Steve Dii
JF-Expert Member
- Jun 25, 2007
- 6,402
- 1,254
Mzee Mwanakijiji, kumbe hili la mfumo wa kifisadi ambao hauwezi kuondolewa kwa makubaliano ya mezani unalijua?!
Pia kumbe unajua njia pekee ni kubomolewa tuu kwa mfumo huu?!, Nyie na CCJ yenu, mezani mlikuwa mnaenda kufanya nini kabla ya kuishia kulia lia?.
Wenzenu CUF Zanzibar hili waliliona na waliamua 2010 basi, wakaamua hawajiandikishi na kuahidi kura hawapigi!. Wenye nchi hili wakaliona na kitisho kilicho mbele yao, wakamkubalia Karume awashike mkono, wakakubali yaishe, na yanaisha.
Sisi huku bara, kama mfumo ni wa kubomolewa, hao waboaji wenyewe ndio kina nani?. Zitto, Slaa na wengineo, wanajaribu, laki peke yao hawawezi, kuunganisha nguvu agaist common enemy ndio hivyo hatuaminiani, take this bitter pill and I beg you just swallow it because its a fact, hao wakombozi bado hatunao!
2010 IS THE SAME! ni CCM tena na ni JK kwa kishindo!.
Interesting.... what is the role and stance of Maalim Seif these days??!