Solution ni kuukubali mfumo wa rushwa na kuuhalalisha. Watanzania wote tukiwa walarushwa basi rushwa itakosa mvuto na kufa kifo cha mende. Uadilifu sasa utachukua nafasi yake.
Hebu fikiria tu scenario ambapo kila mtanzania ni mlarushwa. Fikiria nchi ambamo wanunuzi wote wanatembea na pesa feki na wauzaji wote wanauza bidhaa feki. Patakuaje hapo?
Squad la nzi.. linaandaa orodha kamili ya wale wote waliojiunga katika kupeana mapenzi na ufisadi! counting.... tik tak tik tak!
hapa umenikumbusha mwalimu wangu wa kiswahili kuhusu methali/nahau:"kelele za chura hazizuii ng'ombe kunywa maji'.
Rushwa iliyotembea na wale ambao tukiwaandika kuwa ndio wamepokea, wengine majina yao yatawaliza watu au kuwafanya wasikitike. Huu mfumo wa utawala wa kifisadi hauwezi kuondolewa kwa makubaliano mezani. Ni wakubomolewa tu.
mficha uchi hazai
Squad la nzi.. linaandaa orodha kamili ya wale wote waliojiunga katika kupeana mapenzi na ufisadi! counting.... tik tak tik tak!
Mkuu, kuna WANANCHI na WENYE NCHI... Hii nchi si yetu soteHii nchi ni yetu soote,
Squad la nzi.. linaandaa orodha kamili ya wale wote waliojiunga katika kupeana mapenzi na ufisadi! counting.... tik tak tik tak!