Rupia ya Mjerumani: Ni kweli sarafu hii ina thamani kubwa au ni story tu?

Kwa ufupi ni aina ya utapeli ambapo anakuja mtu mmoja kwako kama wewe ni mwenye pesa anatangaza kuitafuta rupia tena anasema dau kubwa, akiondoka baada ya siku kadhaa, anakuja mwenzake ambaye anatangaza kuuza rupia kwa bei ya chini kidogo tofauti na ile aliyotangaza yule wa kwanza. Let's say, jamaa alisema atainunua kwa 10milion, huyu mwenye nayo atasema anauza 7ml. Hivyo kwa kuwa wewe unataka faida, na jamaa kakuachia mawasiliano, unampigia kumwambia umepata rupia, hapo tapeli mnunuzi atakusisitiza uinunue yeye akija atakupa hiyo 10m..kwa tamaa zako unanunua ili upate faida nono ndani ya kipindi kifupi. Ukinunua tu, jamaa wanaenda kugawana hizo hela na huo ndio unakuwa mwisho. Pia kuna ujanja mwingine wa kitapeli wa kumtajirisha mtu kwa rupia..itategemea wamekuingia kwa gia ipi. But all in all, rupia ni utapeli. Be warned

Daah!ebwana eee,haya maisha yana mambo mengi kweli,nilishuhudia jirani yetu anafirisika hivi hivi kwa kutafuta rupia!
 
Hii ndio inatakiwa zaidi

64354118_1-Pictures-of-GERMAN-EAST-AFRICA-1893-EINE-RUPIE-ONE-RUPEE-RARE-COIN.jpg
 
Waganga wakienyeji wana tabia ya kukuagiza kitu ambacho nikigumu kukipata,kwa mfano ukitaka cheo
peleka nywele za kisogoni za boss wako.

Mkuu sasa hii ina ugumu gani..., nafungua au kukodi saloon kwa wiki au mwezi na kumuomba Boss aje aniunge mkono na kuangalia maandalizi yangu baada ya kinyozi kumaliza kazi mimi ni kuchagua tu.... (Easy Peasy Japaneezy )
 
jamanii mimii nina ushahidi na nnacho ongea,kama kunaa mtu ameshawai kufikaa Mwanga[usangi]sehemu inaitwaa shingatini,kuna sekondari pale ilaitwa shingatini na kanisaa la kwanzaa la KKT na ukumbuke katika historia kuna histori ya ugweno {usangi},mjerumani aliye kuwa missionary mkuu alikuwa ana itwa HANS FOCUS na amezikwa kwenye makaburi kando ya shule hiyo.

Sehemu hiyo kunaa mlimaa maarufu inaitwa KAMWALA.nishawai kupanda nikifatilia hizi tafiti kama ni kweli au laa.wazee wahapo walituambia zamani sanaa,walikujaa wajerumani wengi sanaa,wakiwa na baskeli zilizo na bendera za ujerumani, walikuwa na ramani.walipo fika hapo kanisani waliacha zile baskeli wakapanda huo mlima wakiwa na chifu na watu kama tano au kumi wenyeji.

Walikaa huko mlimani kwa masaa mengi tu na walipo rudi walirudi na sanduku.baadae walipo wauliza wezao na chifu walisema wale wajerumani waliondoka na sanduku lenye adhina kubwaa ya vitu vya dhahabu kama vikombe,fimbo,vijiko nk.nilivutiwa na story na nikataka kusibitishaa.tukiwa group ya watu kama kumi tulipanda ule mlima tukiwa na mwenyeji,ambae alitupeleka katika sehemu sanduku lilipo tolewa,amini usiamini nnacho kwambia ni kweli kuna kilaa dalili.

Kwanza nijiwee kubwa limeandikwa sign ambazo sio rahisi kufutika kama atua moja ndo kuna kama pango,tukadumbukiaa ndani ya hilo pango mmoja mmoja tukakuta ndani lina uwezo wa kukaa watu tano adi sita wakiwa wamesimamaa.

