Njilembera
JF-Expert Member
- May 10, 2008
- 1,496
- 607
Ni jitihada za mtu binafsi, kiongozi zinazoweza kuanzisha vuguvugu la vita ya rushwa. Mnaokumbuka enzi zile za azimio la Arusha tulikemea USIWE KUPE JITEGEMEE na hii ilitokana na Nyerere, kama anavyoeleza kwenye clip hii.
YouTube - Nyerere Rushwa
Ni lazima tuwe wakali, sio kutoa misamaha eti kwa kuwa wanarudisha!
YouTube - Nyerere Rushwa
Ni lazima tuwe wakali, sio kutoa misamaha eti kwa kuwa wanarudisha!