mtakumbuka jinsi bunge hili lililo chini ya Spika Anna Makinda lilivyoanza kwa kasi kwa kamati zake hususan Kamati ya Nishati na Madini iliyokuwa chini ya Mhe January Makamba kuiingilia kuiingilia Wizara ya Nishati na Madini na manejimeneti ya Tanesco mara kwa mara hadi kufikia hatua ya Kamati hii kuonekana ndio inaiendesha Tanesco hivyo madudu yote yaliyotokea Tanesco enzi za kamati hii yanamhusu moja kwa moja Mhe January Makamba hivyo naye atakiwe kujiuzulu