Huko ndani kuna jiwee jingine ambalo nahisi hilo sanduku lilipo tolewaa,jiwe kubwaa katikati linaonyesha kulikuwa na kitu ndani yake,ukubwaa wa hiyo nafasi ambalo sanduku lilikuwa siwezi kusema kwani siku pimaaa.nazani ni histori nzuri ya kujifunzaa watu wengi wamesahau that history of pare.but its there and still living.

Wazee wanasemaa walishapoteza watu wengi wakitafutaa hiyo hazinaa mlima kamwalaa na hawakuwai kuipata kwani kulikuwa na jokaa kubwa katika eneo hilo.AMINI USI AMINII
Kaka muongo wewe kila mtu utasikia kulikuwa na joka kubwa.
 
Pata kwanza hii habari hapa nimeitoa kwenye Ebay Reviews..:-

The only German colonies that coins were produced for were German New Guinea (8 different Coins ) , German Kiautschou (2 different coins ) and German East Africa (13 different coins) .The coins produced for German East Africa were by far the most numerous and were produced consistently over many more years .

At first the coins were made for the German East Africa Company from 1890 to 1902 and from 1904 to 1914 for the German Imperial Government

Coins of the former German Colony ,German East Africa are very collectable and becoming more difficult to find .These coins were minted only over a relatively short period from 1890 to 1916 .Coins were minted in Germany from 1890 to 1914 in Berlin (those marked "A") and Hamburg (those marked "J") and also very makeshift in field circumstances in Railway workshops in Tabora East Africa (marked "T") in 1916 only during wartime conditions .

The artists associated with the design in Germany were Emil Weigand 1836-1906,Otto Schulz 1848-1911,both in Berlin ("A") and Karl Kuhl in Hamburg ("J")
The coins that were minted in Germany were :
2 Rupies ( Silver) (diameter 35mm) (circulation 50,854)
1 Rupie ( Silver) (dia.30,5mm) ( circulation 11,737,
1/2 Rupie (Silver ) (dia.24,4mm) (circulation 1,898,342 )
1/4 Rupie (Silver) (dia.19,2mm) (circulation 3,226,688 )
1 Pesa (Copper) (dia.25,2mm) (circulation 41,092,335 )
10 Heller (Copper-Nickel) (dia. 26mm) (circulation 2,700,526)
5 Heller (Copper) (dia.37mm) (circulation 1,356,106)
5 Heller (Copper-Nickel) (dia.21mm) (circulation 2,000,000)
1 Heller (Copper ) (dia.20mm) (circulation 84,445,027)
1/2 Heller ( Copper) (dia.17,5mm) (circulation 18,393,268)
The coins struck at Tabora were:
15 Rupies (Gold ) ( dia. 22,5mm) (circulation 16,198)
20 Heller (Copper or Brass)(dia. 29mm) (circulation 1,633,700)
5 Heller (Brass) (dia.23mm) (circulation 300,000)

The most highly prized coin is the so called Tabora Sovereign or 15 Rupie struck in 7,1 grams of Gold (about 80% fine gold and 20% silver) with a diameter of 22,5 mm in the Tabora Railway Workshops in 1916. The gold was obtained from the historical Kironda (also Kirondatal) Gold Mine(mined by the Arabs in pre colonial times) in East Africa (now Tanzania) on the Iramba Plains adjacent to the Rift Valley in the North Central Region of Sekenke (were much gold ,found in quartz veins, is still mined today ) .The artistic design was done by R.Vogt whilst the die was made by a Senagalese Goldsmith in Zansibar.This was all done under the supervision of the Mining Engineer of the mine ,Friedrich Schumacher, at the behest of Governor Dr.Heinrich Schnee Two variations in striking exist which point to two dies being used .The variation is very subtle with a very slight difference on the reverse,being the side with the eagle ,where on the one strike the arabesque swirl ends below the "T" of the word "OST" whilst on the other strike it is shorter and ends below the "T" of the word "OST". Only some 16,200 were struck in total.

