gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,274
- 20,673
yapo hapo ndipo palipo niacha hoi hivi fred na veronica ndio wanafanya tukose umeme? Yani watu watatu ni zaidi ya watu million 40 kweli.
Hivi zitto alikuwa ana tetea nini?
ngoja nikwambie kitu kaka mkubwa rutta, Zitto kama mwenyekiti wa kamati sijui ya mashirika ya umma kama skosei ni miongoni mwa zile kamati ambazo zinztajwa kuhusika katika hili sakata la kuhujumu tanesco. na ndio maana nakwambia kabisa zitto alikuwa na haki ya kuitetea hii manake alijua jumba litamdondokea tu.
sijui kama mnyika ni memba wa hii kamati ila nijuavyo huyu suleiman zedi yeye ni mbuzi wa kafara tu manake haya aliyafanya jan makamba tukubali tukatae manake hata tenda nyingi kama ni za mwaka jana ni dhahiri huyu hausiki. natamani kila mtu angetanjwa na huyua Mhando na mkewe Vero na mwanae Alfred wawe sued kabisa.
Last edited by a moderator: