kura badala ya kutafuta ushindi wa mezani ambao ni zaidi ya viti maluum maana hata viti maalum watu wanashindania.

@Mwigulu,
Kwa uelewa wangu Katiba ya Tanzania inasema kuwa kama mtu amezaliwa nje ya mipaka ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania na kama wazazi wake hawakuwa nje ya nchi kwa shughuli za kibalozi basi mtu huyo atakuwa na uraia wa Tanzania hadi atapofikisha umri wa miaka 18. Na ili aendelee kuwa raia wa Tanzania mara baada ya kufikia umri wa miaka 18 ni lazima mtu huyo aukane uraia wa huko alikozaliwa. Kwa maana hiyo Sioi alitakiwa aukane uraia wa Kenya. Hii ni kwa mujibu wa katiba ya Muungano wa Jamhuri ya Tanzania na sio katiba ya Kenya au nchi nyingine yoyote.

Hoja yako hapo juu kwamba zipo nchi ukizaliwa unakuwa na uraia (automatically) ina utata kwa sababu moja kuu. Hakuna mahali popote kwenye katiba/sheria za uhamiaji Tanzania inaposema kuwa ili mtu aukane uraia ni lazima awe amepata uraia wa huko alikozaliwa. Ingekuwa ni hivyo basi tungeweza kusema uraia wa Tanzania unatolewa kwa kufuata/ambatana na katiba ya nchi alikozaliwa mhusika! Kinachoangaliwa hapa kwa mujibu wa katiba ni nchi hii ni alikozaliwa mtu huyo regarless amepewa cheti cha kuzaliwa au passport. Na kwa maana hiyo Sioi amezaliwa Kenya, sasa alipofikisha miaka 18 alitakiwa aukane U-kenya wake.

Kesi inayompata Sioi inafanana sana na ile iliyompata Jenerali Ulimwengu. Na wote tunajuwa Jenerali aliomba uraia wa Tanzania. Hapa serikali itapata shida kwa vyovyote vile maana tayari kuna incidents kama hizi huko nyuma na watu walipewa hukumu, sasa kama watapindisha kwa sababu mkasa umemwangukia mtoto wao hilo ni litakuwa jambo jingine, lakini wakae wakijua what goes around comes around. Wametesa sana watu kwa huu mtindo this time around inakula kwao!
 
@Mwigulu,
Kwa uelewa wangu Katiba ya Tanzania inasema kuwa kama mtu amezaliwa nje ya mipaka ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania na kama wazazi wake hawakuwa nje ya nchi kwa shughuli za kibalozi basi mtu huyo atakuwa na uraia wa Tanzania hadi atapofikisha umri wa miaka 18. Na ili aendelee kuwa raia wa Tanzania mara baada ya kufikia umri wa miaka 18 ni lazima mtu huyo aukane uraia wa huko alikozaliwa. Kwa maana hiyo Sioi alitakiwa aukane uraia wa Kenya. Hii ni kwa mujibu wa katiba ya Muungano wa Jamhuri ya Tanzania na sio katiba ya Kenya au nchi nyingine yoyote.

Hoja yako hapo juu kwamba zipo nchi ukizaliwa unakuwa na uraia (automatically) ina utata kwa sababu moja kuu. Hakuna mahali popote kwenye katiba/sheria za uhamiaji Tanzania inaposema kuwa ili mtu aukane uraia ni lazima awe amepata uraia wa huko alikozaliwa. Ingekuwa ni hivyo basi tungeweza kusema uraia wa Tanzania unatolewa kwa kufuata/ambatana na katiba ya nchi alikozaliwa mhusika! Kinachoangaliwa hapa kwa mujibu wa katiba ni nchi hii ni alikozaliwa mtu huyo regarless amepewa cheti cha kuzaliwa au passport. Na kwa maana hiyo Sioi amezaliwa Kenya, sasa alipofikisha miaka 18 alitakiwa aukane U-kenya wake.

Kesi inayompata Sioi inafanana sana na ile iliyompata Jenerali Ulimwengu. Na wote tunajuwa Jenerali aliomba uraia wa Tanzania. Hapa serikali itapata shida kwa vyovyote vile maana tayari kuna incidents kama hizi huko nyuma na watu walipewa hukumu, sasa kama watapindisha kwa sababu mkasa umemwangukia mtoto wao hilo ni litakuwa jambo jingine, lakini wakae wakijua what goes around comes around. Wametesa sana watu kwa huu mtindo this time around inakula kwao!
Dah! katiba ya URT tena? kazi ipo.
 
Kama ni kweli basi ccm na serikali yake wanafanya kampeni kupitia mali ya nchi hii ambayo ni ya wote
 
@Kobello, Katiba ya Kenya haielezi namna ya kupata uraia wa Tanzania.

Mkuu, you have made my day! Simple, clear, and to the point! Kweli kabisa, haihitajiki Katiba ya Kenya hapa ku-discuss suala la uraia wa Sioi; badala yake inahitajika Katiba na Sheria za Tanzania pekee.

Otherwise, tukichanganya Katiba na Sheria za Kenya na zile za Tanzania, tutakuta Sioi sio mkenya wala mtanzania; he is somewhere in-between! Atakuwa ni aina fulani ya "maruhani", someone who does not exist!
 
Back
Top Bottom