The 20 Heller and 5 Heller also produced in Tabora were made in a rougher fashion and two different dies existed ,one with a larger crown and one with a smaller crown. Often these coins have signs of deteriorating and cracked dies .Two metals ,brass and copper ,were used and thicknesses also varied due to metal sheets being of a different thickness.

Production of the Tabora coins ceased in August 1916 when the Belgians troops from the Belgian Congo marched into Tabora and occupied it .The last production of 200 gold coins were buried before the Belgians got there ( and have never been found) whilst the remaining gold reserves in the form of bars were sold to an Arabian merchant with British citizenship.Many German Troops buried their gold coins in East Africa hoping to come back after the war to retrieve their buried treasure ,but few ever made it back.
During the first World War makeshift paper money was also locally printed in German East Africa .
 
Hiyo ipo ila tatizo nasikia wakati wanaondoka walizizindika kwa damu ya mtu kwasababu enz zile watu walikuwa wachee, kuna ziwa mbeya linaitwa ngozi(lakengozi) maji yake yanabadilika rang kadri unavolisogelea inasemekana ndan yake kuna box la Rupia na kama unaelekea kyela pitia tukuyu pia kuna bwawa napo pia kuna Rupia katika ilo bwawa na kila alie zama kweny maji kwa nia ya kufwata Rupia alikufa.

Pia inasemekana Rupia inatumika kupata utajiri ambao ukisha fanikisha hakuna masharti mengine we ni pesa 2.

Kuna stori ya mwenye mabasi ya H... ni kwamba walikuwa wawili walipata Rupia ila Rupia1 ni kwa ajil ya mtu mmoja so mganga alivo maliza watengeneza waliambiwa watoke ivo wakwanza kutoka ndo akawa yeye mwenzie akaliwa na mnyama ckumbuki jina ila wanasema yupo Kwenye Rupia.
 
Hiyo ipo ila tatizo nasikia wakati wanaondoka walizizindika kwa damu ya mtu kwasababu enz zile watu walikuwa wachee, kuna ziwa mbeya linaitwa ngozi(lakengozi) maji yake yanabadilika rang kadri unavolisogelea inasemekana ndan yake kuna box la Rupia na kama unaelekea kyela pitia tukuyu pia kuna bwawa napo pia kuna Rupia katika ilo bwawa na kila alie zama kweny maji kwa nia ya kufwata Rupia alikufa. Pia inasemekana Rupia inatumika kupata utajiri ambao ukisha fanikisha hakuna masharti mengine we ni pesa 2. Kuna stori ya mwenye mabasi ya H... ni kwamba walikuwa wawili walipata Rupia ila Rupia1 ni kwa ajil ya mtu mmoja so mganga alivo maliza watengeneza waliambiwa watoke ivo wakwanza kutoka ndo akawa yeye mwenzie akaliwa na mnyama ckumbuki jina ila wanasema yupo Kwenye Rupia.

Mbeya kwa ushirikina duh.! Walokole wengi na waimba injili Mbeya.,wachuna ngozi Mbeya..
 
Hiyo ipo ila tatizo nasikia wakati wanaondoka walizizindika kwa damu ya mtu kwasababu enz zile watu walikuwa wachee, kuna ziwa mbeya linaitwa ngozi(lakengozi) maji yake yanabadilika rang kadri unavolisogelea inasemekana ndan yake kuna box la Rupia na kama unaelekea kyela pitia tukuyu pia kuna bwawa napo pia kuna Rupia katika ilo bwawa na kila alie zama kweny maji kwa nia ya kufwata Rupia alikufa. Pia inasemekana Rupia inatumika kupata utajiri ambao ukisha fanikisha hakuna masharti mengine we ni pesa 2. Kuna stori ya mwenye mabasi ya H... ni kwamba walikuwa wawili walipata Rupia ila Rupia1 ni kwa ajil ya mtu mmoja so mganga alivo maliza watengeneza waliambiwa watoke ivo wakwanza kutoka ndo akawa yeye mwenzie akaliwa na mnyama ckumbuki jina ila wanasema yupo Kwenye Rupia.

