Spika wa bunge ameivunja rasmi kamati ya nishati na madini leo akiitimisha kupitishwa kwa bugdet hiyo......kazi kwako ndumilakuwili Mzito Mkabwela..
inabidi wawape ulinzi!mkuu nina hofu sana na vitisho ambavyo amekuwa akipata hata leo humu bungeni jamani prof ni kichwa aisee hata simba chawene na mwenzie wako vizuri hofu wasije tu waka mfanya kama mwakyembe walivyo mfanya.
inabidi wawape ulinzi!
Ngoja nika google niangalie kama nitawapata wajumbe wa kamati hii
Nakapanya unaweza kuwa sahihi au usiwe sahihi. Unlike kamati ya Cheyo, kamati ya Nishati na ile ya POAC wamekuwa "more serious" kwenye kuisimamia serikali naona anataka kuzipunguza makali tegemea Mh.Mbatia kuongoza kamati mojawapo nyetiTuhuma za rushwa zimetawala kwa baadhi ya wabunge wa bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania,ingawaje hawajatajwa bungeni rasmi ila mmoja wapo ni Zitto Kabwe,na kwa hoja iliyotolewa na Vita Kawawa ya kuvunja kamati ya nishati na madini na nyingine zilizoshutumiwa;pengine POAC inayoongozwa na Zito,je kwa shutuma hizi haiwezi kuwa ni mipango ya kummaliza Zitto kisiasa baada ya yeye kuwamaliza wenzake?rejea sakata la kutokuwa na imani na waziri mkuu iliyopelekea baraza la mawari kuundwa upya na wengine kutoswa.JE NI SHUTUMA ZA KWELI AU NDIO VISASI?
ila wamechana laivu fred na mama yake paoja na lwakatare safi sana. hebu gugo unipe desa
Spika wa bunge ameivunja rasmi kamati ya nishati na madini leo akiitimisha kupitishwa kwa bugdet hiyo......kazi kwako ndumilakuwili Mzito Mkabwela..
ameshanunuliwa huyu jamaa hela sio kitu cha mchezo ndio mana Yesu alimsamehe tu yuda