Imekua nijambo la kawaida kwa traffic wetu kuchukua rushwa au kukuandikia kulipa faini papo kwa papo,pia pesa hizo tunazolipa hazifiki hata kwenye vituo vyao acha serikarini. ushauri:nashauri serikali ifungue account bank zote kwaajiri ya watu kulipa faini uko badala ya kumpa traffic mkononi.pia iandae utaratibu ambao mtu akikutwa na kosa sio lazima alipe faini papo hapo,apewe muda angalau wa siku saba awe ameshalipa kwenye hiyo account na apeleke risiti kituo chochote cha polisi coz hakupita barabarani kuja fanya kosa.kwa kua kwasasa leseni ziko recorded kwenye mtandao,system zifungwe kila kituo ambapo na traffic akikuandikia faini anachukua licence no ya hiyo leseni yako then anaimark hilo kosa kwenye system na faini yake aliyokuandikia then ww ukishalipa unapeleka risiti kituo chochote wakicheq leseni yako wanaingia kwenye mtandao na kureset ile mark bila yule polisi kuusika.great thinkers hii mnaionaje?