Labda mnyama ni huyo eagle
 
mambo ya Mbeya ni mengi sana, tumalize rupia, nina kisa kingine kuhusu Mbeya, hiyo ni thread inayojitegemea

Pia ya Rupia nayo ni meng kuna watu wanasema ukiweka Rupia Chin kisha ukinyunyuzia mchanga haukai juu ya Rupia utadondokea pembeni.
 
Wadau,nimekuwa nikisikia mara kwa mara kuwa, hapa nchini kuna sehemu wajerumani walichimbia rupia zao. Je sababu ya wao kuzichimbia na wasiende nazo kwao ni nini? Na kumekuwa na uvumi kuwa watu wanazitafuta sana, ni kwa ajili ya nini?

Na pia zimekuwa zikihusishwa na mambo ya ushirikina, kwamba huwezi kuzichimbua mpaka uwe na dawa kwa sababu zina mlinzi ambaye ni mzimu, je ni kweli? Kwa anayejua naomba anifafanulie tafadhani, nimeona kuna kamvuto ka kujua hii habari.

fUFUMAKI ndo balaa.
Rupia cha mtoto!
 
jamanii mimii nina ushahidi na nnacho ongea,kama kunaa mtu ameshawai kufikaa Mwanga[usangi]sehemu inaitwaa shingatini,kuna sekondari pale ilaitwa shingatini na kanisaa la kwanzaa la KKT na ukumbuke katika historia kuna histori ya ugweno {usangi},mjerumani aliye kuwa missionary mkuu alikuwa ana itwa HANS FOCUS na amezikwa kwenye makaburi kando ya shule hiyo.

Sehemu hiyo kunaa mlimaa maarufu inaitwa KAMWALA.nishawai kupanda nikifatilia hizi tafiti kama ni kweli au laa.wazee wahapo walituambia zamani sanaa,walikujaa wajerumani wengi sanaa,wakiwa na baskeli zilizo na bendera za ujerumani,walikuwa na ramani.walipo fika hapo kanisani waliacha zile baskeli wakapanda huo mlima wakiwa na chifu na watu kama tano au kumi wenyeji.

Walikaa huko mlimani kwa masaa mengi tu na walipo rudi walirudi na sanduku.baadae walipo wauliza wezao na chifu walisema wale wajerumani waliondoka na sanduku lenye adhina kubwaa ya vitu vya dhahabu kama vikombe,fimbo,vijiko nk.nilivutiwa na story na nikataka kusibitishaa.

Tukiwa group ya watu kama kumi tulipanda ule mlima tukiwa na mwenyeji,ambae alitupeleka katika sehemu sanduku lilipo tolewa,amini usiamini nnacho kwambia ni kweli kuna kilaa dalili.kwanza nijiwee kubwa limeandikwa sign ambazo sio rahisi kufutika kama atua moja ndo kuna kama pango,tukadumbukiaa ndani ya hilo pango mmoja mmoja tukakuta ndani lina uwezo wa kukaa watu tano adi sita wakiwa wamesimamaa.

huko ndani kuna jiwee jingine ambalo nahisi hilo sanduku lilipo tolewaa,jiwe kubwaa katikati linaonyesha kulikuwa na kitu ndani yake,ukubwaa wa hiyo nafasi ambalo sanduku lilikuwa siwezi kusema kwani siku pimaaa.nazani ni histori nzuri ya kujifunzaa watu wengi wamesahau that history of pare.but its there and still living.

Wazee wanasemaa walishapoteza watu wengi wakitafutaa hiyo hazinaa mlima kamwalaa na hawakuwai kuipata kwani kulikuwa na jokaa kubwa katika eneo hilo.

AMINI USI AMINII

Uko Sahihi Mkuu, Kuna Mshikaji Wetu (kivuluga) R.I.P, Huko Tabora eneo la Control neo waligundua eneo ambalo lilikuwa limechimbiwa hizo rupia. Utafiti Wao Ulichukua zaidi ya miezi 6 ndipo walipo chimba mpaka walipoifiki hiyo base ambayo inaaminika kuwa chini yake kuna hizo Rupia.

Jamaa Baada ya kusota sana kuivunja hiyo ngome wakaamua watafute vitu vya kulipua mawe ili waivunje hiyo ngome hivyo jamaa akasafiri kuja Dar Kutafuta hiyo milipuko. Alipofika huku Dar Alimuamuelezea Mzee Wangu Kuwa ndoto yake ya utajiri inakaribia kutimia.

Kutokana na bei kubwa ya milipuko alishindwa kununua hivyo akaamua anunue acid ili alainishe ngome awe anabomoa taratibu lakini Mzee Akamshauri Anunue Drill, Maana Acidi ni hatari sana.

Yeye Akasema ataweka ka diversion ya handaki pembeni ya lile shimo hivyo hatopata madhara yoyote. Akawa ameshanunua kila kitu akapanda treni kurudi tabora.

Alianza na drill lakini bado ngome ikawa ni ngumu hivyo wakashauriana na mwenzake wamwage acid kisha itakuwa laini kubomoa ndipo wakamwaga acid nyingi kisha kujificha katika kale kaandaki walichochimba pembe la lile shimo. Kutokana na ukali wa acid ulisababisha wakose hewa hivyo walikufa humo humo ndani.

Kutokana na wao kushindwa kufikia hiyo hazina bado sijathibitisha kuwa ni kweli kuwa vitu hivyo ni kweli vipo au hakuna maana hakutokea mtu mwingine kujaribu kuzipata hizo Rupia hivyo shimo likafukiwa. Kama Ulivyosema kuhusu Tanga basi hata Tabora sehemu nyingi nilisikia hizi tetesi lakini binafsi sijaona mtu aliyefanikiwa kuzipata na kitendo hicho kinahusishwa na uchawi uliotumika kuzifukia hizo Rupia na uchawi unaohusishwa na madini kwa ujumla.
 
Hahaha nimekumbuka mbali sana. Wakati nina miaka kumi na tatu (13) niliamua kutafuta rupia. Ilikua ni kutokana na curiosity na kuangalia movies kibao na cartoons za treasure hunting. Sasa every Saturday mama akienda kanisani mimi naingia chumbani na chukua shilingi mia 2 naenda pakia gari kutoka Iringa mjini hadi Kalenga. (alikozikwa mkwawa!!)

Hahaha dah the guts I had, sijui moyo wa adventure nime uzika wapi.

Anyway kwenye visit ya tatu nika pelekwa kwa babu mmoja ambae inasemekana angeweza nisaidia kupata. Kufika pale tukamkosa, nikaambiwa nirudi Juma5.

Sasa haikuwezekana kutoroka shule, so I solicited the help of a close friend!! Huyo jamaa angu mpaka ninavyoandika sasa ni ana usongo na rupia na madini na hivi sasa anatafuta almasi wapi kusini huko!! Hahaha kila nikimwona ananilaumu eti nimemponza na kuacha kutafuta hela za madini hawezi.

Anyways to cut the long story short, mshkaji alivyoenda alipewa masharti magumu saaaana na hatukuweza kutekeleza kutokana na kutokua na hela umri huo. Wakati naendelea kujipanga nikapelekwa shule boarding fasta. And that was the end of my quest for rupia!!
Stori zako zinanikumbusha"THE ADVENTURES OF HUCKLEBERRY FINN"by MARK TWAIN.
 
kama hii nayo ni kweli ingekuwa haina haja ya kuzitafuta, maana si zimefunikwa na mchanga zingekuwa zinakuja juu kama zipo kweli .
Pia ya Rupia nayo ni meng kuna watu wanasema ukiweka Rupia Chin kisha ukinyunyuzia mchanga haukai juu ya Rupia utadondokea pembeni.
 
kama anasuka (mwanamke)

Ha ha haa hii mbona ndio raisi zaidi tamwabia mhh ni nani amekusuka au amekutengeneza nywele (au dah naona nywele zako zitaa sana style fulani) au unaweka nini kwenye nywele zako alafu nasogea na kuziangalia alafu nasema mhh ni nini hiki mvi au alafu nakata kidogo.., na kusema mhh kumbe sio...!!!!
 
Back
Top Bottom